Laki Moja yako itakupa milioni 3 kwa miezi 3 tu

Naam ushauri mzuri
 
HIZI IDEA ZA KWENYE MAKARATASI HUWAGA ZINALIPA SANA

Jichaanganye
 
Vipi nikitengeneza nisiuze hata moja au nikauza nusu nyingine ikachacha ? Au hakuna Kuchacha ?

Na kwanini milioni tatu tu kwanini nisi-dublicate / replicate hii idea na kutengeneza Trillion kadhaa ? Huyo mama Lishe ninayempelekea ili aniuzie na bado tukapata faida kwenye margin ya sijui ngapi (tunauza 500) kwanini asitengeneze mwenyewe na kuuza kama anao wateja wa kutosha ?

In short Bongo Biashara pasua kichwa (Soko bado ni tatizo Kubwa..., watoa Hudumu ni wengi kuliko Wahitaji)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ