Land cruiser ipi mjapani alitulia kati ya hizi



Narudia tena unaandika mambo meengi lkn unarudia kile kile ambacho nimekwisha kueleza wewe sijui form ulipata daraja gani kwa maana duh!
Nimekwambia kila kampuni ya gari inatengeneza gari kulingana na mazingira eneo husika ambako wanataka kuuza hilo gari kwa mfano SUV nyingi kwa soko la US ni seven seater na EU ni 5 seater sasa huwezi kusema kwamba SUV zinazouzwa US ni bora klk za EU kwa sababu za US ni seven seater?

Hilo linatokana tu na mahitaji ya US ni tofauti na mahitaji ya EU wateja wa US wanapendelea magari makubwa na yenye nafasi, au mfano mwingine Toyota landcruiser inayouzwa Dubai, Saudia, Qatar na hilo eneo lote ni tofauti na Land Crusier inayouzwa EU au Alaska USA hii yas Middle east huwa ina powerful airconditioning lakini ya EU au Alaska haihitaji powerful airconditioning kwa sababu mazingira ni tofauti hii ya Saudia inatakiwa ifanye kwenye mazingira ya nyuzi joto mpaka 45 wakati ya Alaska inatakiwa ifanye kazi mpaka nyuzi joto -20, hivyo hauoni kwamba hizi ni gari mbili tofauti kwa watu wawili tofauti?

Hivyo huwezi kusema kwamba moja ni bora klk nyingine bali ni tofauti kulingana na mahitaji, ndicho nilichomaanisha!

Hivyo Toyota landcrusser tropical version siyo kwamba ina ubora pungufu kulinganisha na Toyota inayouzwa EU/US ni kwamba kuna vitu ambavyo moja inavyo na nyingine haina kulingana na mazingira, sijuii ni kipi kigumu kuelewa hapo?
 
Gari katengeneza mkoloni, sio hayo. BMW X5, x6, Mercedes Benz ML Formatic au G class, Audio Q7, kidogo na mwingereza Range Rover Sport, Freelander 2 na Discovery 4
 

Huna hoja wewe, Za EU na US zimeongezewa features nyingi sana naona ur just bluffing

Unanipa njaa tu wewe.
 
Hoja yako ya mazingira ni very weak na ina affect ECUsystems au Engine cooling systems na sio muonekano wa gari na urembo na manjonjo ya ndani ya gari mkuu.

Kizuri garama Barbarosa
 
Gari katengeneza mkoloni, sio hayo. BMW X5, x6, Mercedes Benz ML Formatic au G class, Audio Q7, kidogo na mwingereza Range Rover Sport, Freelander 2 na Discovery 4
Mkuu ina maana hizo siyo ni powertiller ama?
 
Mkuu Bio inabidi nikiwa nataka kununua ndinga nikushirikishe kwa msaada zaidi, hope utanisaidia.
 
Series 100 ndo mpango mzima mzee kitu cha 4.2 pale kati plus turbo charger.

Very smooth car alizinunua sana mh mkapa kwa makatibu wakuu some of them zilikuwa ikulu yan naz admire sana hz makitu natafuta moja ya mnada nijitunuku.

In Shaa Allah
 
hcho kiwanda kilichonunuliwa 1998 ni kipi? na kampun gan ilinunua
 
hcho kiwanda kilichonunuliwa 1998 ni kipi? na kampun gan ilinunua

Kijana hiyo transformation ya market kwa kubrand lexus focusing soko nje ya USA zaidi na iliambatana na kutoa SUVs.

Kama ulisoma toka Mwanzo hilo ni kosa lakiuandishi na hicho kitu kilifanyika 1998

Kwa lugha nyingine pia Toyota ndo walikua Founder na bado walibaki kuwa owner huo mwaka 1998

Una kingine tena we jamaa?
 
sema land cruiser 200 zinaboa hazina ile feel ya off road 4x4 halafu engine hata haina muito mzuri kama za 100 ama 80 series, pia mkunjo wa body umekaa kinyanya sana, at least hii facelift ya 2016 ipo na mvuto zaidi

Usichanganye za diesel na petrol,lc200 za d4d bado zina ule mlio wa kibabe
 
Usichanganye za diesel na petrol,lc200 za d4d bado zina ule mlio wa kibabe

Aisee mi bado sijaona 200 inayoita kama ile 80 au 100. Labda kama una clip unioneshe ni prove, 200 zote mafua tu na hapo ndipo mjapani alipozingua ukiachilia mkunjo wa body, the 200 looks so baggy!
 
Mkuu
Ninavyofahamu Lexus ni luxury branch ya ,Toyota singapore! Kwa maana Lexus huwa ana access ya basic structures , mf chassis ,engines , Body , kutoka Toyota, halafu ndo anaboresha kupata luxury taste ya Lexus . Ndio sababu kila Lexus unayoijua hutanguliwa na basic model kutoka Toyota,
 
Soma post zote kuna marekebisho
 
 
Mkonga nje ni noma. Hata vitani zinatumika sana...

Yeah mkuu bila shaka unazungumzia 78 series hardtop, siku hizi ndio gari za polisi na ambulance kwa baadhi ya hospitali. Nadhaani maafande wameukubali mziki wake defender sizioni siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…