Haaahaaa,
Hapa naona unahisi kweliiiii,
Mchambawima naona unataka niseme mimi ni nani ili unijue exactly mimi nani, Hakunaaaa hiyo.
Ila mzaha tuache Bwana Kagame kafanya vizuri sana na Kigali its a better place than it used to be,
Kuna yule jamaa Judge raisi wa EAC court alimfundisha kaka yangu pale University of Rwanda majuzi tu tulikuwa naye pale Arusha ananikumbuka vizuri na nikapanda hadi libenzi lake teh!!!Teh!!Teh!!!
BADO TU HUJANIJUA?????
😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉
Ila Ange ni Mzuri sana sema kanipita tu Urefu daaah,
Na siku hizi anaringa baby yule.