pettymarcel
JF-Expert Member
- Jun 17, 2012
- 2,161
- 880
Habar wakuu,
Nina laki saba na nusu nipo Mwanza je kwa uzoefu wenu wakuu naweza kufanya biashara gani?
Binafsi nilikuwa nawaza kuchoma kitimoto ila sijajua kama kwa mtaji huu na hata nje itatosha.
Naomben msaada wa mawazo kwa walioko Mwanza please.
Nina laki saba na nusu nipo Mwanza je kwa uzoefu wenu wakuu naweza kufanya biashara gani?
Binafsi nilikuwa nawaza kuchoma kitimoto ila sijajua kama kwa mtaji huu na hata nje itatosha.
Naomben msaada wa mawazo kwa walioko Mwanza please.