I regret to let u know kwamba Procurement System za nchini kama utawatumia Toyota au CFAO motors wanakuagizia toka nchi wanayojua wao. Ukitaka specific car mfano made for UK au US basi unawaambia na wanakuagizia pia na bei inakua tofauti.
It doesnt mean UN ndo hawatumii haya magari tunayotumia, wazungu ni wanafiki wakubwa sana na wako tayari kutembea na ndala pia wakiwa huku lakini ni bilioneas. I dont see any correlation na mawazo yako kwa kuwasema embassies na UN departments wanatumia magari hayo huku.
Pia unatakiwa kujua Mobilization cost ya miradi huku Africa ipo chini na cost ya wazungu huko kwao so hata magari watanunua ya kimaskini tu
Mfano: Landcruiser 70series wanaleta toka South Africa, Hilux D4D wanatoa South pia.
Na Toyota Japan hawapokei order direct from TZ by kipping Toyota TZ Agent hata kidogo, Pia huwezi kuagiza gari kupitia Toyota Kenya labda utumie 3rd Party kutoka Kenya au nchi yoyote upendayo.
So as long as ukitaka kuagizia gari Toyota unaomba current list ya magari waliyonayo na wanakuagizia wao, hivyo hivyo UN, US Embasy, TZ Gvt na private institution ndo wanafanya.
Halafu hao UN na Embassy wanakua na Amored Cars usitake kusema wataagiza Toyota acha chai wewe.