Lamu: Viongozi Wataka Wanawake Waislamu Wapigwe marufuku Kupanda Bodaboda

Lamu: Viongozi Wataka Wanawake Waislamu Wapigwe marufuku Kupanda Bodaboda

Watu wanahangaika kufuata sheria za binadamu ambao miili yao inatawaliwa na tamaa, kupanda bodaboda kwa mtu kunamzuiaje asiingie mbinguni?

Watu wa zama hizo walikuwa ni watu very gullible kukubali mambo ya kipumbavu namna hii. Imani potofu kama hizi ingelikua ni leo ndio hizi dini zinaletwa hayo maeneo yao ya ibada yangekuwa tupu kabisa.

Watu wanajifanya wenyewe ndio Mungu, wao nani kawapa mamlaka ya kuwachunga wengine hapa duniani, je wao nani anawachunga? Wanafiki wakubwa hao mafarisayo. Very stupid.
 
ujinga ni pale unapojifanya Muumini wakati 100% unaishi maisha ya kikafir...

umesoma shule ukajua kuandika na kusoma ktk shule zilizowekwa n katiba ya kikafir.

-uavaanguo uloilipia kodi iliyotungwa na katiba ya kikafir

-unatumia cm n mitandao yakijamii ilopewa leseni n katiba ya kikafir.

-umejisajiri nida kwa sheria za katiba ya kikafir

-unakula chakula ulokilipia kodi kwa mujibu w katiba ga kikafir.

-unalala na kuamka km ulivopangiwa na katiba ya kikafir

-unatumia umeme uloletwa n katiba tn unalipa bili y umeme km ulivopanga pangiwa n katiba ya kikafir

-unatumia maji uloletewa na katiba na unayalipia km ulivopangiwa n katiba ya kikafir

yaani 100% unaishi maisha kwa mfumo wa kikafir halafu unajiita Muumini?

acheni utani bhana
 
Hizi dini hizi!!!! Ni bora tu tungebaki na dini za mababu zetu au kuwa mapagani. Kwanini wanaume ndiyo wasipigwe marufuku kupanda boda boda na kuwaachia wanawake ili ME wasigusane na KE na kupandisha nyege zao!?


Wanadai wanawake Waislamu hukiuka sheria za dini hiyo wakati wanaabiri bodaboda kwa sababu baadhi ya sehemu za mwili wao ambazo ni siri hubaki wazi.

Viongozi hao walisema shera ya dini hiyo hairuhusu mwanamke kukaribiana na mwanamume ambaye si mume wake.

Wazee na vijana wa Kisomali walikuwa wakiwalazimisha wanawake kushuka kwenye bodaboda na kisha kuwacharaza viboko kama adhabu.

Viongozi hao walihoji kuwa wanawake Waislamu hukiuka sheria za dini hiyo wakati wanaabiri bodaboda kwa sababu baadhi ya sehemu za mwili wao ambazo ni siri hubaki wazi. Pia waliongezea kuwa hugusana na waendeshaji wao jambo ambalo halifahi kabisaa.

Kauli yake ilikaririwa na Diwani wa Bunge la Kaunti ya Lamu, Amani Kale ambaye aliwashauri wanawake wenzake Waislamu kujiepusha kutumia bodaboda hususan kama hawana jambo la dharura.


Chanzo: Tuko
 
ujinga ni pale unapojifanya Muumini wakati 100% unaishi maisha ya kikafir...

umesoma shule ukajua kuandika na kusoma ktk shule zilizowekwa n katiba ya kikafir.

-uavaanguo uloilipia kodi iliyotungwa na katiba ya kikafir

-unatumia cm n mitandao yakijamii ilopewa leseni n katiba ya kikafir.

-umejisajiri nida kwa sheria za katiba ya kikafir

-unakula chakula ulokilipia kodi kwa mujibu w katiba ga kikafir.

-unalala na kuamka km ulivopangiwa na katiba ya kikafir

-unatumia umeme uloletwa n katiba tn unalipa bili y umeme km ulivopanga pangiwa n katiba ya kikafir

-unatumia maji uloletewa na katiba na unayalipia km ulivopangiwa n katiba ya kikafir

yaani 100% unaishi maisha kwa mfumo wa kikafir halafu unajiita Muumini?

acheni utani bhana
hahahahahaaaa
 
Kuna mdada mmoja huku Mbezi shamba huwa anazungusha bodaboda yaani siku nilipopanda boda yake nilisikia raha mnoo, nikachukua namba yake ya simu.

Kila siku huwa nakwea hiyo boda
we jamaa embu fanya namna turushie hiyo namba tumuunge mkono na sisi
 
Sasa mkiwakataza kupanda boda, ndio vijana tupone vipi? Mtachapiwa vivyo hivyo hata mkiwapiga Ban! Pambaff! 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom