Lakini DPP tulikushauri ufute hii kesi ya Mbowe haina uhalisia wowote

Lakini DPP tulikushauri ufute hii kesi ya Mbowe haina uhalisia wowote

Mimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.

Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.

Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Chenye nguvu pekee cha kumfunga Mbowe ni Kauli ya Mama alpohojiwa na BBC. Hakukuwa na haja ya kuja na hawa mashahidi wezi wa nyaraka za mahakama. Wangetumia tu hiyo kauli ya Mama kumfunga Mbowe, basi tungeelewa kuwa kafungwa kwa amri ya Mkubwa wa kaya yetu
 
Hiyo ipo kuanzia shuleni!
Kudesa tuna ita... Ina kuonyesha jinsi jamhuri wanavyo jitahidi kuleta mashahidi wa kuchonga.. Ati bado Jaji ana tetea simu isichunguzwe labda wange kuta huko na mawasiliano yake.
 
kwa akili yako unaamini angekuwa hajafuta hadi leo kama mfukoni hawana ushahidi, ushahidi bado unaletwa. kesi hii ina macho hadi ya nchi za nje, wangeona ni ya kijinga wala wasingeendelea nayo, ukiona wameng'ang'ana, omba tu Mungu asamehe mwenyekiti, jua kuna ukweli na ushahidi upo. hivi unafikiri huyo dpp na timu yake yoote hawana akili? na hiyo ni kesi yao ya kwanza kufungua hapa nchin?
Sasa wewe mwenzetu utwambie, mlipatapataje ile nyaraka iliyohifadhiwa kwenye chumba maalum cha kutunzia nyaraka za mahakama?
 
Mimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.

Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.

Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Naona kila dalili za kuwa na marais watatu ndani ya miaka mitano
 
Hiyo ipo kuanzia shuleni!
Tukiacha huko shuleni, vipi kwa hapo mahakamani? Kwa jeshi la polisi lililojinasibu kupitia IGP Siro kwamba wana ushahidi wa kujitosheleza kuthibitisha ugaidi wa Mbowe. Huo ndiyo ushahidi hadi sasa? Ushahidi wa kuandikiwa kwenye Diary cha kusema? Hatujui kwenye simu kuna nini?

Tutajua panapovuja.
 
Tukiacha huko shuleni, vipi kwa hapo mahakamani? Kwa jeshi la polisi lililojinasibu kupitia IGP Siro kwamba wana ushahidi wa kujitosheleza kuthibitisha ugaidi wa Mbowe. Huo ndiyo ushahidi hadi sasa? Ushahidi wa kuandikiwa kwenye Diary cha kusema? Hatujui kwenye simu kuna nini?

Tutajua panapovuja.
Hiyo sasa ni kuwajua vikojozi kwani mvua zimegoma na nyumba inavuja🤸.
 
Mimi kama Wakili mkongwe ndani na nje ya nchi kwakweli sijawahi kushudia kesi yenye vituko na mikamganyiko mingi kama hii inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe na wenzeke.

Yaani Mawakili wa Jamhuri wanajichanganya wanaharibu mambo, mashahidi wanajichanganya hawaelewi ni wapi wanaenda na ni wapi wametoka, maaafisa wa mahakama nao inaonekana wameingia kwenye mambo haya. Yaani mambo ni shaghala baghala.Mbaya zaidi nao wamekutana na mawakili wa upande wa Utetezi nao wako makini sana na hii ndiyo shida inayowapata.

Mhe DPP bado unayo nafasi ya kutosha kuliepushia taifa letu na aibu inayoendelea sasa mahakamani. Ukisema usubiri mpaka mwisho huenda mambo yakaharibika zaidi.
Yani leo ndo nimechoka, ichi ni kituko Cha mwaka, mama mwenyewe yupo Misri, Bila kuambiwa na mtu yeyote angekua ametulia nakufuatilia hii case , angekua ameelewa kwamba ameingizwa chaka ,nia project ya watu wachache kupiga pesa,

Sasa nao wameshutuka ,nikumshauri kuwa na trip kibao Ili awe busy na trip, but Taifa linatia aibu ya mwaka,

Hali ni mbaya sana KWa kikundi kilichoshiriki, maana hawajui Hatma yao ,so wanapigana kufa na kupona huku wakiendelea kuvulunda KILA siku
 
kwa akili yako unaamini angekuwa hajafuta hadi leo kama mfukoni hawana ushahidi, ushahidi bado unaletwa. kesi hii ina macho hadi ya nchi za nje, wangeona ni ya kijinga wala wasingeendelea nayo, ukiona wameng'ang'ana, omba tu Mungu asamehe mwenyekiti, jua kuna ukweli na ushahidi upo. hivi unafikiri huyo dpp na timu yake yoote hawana akili? na hiyo ni kesi yao ya kwanza kufungua hapa nc
Rais mwenyewe alishasema Kuna kesi nyingi za kubambika. Hi ni moja wapo, maana ushaidi ni wa kubumba bumba , ndio maana polisi walilazimisha ile caution statement isainiwe na mshtakiwa wa Kwanza. Hawana ushahidi mwingine. Ushahidi was maana ulikuwa wa Kaaya, lakini naye alijichanganya Sana.
 
na kati ya mawakili waliofeli kuwaajili, kibatala. kwanza hanaga hekima na professionalism ya sheria, ana hasira na analeta siasa tu. anawadanganya wengi ambao hawajui sheria na procedure za mahakamani kwa mambo ambayo hayaamui kesi na ndiyo wanayomshangilia nayo. subiri kesi iishe, si lazima itarushwa humu judgment
Katika Mawakili vichwa Kibatala no mmojawapo. Usidharau profession ya mtu kisa uvyama. Kama Kuna daktari mzuri ila CHADEMA , tumsifie kwa ubora wake na sio chama chake.
 
Mbona was Leo kaboronga, kapokea barua ya msajili wakati ye sio mlengwa. Na ikasasabisha pingamizi la Utetezi. Jumatatu pingamizi litaendelea ndani ya kesi ndogo.
my friend, amini usiamini hiyo sio kweli. kwenye izo mishe, shahidi ukimfundisha lazima ataboronga tu kwenye cross examination. ambacho huwa kinafanyika kwa hao jamaa ni kumkumbusha tu yale aliyoongea polisi as per his witness statement n.k, ila ukimfundisha mambo mapya anawez akupigwa swali la ajabu akakosa nafasi ya kuja kwako kuuliza jibu kwasababu taayari yupo kizimbani, na ataharibu kesi yote, hivyo ilo jambo huwa halifanyiki, labda kama hakuan wakili wa utetezi. nimekuwepo huko kwenye prosecution zamani, kuna siku utakuja kuelewa, ila sio leo.
 
kwa akili yako unaamini angekuwa hajafuta hadi leo kama mfukoni hawana ushahidi, ushahidi bado unaletwa. kesi hii ina macho hadi ya nchi za nje, wangeona ni ya kijinga wala wasingeendelea nayo, ukiona wameng'ang'ana, omba tu Mungu asamehe mwenyekiti, jua kuna ukweli na ushahidi upo. hivi unafikiri huyo dpp na timu yake yoote hawana akili? na hiyo ni kesi yao ya kwanza kufungua hapa nchin?
DPP na timu yake hawana akili ndiyo.
Hii kesi ni matokeo ya akili ndogo na kulewa madaraka kwa sabaya
Huelewi nn hapo
 
Kati ya nchi KUUMBUKA na chief Hangaya KUUMBUKA kipi bora
 
Back
Top Bottom