ALAFU USIUKUTE WE NI MWANA CCM DAMU .WAKATI KIJIJINI KWENU HATA AMBULANCE HAKUNAHizi vyuma bado sijaziona kwenye STM na STN za serikali. Nina expect zikisambaa madereva wa Serikali watasumbua nazo sana mitaani.
View attachment 3011153
Kumbuka inashare platform na big boss J300, na sasa wameipeleka kwenye electric power steering.
View attachment 3011154
Engine options kuna 2.4L 2.7L 2.8L na Turbo charged, zote Petrol au Diesel.
View attachment 3011155
Ndani pamekaa kisasa sana, Kukimbizana na technology ya magari mengine.
View attachment 3011156
Hii ni generation ya 5, na ni takribani miaka 14 tokea Generation ya 4 itolewe.
Tukutane GPSA.
Tatizo za Gibraltar zinanyimwaga options sana. Kuna bombardier zilikuja job yaani hazina utamu kabisa.South Africa watazindua na kuweka rasmi sokoni mwezi huu wa 6. Shipment za mwishoni mwa mwezi huu utaiona pale Toyota Tanzania ila kama za GPSA wao wanachukua za Japan kupitia Gibraltar Stock Holdings zinaweza kuja mapema sana.
Mzee kama ni serikali wao wananunua standard version, mashirika na miradi wao wanabeba luxury version.Tatizo za Gibraltar zinanyimwaga options sana. Kuna bombardier zilikuja job yaani hazina utamu kabisa.
Daaaa!!Ni inchi gani imebaki hatujaikopa pesa mingi?
Sure. Nimetumia Production Year (YOM).Mkuu 2023 bado ni J150!!
Rekebisha mwaka hapo kwenye title ya uzi..
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Ahggh, hao wana njaa zaidi ya sisiUganda hapo..
tunaiita: waafrika na akili zao. maajabu mazito.Serikali ishatenga bajeti ya kununua ila haina hela ya kujenga vyoo na madarasa hadi ipate msaada wa wahisani.