Land cruiser ipi mjapani alitulia kati ya hizi

Land cruiser ipi mjapani alitulia kati ya hizi

Land cruiser 78s ni gari ya karne.
Hizo mashine hazina mfano mkuu, halafu sahivi kuna zile exclusively kwa ajili ya watalii kuna kampuni moja iko Arusha walianza kuziundia body kinyemela na kuzifanya warbus kwa ajili ya kubebea watalii kabla mjapani hajawashtukia ikabidi awape leseni ya kuziunda for Africa. Ziko njema sana hizo cruiser ni gari ya maisha ukiwa nayo.
 
ila naona design kali ilikuwa ya 80 series na 100 series wadau, ni vile sijapata hizo penenge ila lazma ntakamata moja hasa 100 series respect
Hata Mimi mkuu hio 100 ninaihusudu n kuitamani sana ntaitia mkononi one day
 
sema land cruiser 200 zinaboa hazina ile feel ya off road 4x4 halafu engine hata haina muito mzuri kama za 100 ama 80 series, pia mkunjo wa body umekaa kinyanya sana, at least hii facelift ya 2016 ipo na mvuto zaidi

2016 imeua kabisa kweye muonekano, Hapo kwenye Landcruiser mjapani alitulia kabisa.
 
Duh! wewe mshikaji halafu unavyoandika kwa harufi kubwa kumbe haujui unapotosha hapa!
Toyota haijawahi kununua Lexus kama unavyotaka kuaminisha watu hapa bali Lexus ni brand iliyoanzishwa na Toyota ili kutengeneza luxurious version ya Toyota ambayo itashindana na likes za BMW's Audis &Co. na hazijawahi kuwa Kampuni (Toyota na Lexus) mbili tofauti bali Lexus imeanzishwa na Toyota!

We are now going Off Grid tutakuja na hoja za how Infinite na Acura originated, Huu uzi ni wa Landcruiser am done debating wit u.

Ni brand gani unayopenda kati ya hizo mdau alizoeleza hapo juu, u cant choose kakojoe ukalale
 
Kila toleo jipya linakuwa bora zaidi ya lililopita
lc-200-series-2016-jpg.349004

Kwa sasa hii ndio MACHINE
Ila ni Aghali
 
Ngoja wanaozitumia waje....sahv wako barabarani
 
Unatataka kununua gari ya aina gani huwo ni uamuzi wako kwa maana pesa ni yako pia lkn mimi nimekupa sababu ya kwanini zinaitwa hivyo yaani for African/EU/US/Japanese market!

Tatizo ni kwamba unaandika tu juu juu lkn hauendi ndani, unaposema ina mapungufu kwenye quality control unamaanisha nini?
Inaelekea unalishwa sana maneno ya vijiweni na wewe unakubali, ngoja nikuulize swali dogo sana unafahamu magari ambayo UN TZ wanatumia? Je unafikiri ni Toyota for European market au Toyota for African market?
Nakujibia swali, UN wote walioko Afrika pmj na Tanzania wanatumia magari ya Toyota yaliyotengenezwa for African market (tropical version), unafahamu ni kwa nini? kama kulingana na msemo wako ni kwamba hayana ubora?


Au unataka kuniambia wewe unaufahamu klk organization kubwa kama UN ambayo ina wataalamu wa kila fani?
Hata Serikali yetu yenyewe hainunui Toyota for EU au US market bali wananunua Toyota for African market (tropical version) sasa unajua ni kwa nini?
Hata ofisi za Kibalozi zote hapa TZ zinazotumia Toyota pmj na Ubalozi wa Ujapani wenyewe hawanunui Toyota zilizotengenezwa for EU au Austarlia market bali wananunua Toyota for African market sasa unajua ni kwa nini?
Ni kwa sababu zimetengenezwa ili ziendane na mazingira ya TZ/Afrika ambapo ni kawaida kwa mfano gari kuingia kwenye maji yanayofunika mpaka boneti hivyo kuna vitu maalumu wanavyoongezea/kupunguza ambavyo hauvihitaji ukiwa Ulaya au Ujapani lkn ukichukuwa BMW X5 ukaenda nayo Tunduru au Serengeti unaweza ukairudisha na umeibeba kwenye tela hiyo ndiyo sababu!

I regret to let u know kwamba Procurement System za nchini kama utawatumia Toyota au CFAO motors wanakuagizia toka nchi wanayojua wao. Ukitaka specific car mfano made for UK au US basi unawaambia na wanakuagizia pia na bei inakua tofauti.

It doesnt mean UN ndo hawatumii haya magari tunayotumia, wazungu ni wanafiki wakubwa sana na wako tayari kutembea na ndala pia wakiwa huku lakini ni bilioneas. I dont see any correlation na mawazo yako kwa kuwasema embassies na UN departments wanatumia magari hayo huku.


Pia unatakiwa kujua Mobilization cost ya miradi huku Africa ipo chini na cost ya wazungu huko kwao so hata magari watanunua ya kimaskini tu

Mfano: Landcruiser 70series wanaleta toka South Africa, Hilux D4D wanatoa South pia.

Na Toyota Japan hawapokei order direct from TZ by kipping Toyota TZ Agent hata kidogo, Pia huwezi kuagiza gari kupitia Toyota Kenya labda utumie 3rd Party kutoka Kenya au nchi yoyote upendayo.

So as long as ukitaka kuagizia gari Toyota unaomba current list ya magari waliyonayo na wanakuagizia wao, hivyo hivyo UN, US Embasy, TZ Gvt na private institution ndo wanafanya.

Halafu hao UN na Embassy wanakua na Amored Cars usitake kusema wataagiza Toyota acha chai wewe.
 
I regret to let u know kwamba Procurement System za nchini kama utawatumia Toyota au CFAO motors wanakuagizia toka nchi wanayojua wao. Ukitaka specific car mfano made for UK au US basi unawaambia na wanakuagizia pia na bei inakua tofauti.

It doesnt mean UN ndo hawatumii haya magari tunayotumia, wazungu ni wanafiki wakubwa sana na wako tayari kutembea na ndala pia wakiwa huku lakini ni bilioneas. I dont see any correlation na mawazo yako kwa kuwasema embassies na UN departments wanatumia magari hayo huku.


Pia unatakiwa kujua Mobilization cost ya miradi huku Africa ipo chini na cost ya wazungu huko kwao so hata magari watanunua ya kimaskini tu

Mfano: Landcruiser 70series wanaleta toka South Africa, Hilux D4D wanatoa South pia.

Na Toyota Japan hawapokei order direct from TZ by kipping Toyota TZ Agent hata kidogo, Pia huwezi kuagiza gari kupitia Toyota Kenya labda utumie 3rd Party kutoka Kenya au nchi yoyote upendayo.

So as long as ukitaka kuagizia gari Toyota unaomba current list ya magari waliyonayo na wanakuagizia wao, hivyo hivyo UN, US Embasy, TZ Gvt na private institution ndo wanafanya.

Halafu hao UN na Embassy wanakua na Amored Cars usitake kusema wataagiza Toyota acha chai wewe.


Mbona unakuwa mbishi na mgumu kuelewa hivyo? Hivi tatizo lako hasa ni nini? Au hapa kigumu kuelewa ni kipi? Ngoja nikuulize swali, ni kwa nini kuna Toyopta land cruiser ya tropical version? Unafahamu ni kwa nini inaitwa hivyo? Usiandike maandishi meengi twende hatua kwa hatua tutakutana tu mahali tuanzie hapo kwanza!
 
Heshima kwa vx100 series, nilinunua hii gari ili niiuze ila nimeshindwa kuiachia, i just fell in love with it.
Hio kitu ni moto wa kuotea mbali, unaiuzaje sasa mkuu that machine is a keeper aisee
 
m
Kila toleo jipya linakuwa bora zaidi ya lililopita
lc-200-series-2016-jpg.349004

Kwa sasa hii ndio MACHINE
Ila ni Aghali
Mbaya zaidi kuna wenzetu hapa mjini washaiingiza wanacruise nayo town dah, it takes a wolf to catch a wolf!
 
LC 80 haichuji ina engine 1HZ na nyingine zimefungwa 1HDT cc 4200,fuel consumption nzuri... In short ndio gari ninayo ikubali hapo. Afu kwanini matoleo haya yanarandana na Lexus SUVs!?!?
Lexus ni Toyota hao hao mkuu. Walifanya hivyo ili kupata soko Marekani maana wadhungu toyota hawazimind ni gari ya bei chee. Ilibidi kubadili jina ili auzepo kabei ka kuridhisha. Ila ni wale wale ndugu yangu
 
Mbona unakuwa mbishi na mgumu kuelewa hivyo? Hivi tatizo lako hasa ni nini? Au hapa kigumu kuelewa ni kipi? Ngoja nikuulize swali, ni kwa nini kuna Toyopta land cruiser ya tropical version? Unafahamu ni kwa nini inaitwa hivyo? Usiandike maandishi meengi twende hatua kwa hatua tutakutana tu mahali tuanzie hapo kwanza!

There u are wewe kijana uliyekaririshwa.

The biggest reason for tropical version ni cooling system ambayo inakua mostly affected by temperature kwenye tropical regions. Na kitu kinachofanyika hapo ni kuweka thermostat au carlostat ambayo ni compatible na mazingira hayo ya climatepamoja na vitu vingine mkuu.

Sasa tuambie kama climate nayo inasababisha na change in features kama Full option,Cruise control, width na mengineyo., Sababu RAV 4 made for US ya same year lets 2005 and same model ya Africa inapishana upana halafu bado unakuja na hoja zako za kukaririshwa hapa za Tropical cjui nn umeambiwa USA hakuna majangwa?

Narudia tena acha chai we jamaa.

Elewa kabisa Toyota market ya US,EU,Africa nk zinapishana kwa vigezo vya quality,features na mengineyo.

Je do u know magari meant for Eu na US wameanza kupewa feature ya kutumia Diagnosis tools mapema? Je wajua ni kwann?

In short kwanza soko la Africa hawalitegemei kabisa na wala hawawezi kuja juta kupoteza hili soko sababu wanunuaji wa magari mapya huku ni wachache sana.

Nakushauri tena kama una pesa nunua gari meant for Eu utafurahi.
 
Back
Top Bottom