pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Wakati anafuga hao kuku atakuwa akila niniKama Hiyo Hela Siyo Ya Mkopo Fuga Kuku Wa Kienyeji ... !
Kula yeye au hao Kuku...HahahWakati anafuga hao kuku atakuwa akila nini
Wakati anafuga hao kuku atakuwa akila nini
Acheni Porojo Za Kike Toeni Ushauri ... !Kula yeye au hao Kuku...Hahah
Je, Wewe Ni Mwajiriwa Au Umejiajiri ... Je, Wewe Ni Mwanaume Au Mwanamke... Je, Umeoa Au Umeolewa ... Je, Unaishi Kwenu Kwako Au Umepanga ... Je, Uko Tiyari Kufuata Fursa Vijijini ... !Naomba mchanganuo mkitaja bila kuchanganua mtakuwa bado hamjanisaidia wapendwa
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Anza kubet tu biashara kwa mtaji huo ni kujidanganya tu
Tupe mrejesho nduguHabar wakuu,
Nina laki saba na nusu nipo Mwanza je kwa uzoefu wenu wakuu naweza kufanya biashara gani?
Binafsi nilikuwa nawaza kuchoma kitimoto ila sijajua kama kwa mtaji huu na hata nje itatosha.
Naomben msaada wa mawazo kwa walioko Mwanza please.