Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Injini ya Defender inachoka haraka. Niliwahi kuendesha hiyo Mkonga nje, gari ina Km Laki mbili kwenye dash board lakini ukitekenya stata gari inawaka utazani umetoka kubandua manailoni mda mfupi uliopita... Ile gari ukipewa mpya by the time you are Thirty mbona unazeeka nayo!Yeah mkuu bila shaka unazungumzia 78 series hardtop, siku hizi ndio gari za polisi na ambulance kwa baadhi ya hospitali. Nadhaani maafande wameukubali mziki wake defender sizioni siku hizi.
Tatizo ni kwamba unashindwa kunielewa au labda umeamua kutokunielewa au pia nimeshindwa kujieleza na kueleweka kwako kwa maana kujieleza na kueleweka wkt mwingine nayo siyo kazi rahisi!..
Hilo ni kweli kuna ambayo ilinunuliwa mwaka 1990 mzee akiwa kitengo ikawa ndio gari anayotumia akitaka tusafiri kwenda kijiji, alikuja kuuziwa kwa mnada 2000. Mpaka sahizi ninavyo type gari ipo active inapigwa rangi tu na kuwa refreshed na accessories. 78 series is a living legend.Injini ya Defender inachoka haraka. Niliwahi kuendesha hiyo Mkonga nje, gari ina Km Laki mbili kwenye dash board lakini ukitekenya stata gari inawaka utazani umetoka kubandua manailoni mda mfupi uliopita... Ile gari ukipewa mpya by the time you are Thirty mbona unazeeka nayo!
Zipo za manual kuna lexus is ndugu yake altezza ni 6 gears manual transmissionnaongezea huo u luxury kweny lexus ni mpaka transmision nkimaanisha amna lexus manual zote auto
At least tumesaidiana kumuelewesha huyu jamaa.Mkuu me nafikiri unapoint nzuri tu kwamba gari inayokuja Africa inakua haina vitu vingi kama ambazo zinazoenda USA/Europe zinakua navyo,na hio kimsingi inaeffect mpaka kwenye price...
Umewahi kuiendesha. katika L/C inayoyumba kwenye kona ni series 95(prado 1996-2002) hizi zinayumba kwenye konaHad top 78 series zinayumba sana kwenye kona
Kaka ndo gali langu nalitumia kwa sasaUmewahi kuiendesha. katika L/C inayoyumba kwenye kona ni series 95(prado 1996-2002) hizi zinayumba kwenye kona
I mean land cruiser had topKaka ndo gali langu nalitumia kwa sasa
Narudia tena unaandika mambo meengi lkn unarudia kile kile ambacho nimekwisha kueleza wewe sijui form ulipata daraja gani kwa maana duh!..
Sio nmegoogle nshaona live kabisa iyo lexus is manual gear sitasammz umegoogle alteza ukasoma wikipedia ndo mana umesema ipo ambayo ni manual ata ukigoogle landcruiser utakuta transmision ni manual na auto ila ukichek lexus yake haina manual same to lexus rx 300 nk
sammz umegoogle alteza ukasoma wikipedia ndo mana umesema ipo ambayo ni manual ata ukigoogle landcruiser utakuta transmision ni manual na auto ila ukichek lexus yake haina manual same to lexus rx 300 nk
kuna post cjazielewa huku mnataka sema lexus na toyota are two diffrent things?
Stop embarrassing yourself. Use google, itakusaidia sana.
Niongezee kidogo tu, Lexus was meant to be a luxury brand ili ipambane na gari za mabara ya ulaya na marekani.Not really Kampuni ni moja ila matoleo yake ya mwaka mmoja uki compare yana vionjo tofauti na kimoja ulishakitaja which is Transmition.