Laki nne inatosha kufungua duka la vipodozi?

Laki nne inatosha kufungua duka la vipodozi?

Wife anapenda sana masuala ya urembo na anajua sana majina mpaka nashangaaa!

Nina andaaa 5m
2.5m pango na ukarabati wa ofisi
Laki tano Vibali TRA nk gharama za ubebaji
2m mzigo wa biashara


Kwa miezi sita faida itakuwa kukuza mtaji..
Return ya capital baada ya miezi sita.

Ikipatikana 2m
Itanunua machine ya juice atakaa kijana.

2m ikirudi 2m
Inaenda kulima hekali tatu za mpunga huko tabora!
2m ikirudi baada ya kuuza mazao

Itatumika kununua mazao kwa ajili ya kuhifadhi na kuuza wakati wa masika.

Baada ya hapo faida za biashara zote
Ndio namfungulia duka kubwa mtaji usiopungua 50m
Hapa yeye ndio atakuwa agent kuuza kwa bei ya jumla.

Kosoeni
All the best mkuu!
 
Wife anapenda sana masuala ya urembo na anajua sana majina mpaka nashangaaa!

Nina andaaa 5m
2.5m pango na ukarabati wa ofisi
Laki tano Vibali TRA nk gharama za ubebaji
2m mzigo wa biashara


Kwa miezi sita faida itakuwa kukuza mtaji..
Return ya capital baada ya miezi sita.

Ikipatikana 2m
Itanunua machine ya juice atakaa kijana.

2m ikirudi 2m
Inaenda kulima hekali tatu za mpunga huko tabora!
2m ikirudi baada ya kuuza mazao

Itatumika kununua mazao kwa ajili ya kuhifadhi na kuuza wakati wa masika.

Baada ya hapo faida za biashara zote
Ndio namfungulia duka kubwa mtaji usiopungua 50m
Hapa yeye ndio atakuwa agent kuuza kwa bei ya jumla.

Kosoeni
Ni rahisi sana kwenye makaratasi na jitahidi iwe rahisi kwenye utendaji na ulete mrejesho
 
Itatosha kwa kuanzia kama
Tayari una fremu na umeshalipia kodi walau miezi mitatu
Tayari una vibali
Tayari fremu ina makabati na miundombinu mingine imayoendana na hiyo biashara
Matumizi binafsi hayatatoka hapo
Mzigo wa kuanzia haupo mbali
bila kusahau asitegemee hiyo biashara kumlisha ,kumvisha walau kwa miezi sita ikuwe kwanza
 
Au kanunue perfume za kupima anza na aina nne na usimalize 400k yote nunua hata za 200k tu weka kipimo cha 5k 7k 10k na 25k naandika hivi kwakua kwanza ujazo hazipishani sana na ukapata harufu nzuri nne nahakika unaweza uza muda mfupi ikarudisha hela. Maeneo ya kutembelea ni maofisini vaa vizuri nukia alafu usiongee sana fika eleza mzigo ulionao pita kwenye maofisi binafsi ya serikali na mashuleni Japo kuna shule waalimu hawaruhusiwi kupaka manukato makali ila bado riziki ipo.

Ukimaliza huko sajili whatsapp business kwenye profile weka kama hio biashara ushaifanya sana piga picha nzuri post kwenye profile yako, alafu kila siku usiku post bidhaa zako na chukua hata picha za wadada warembo post andika asante mteja wangu kwa kuniamini na kunukia vizuri lazima utoboe .

usikae kizembe ukiona ukweli hauendi weka na uongo ukisikia kuna event vaa vizuri nenda na mzigo kwenye pochi uza humo humo alafu piga picha sana uwapostie whatsapp na caption za kibiashara lazima utoboe.

Zingatia: hii njia ikakutoa uje uninunulie kitimoto kilo ndizi mbili na coke baridiii kama barafu.😎
 
Mbinu Za kivita hizi siwezi weka hapa

Ilaaa ni very cheap, Kazi yake ni kupamba jina na kutengeneza wateja

Anaweza amua kuanziasha brand yake au akatembelea upepo wa mtu ambae ameshalishika soko
Mfano Wix
Naomba nije PM kwako mkuu
 
Kukopeshaa ni risk,

Nakumbukaa nikiwa 1st yr nilikua nakopeshaa tshet, sendols khaaah mbna nilikua hasaraa,

Nkaahirisha, nkaingia kukopesha vitenge, na madila ila home woiiio kila siku ni story tyuuh.

Kukopeshaa ni hasaraa.
Ndio maana nimemuuliza kama ana roho ngumu, kukopesha na kuchekeana na vitu viwili tofauti.. nimefanya ishu ya kukopesha kwa riba, sio bidhaa ni fedha, hivyo pia nina uzoefu kidogo, biashara ya kukopesha ni uso wa mbuzi hakuna aibu.

Ukicheka na kima, utavuna mabua.
 
Ndio maana nimemuuliza kama ana roho ngumu, kukopesha na kuchekeana na vitu viwili tofauti.. nimefanya ishu ya kukopesha kwa riba, sio bidhaa ni fedha, hivyo pia nina uzoefu kidogo, biashara ya kukopesha ni uso wa mbuzi hakuna aibu.

Ukicheka na kima, utavuna mabua.
Hapo kweli uko sahihi.
 
Au kanunue perfume za kupima anza na aina nne na usimalize 400k yote nunua hata za 200k tu weka kipimo cha 5k 7k 10k na 25k naandika hivi kwakua kwanza ujazo hazipishani sana na ukapata harufu nzuri nne nahakika unaweza uza muda mfupi ikarudisha hela. Maeneo ya kutembelea ni maofisini vaa vizuri nukia alafu usiongee sana fika eleza mzigo ulionao pita kwenye maofisi binafsi ya serikali na mashuleni Japo kuna shule waalimu hawaruhusiwi kupaka manukato makali ila bado riziki ipo.

Ukimaliza huko sajili whatsapp business kwenye profile weka kama hio biashara ushaifanya sana piga picha nzuri post kwenye profile yako, alafu kila siku usiku post bidhaa zako na chukua hata picha za wadada warembo post andika asante mteja wangu kwa kuniamini na kunukia vizuri lazima utoboe .

usikae kizembe ukiona ukweli hauendi weka na uongo ukisikia kuna event vaa vizuri nenda na mzigo kwenye pochi uza humo humo alafu piga picha sana uwapostie whatsapp na caption za kibiashara lazima utoboe.

Zingatia: hii njia ikakutoa uje uninunulie kitimoto kilo ndizi mbili na coke baridiii kama barafu.[emoji41]
Hii naenda kuiprint
 
Kukopeshaa ni risk,

Nakumbukaa nikiwa 1st yr nilikua nakopeshaa tshet, sendols khaaah mbna nilikua hasaraa,

Nkaahirisha, nkaingia kukopesha vitenge, na madila ila home woiiio kila siku ni story tyuuh.

Kukopeshaa ni hasaraa.
Waha mbona hawapati hasara
 
Back
Top Bottom