Inaonesha Kiranga na Watu8 , na hata mkuu KikulachoChako hawamfahamu vizuri maatope. Kwa sie tunaemfahamu, ulichosema wewe King Kong III ndicho hasa alichomaanisha maatope.
hayo unayosema hayaepukiki katika jamii kv huyo Lamar tayari kuna wengi, husuani wafuatiliaji wa muziki wa bongo flavor wanamfahamu na haidhuru hata kama kuna wengine walikuwa hawamfahamu na wamemfahamu leo. the main point ni kwamba, lengo la maatope halikuwa kumfagilia Lamar kama ilivyotafsiriwa na wengine lakini ilikuwa kumkejeli bila kujali ikiwa kumkejeli huko kutamuongezea umaarufu Lamar au vinginevyo.There is no bad publicity in show business.
Hata ukimtukana mtu umempa promo kwa maana wasiomjua watamjulia kwako.
Kwa hiyo kutumia muda wakonkumkebehi mtu JF kihivyo ni kujikebehi mwenyewe.
Mimi nilikuwa aomjui huyu mtu, lakini sasa hivi thanks to "kebehi" za mleta mada nimemjua.
The joke is on mleta mada.
hayo unayosema hayaepukiki katika jamii kv huyo Lamar tayari kuna wengi, husuani wafuatiliaji wa muziki wa bongo flavor wanamfahamu na haidhuru hata kama kuna wengine walikuwa hawamfahamu na wamemfahamu leo. the main point ni kwamba, lengo la maatope halikuwa kumfagilia Lamar kama ilivyotafsiriwa na wengine lakini ilikuwa kumkejeli bila kujali ikiwa kumkejeli huko kutamuongezea umaarufu Lamar au vinginevyo.
Kiranga, Lamar kafanya kitu kikubwa sana , anastahili pongezi , achana na haters bana
Viatu vyenyewe vibaya
Mojawapo ya viatu ambavyo nikinunua nitachezea bakora sana kwa wife ,ni vibaya mno kwa mtazamo wangu ,naKIRANGA uko sahihi hata mie hisia yangu ya mwanzo ni mtu mlemavu wamiguu ndio vinamfaa!Duh, bongo mpaka kununua kiatu news?
Na mtu akinunua kiwanda cha viatu je?
Kununua hicho kiatu kama cha viwete kwa mamia ya dollar ndiyo ujanja?
Kila mtu aliyeko unyamwezini akiamua kuweka shoeracks zilizojaa Clarks, Ferragamo, Prada, Armani, Rush etc, patatosha hapa?
And to think that nulikuwa nashangaa watu wanashangaa mtu kupanda ndege!
Afadhali maana i was going grrrrrr!Inaonesha Kiranga na Watu8 , na hata mkuu KikulachoChako hawamfahamu vizuri maatope. Kwa sie tunaemfahamu, ulichosema wewe King Kong III ndicho hasa alichomaanisha maatope.
Duh, bongo mpaka kununua kiatu news?
Na mtu akinunua kiwanda cha viatu je?
Kununua hicho kiatu kama cha viwete kwa mamia ya dollar ndiyo ujanja?
Kila mtu aliyeko unyamwezini akiamua kuweka shoeracks zilizojaa Clarks, Ferragamo, Prada, Armani, Rush etc, patatosha hapa?
And to think that nulikuwa nashangaa watu wanashangaa mtu kupanda ndege!
Duh, bongo mpaka kununua kiatu news?
Na mtu akinunua kiwanda cha viatu je?
Kununua hicho kiatu kama cha viwete kwa mamia ya dollar ndiyo ujanja?
Kila mtu aliyeko unyamwezini akiamua kuweka shoeracks zilizojaa Clarks, Ferragamo, Prada, Armani, Rush etc, patatosha hapa!
Mbona hata kuzalia Cedars-Sinai nayo ni habari.
Kuna kipindi fulani hivi yule mdada blogger alienda kujifungulia mwanae Cedars-Sinai na kurusha mapicha kibao na kusema sijui kajifungulia hospitali ambayo Kim K alijifungulia.
Basi watu na ushamba wao wakadhani ni jambo fulani bab kubwa sana wakati ni jambo la kawaida tu kwani hata watu wasio ma celebrity huenda Cedars-Sinai kupata matibabu ya kila aina ikiwemo kujifungua.
Na hayo yalirushwa na mtu ambaye supposedly yuko sophisticated enough na anaishi majuu.