Laki nne inatosha kufungua duka la vipodozi?

Laki nne inatosha kufungua duka la vipodozi?

Kama huna kila kitu, hiyo haitoshi.. labda uanze biashara ya kukopesha kama (kama una roho ngumu) watangazie mabest wako kuwa unafanya biashara ya kukopesha, wanakupa listi ya vitu wanavyohitaji unaemda kuwanunulia kisha unakuja kukopesha kwa muda fulani.

Ama agiza nguo za mtumba, uuze mtaani na mtandaoni.

Agizq gunia kadhaa za mkaa uuze, kama una sehemu ya kuhifadhia.(kakibanda.)
Kukopeshaa ni risk,

Nakumbukaa nikiwa 1st yr nilikua nakopeshaa tshet, sendols khaaah mbna nilikua hasaraa,

Nkaahirisha, nkaingia kukopesha vitenge, na madila ila home woiiio kila siku ni story tyuuh.

Kukopeshaa ni hasaraa.
 
Kwa kiasi hicho ni vigumu kufanikiwa kuifanya hiyo biashara.

Kumbuka biashara ya Cosmetics inahitaji Vibali, Leseni, pamoja na kodi anzia ya TRA. Sambamba na hilo utahitaji frame ya kufanyia hiyo biashara ambapo utahitajika kulipia pango n.k

Kwa mtazamo wangu ni vyema ukanza na kununua soksi, kalamu, singlet (Singelendi), Chupi za kike, Boksa, Kalamu, na USB flush then uwe unapita hapo Chuoni SAUT uwatembezee WanaChuo.

Nahisi kwa kiasi hicho unaweza kuanza na hiyo biashara huku ukipata uzoefu/Connection na mambo ya biashara pamoja na kukuza mtaji.

Mungu akutangulie na tukutane Kileleni 🥂🤝💪
 
Kwa kiasi hicho ni vigumu kufanikiwa kuifanya hiyo biashara.

Kumbuka biashara ya Cosmetics inahitaji Vibali, Leseni, pamoja na kodi anzia ya TRA. Sambamba na hilo utahitaji frame ya kufanyia hiyo biashara ambapo utahitajika kulipia pango n.k

Kwa mtazamo wangu ni vyema ukanza na kununua soksi, kalamu, singlet (Singelendi), Chupi za kike, Boksa, Kalamu, na USB flush then uwe unapita hapo Chuoni SAUT uwatembezee WanaChuo.

Nahisi kwa kiasi hicho unaweza kuanza na hiyo biashara huku ukipata uzoefu/Connection na mambo ya biashara pamoja na kukuza mtaji.

Mungu akutangulie na tukutane Kileleni [emoji1635][emoji1666][emoji123]
Shukuran mkuu

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Apo ni Sina Kila kituu

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
Laki nne ni ndogo sana, ila kwavile unapenda kufanya biashara ya vipodozi, nakushauri stick nayo, usishift biashara.

Siku hizi kuna unafuu kidogo sababu ya uwepo wa social medias. Ili biashara ya vipodozi uifanye vizuri, inabidi uwe unavijua vizuri hivyo vipodozi vyenyewe, alafu kingine ambacho ni muhimu sana, wewe kama muuzaji unatakiwa ngozi yako iwe na muonekano mzuri ili uweze kuwa convince wateja wako.

Sasa turudi kwenye mtaji. Achana issue za tra, Kodi ya pango au frame, nenda Insta kwenye pages za wauza vipodozi, wa follow then join whatsp group zao. Dhumuni la kufanya hivi, ni ili uweze kupata darasa na ufahamu kuhusu vipodozi tofauti tofauti, lakini pia ni kuweza kupata access ya picha za hivyo vipodozi.

Baada ya hapo, tembelea maduka ya vipodozi yaliyopo hapo Mwanza. Make sure unayatembelea mengi kwa kadiri unavyoweza. Lengo ikiwa ni kuyajua hayo maduka, pia Bei zao. Maana yapo yatakayokuwa yanauza ghari, na yapo yatakayokuwa yanauza nafuu. Ukishajua ni wapi pa kuzipata hizo products,

Anza utaratibu wa kuwa unapost status ya baadhi ya vipodozi, toa maelezo na faida zake kwa mtumiaji, maana wengine huwa wananunua baada ya kuwa convinced, pia wapo wanaotamana kubadili vipodozi wanavyotumia sasa, ila bahati mbaya hawajui wanunue vipodozi Vipi kama mbadala.

Anayehitaji atakuwa anakuchek inbox, wape ushauri kwa kadiri watakavyokuwa wanauliza. Na wakihitaji kununua, mkielewana Bei, nenda kanunue kwa hela yako. Utakapofanya delivery, watakurefund.

Kwa mtindo huu, laki nne ni nyingi sana kwa kuanzia. Sijajua kwa huko Mwanza, ila vipodozi ni Bei rahisi sana kkoo, japo vikifika madukani mitaani wanauza ghari. Kuna sabuni za kusafishia uso, zinatumiwa sana na wadada, niliona insta mtu anazipromote kwa shilingi 15,000/=, wakati kkoo zinauzwa 4500, ajabu anayeuziwa nae yupo hapa hapa Dar 😅😅😅.

Anyway, kazi kwako mkuu. All the best
 
Kukopeshaa ni risk,

Nakumbukaa nikiwa 1st yr nilikua nakopeshaa tshet, sendols khaaah mbna nilikua hasaraa,

Nkaahirisha, nkaingia kukopesha vitenge, na madila ila home woiiio kila siku ni story tyuuh.

Kukopeshaa ni hasaraa.
Ila waha wanatoboa unapitia bukubuku
 
Laki nne ni ndogo sana, ila kwavile unapenda kufanya biashara ya vipodozi, nakushauri stick nayo, usishift biashara.

Siku hizi kuna unafuu kidogo sababu ya uwepo wa social medias. Ili biashara ya vipodozi uifanye vizuri, inabidi uwe unavijua vizuri hivyo vipodozi vyenyewe, alafu kingine ambacho ni muhimu sana, wewe kama muuzaji unatakiwa ngozi yako iwe na muonekano mzuri ili uweze kuwa convince wateja wako.

Sasa turudi kwenye mtaji. Achana issue za tra, Kodi ya pango au frame, nenda Insta kwenye pages za wauza vipodozi, wa follow then join whatsp group zao. Dhumuni la kufanya hivi, ni ili uweze kupata darasa na ufahamu kuhusu vipodozi tofauti tofauti, lakini pia ni kuweza kupata access ya picha za hivyo vipodozi.

Baada ya hapo, tembelea maduka ya vipodozi yaliyopo hapo Mwanza. Make sure unayatembelea mengi kwa kadiri unavyoweza. Lengo ikiwa ni kuyajua hayo maduka, pia Bei zao. Maana yapo yatakayokuwa yanauza ghari, na yapo yatakayokuwa yanauza nafuu. Ukishajua ni wapi pa kuzipata hizo products,

Anza utaratibu wa kuwa unapost status ya baadhi ya vipodozi, toa maelezo na faida zake kwa mtumiaji, maana wengine huwa wananunua baada ya kuwa convinced, pia wapo wanaotamana kubadili vipodozi wanavyotumia sasa, ila bahati mbaya hawajui wanunue vipodozi Vipi kama mbadala.

Anayehitaji atakuwa anakuchek inbox, wape ushauri kwa kadiri watakavyokuwa wanauliza. Na wakihitaji kununua, mkielewana Bei, nenda kanunue kwa hela yako. Utakapofanya delivery, watakurefund.

Kwa mtindo huu, laki nne ni nyingi sana kwa kuanzia. Sijajua kwa huko Mwanza, ila vipodozi ni Bei rahisi sana kkoo, japo vikifika madukani mitaani wanauza ghari. Kuna sabuni za kusafishia uso, zinatumiwa sana na wadada, niliona insta mtu anazipromote kwa shilingi 15,000/=, wakati kkoo zinauzwa 4500, ajabu anayeuziwa nae yupo hapa hapa Dar [emoji28][emoji28][emoji28].

Anyway, kazi kwako mkuu. All the best
[emoji120][emoji120]

Sent from my Pixel 3 XL using JamiiForums mobile app
 
Wife anapenda sana masuala ya urembo na anajua sana majina mpaka nashangaaa!

Nina andaaa 5m
2.5m pango na ukarabati wa ofisi
Laki tano Vibali TRA nk gharama za ubebaji
2m mzigo wa biashara


Kwa miezi sita faida itakuwa kukuza mtaji..
Return ya capital baada ya miezi sita.

Ikipatikana 2m
Itanunua machine ya juice atakaa kijana.

2m ikirudi 2m
Inaenda kulima hekali tatu za mpunga huko tabora!
2m ikirudi baada ya kuuza mazao

Itatumika kununua mazao kwa ajili ya kuhifadhi na kuuza wakati wa masika.

Baada ya hapo faida za biashara zote
Ndio namfungulia duka kubwa mtaji usiopungua 50m
Hapa yeye ndio atakuwa agent kuuza kwa bei ya jumla.

Kosoeni
 
Back
Top Bottom