Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Hizi vyuma bado sijaziona kwenye STM na STN za serikali. Nina expect zikisambaa madereva wa Serikali watasumbua nazo sana mitaani.
Kumbuka inashare platform na big boss J300, na sasa wameipeleka kwenye electric power steering.
Engine options kuna 2.4L 2.7L 2.8L na Turbo charged, zote Petrol au Diesel.
Ndani pamekaa kisasa sana, Kukimbizana na technology ya magari mengine.
Hii ni generation ya 5, na ni takribani miaka 14 tokea Generation ya 4 itolewe.
Tukutane GPSA.
Kumbuka inashare platform na big boss J300, na sasa wameipeleka kwenye electric power steering.
Engine options kuna 2.4L 2.7L 2.8L na Turbo charged, zote Petrol au Diesel.
Ndani pamekaa kisasa sana, Kukimbizana na technology ya magari mengine.
Hii ni generation ya 5, na ni takribani miaka 14 tokea Generation ya 4 itolewe.
Tukutane GPSA.