Land cruiser v8

naona nchi iko kwenye ucumi wa kati sasa ... miaka minne iliyopita mlikua mnajadili namana ya kununua vitz na rav4
Mkuu kila mtu anapambana na hali yake tu bila kujali wakati..huu ni uchumi wa kibepari na soko huria ...wakati nyumba A wanalalia uji (si kwa kupenda) nyumba B wanakula mapochopocho na kusaza and no one care..

Mfano mimi sijawahi kusukuma chini ya cc 2000 tangu nifike umri wa kumiliki chombo...pia kuna watu kwa sababu za mapenzi binafsi wao ni wazee wa vi "baby walkers"...acha wale walio wengi ambao kauli zao ni "linakunywa mafuta hilo[emoji23][emoji23].. sasa sijui walitaka gari inywe maji!
 
Una mawazo ya kimaskini sana,Sasa kuwa na V8 ni issue??? Magari yameshuka sana Bei,ungesema nyumba labda,Sasa na gari Ni kitu Cha kushangaa kweli
Haya mawazo ya kibepari nayapenda..kudos..
Kwani magari makubwa na mazuri katengenezewa nani? Watu wanahisi tuko jamhuri ya kisoviet au tuendelee basi kuendesha vi starlet na beetles au?
 
Mtu ukishafikia uwezo wa kumiliki gari la aina hii,
huwezi kuwa na mawazo kama haya ya kuulizia advantages zake na risk wala kuulizia mafuta
Affordability is one factor but understanding specs and management ya kitu ni issue ingine..wanagapi walinunua gari kwasababu anayo hela ila hana details hadi aulize kwa washkaji how to manage/fuel services etc ?

Uwezo wa kifedha vs undestanding of technical specs & best mgt practices.....
 
You have facts big man.
Wakishindwa kukuelewa watapata tabu sana.......!

Having money VS managing your money
[emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…