Namimi nimesema Yamal anajua ball ila hajafikia uwezo wa Vini. Kuna ile time Vini aliipitia ya kuhandle pressure lakini hapohapo anatakiwa approve kiwango cha kucheza Madrid. Sio kitu ambacho Lamine anaweza ku experience.S
Sijamfananisha nimesema ana mzidi vin
Euro ya Spain mchango wa nani Barca saivi assist nyingi ni nani pressure ipo and he still 17Namimi nimesema Yamal anajua ball ila hajafikia uwezo wa Vini. Kuna ile time Vini aliipitia ya kuhandle pressure lakini hapohapo anatakiwa approve kiwango cha kucheza Madrid. Sio kitu ambacho Lamine anaweza ku experience.
dogo alishaprove tangu ile siku ambayo madrid alikula chuma 5. Brilliant performances kutoka kwake ni balaa kaka acha unaziVini ameshaprove uwezo wake kwenye michezo migumu na ya maamuzi. Huyo dogo aongeze bidii atafika tu.
Cha kushangAza pique hamkubali hata kidogoHili halina kipengele kabisa dogo kwa umri wake na mambo yake ๐View attachment 3267215
michezo migumu ipi dogo kacheza euro na nakachukua na alikuwa anaamua mechi zingine hadi fainal alitoa assist ya kikubwa kabisaVini ameshaprove uwezo wake kwenye michezo migumu na ya maamuzi. Huyo dogo aongeze bidii atafika tu.
Kwamba huyu ana โk kubwa.Labda kwa K siyo kwa soka, right?
SanaKwamba huyu ana โk kubwa.