Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukuo discover 1 mzee fanya kuipimpUkinunua Discovery kwa 50M uhakikishe account yako ina zaidi ya 50M za ziada ili uihudumie kwa raha. Sio unaunga unga unanunua hizo gari utaumia.
Discovery 1 ni Tank.
Discovery 1 ni Tank.
Ile TDi engine ni everlasting
Ikawaje Tena?Hii mashine enzi hizo ilikuwa moja ya dream cars zangu 😁
Kodi TRA si mchezoNunua prado
Ndogo sanaKodi TRA si mchezo
Unamaanisha nn?Discovery 1 ni Tank.
Ile TDi engine ni everlasting
Ni gari imara sanaUnamaanisha nn?
Okay. Kuliko discovery 3 Bora mtu achukue discovery 1 ndo unamaanisha?Ni gari imara sana
Kwa sasa 3 iko poa more advanced ila ni gharama kui maintain kuliko discovery 1.Okay. Kuliko discovery 3 Bora mtu achukue discovery 1 ndo unamaanisha?
Naitaka discovery yoyote yenye Hali nzuri bajeti yangu 22m TZS kila kituKwa sasa 3 iko poa more advanced ila ni gharama kui maintain kuliko discovery 1
Upo serious mzee? Mpunga unao hapo tufanye kaziNaitaka discovery yoyote yenye Hali nzuri bajeti yangu 22m TZS kila kitu
serious mara ngapi?Upo serious mzee? Mpunga unao hapo tufanye kazi
Naifanyia kazi hio ntakupa feedback soon.serious mara ngapi?
isiwe ya wizi tuNaifanyia kazi hio ntakupa feedback soon.
Hahaha last threadFanya haya
Chukua discover 3 uishi kwenye maisha haya
1. Kuwa makini na service sana pamoja na spea kuwa bei kumbuka discover 3 injini yake ilikuwa na shida Ndio wakaamua kutoa discover 4 hii ilifanyiwa marekebisho makubwa
2.kuhangaika kutafuta garage na ukipata unapewa bei mbaya kisa unaonekana una hela Kumbe Hamna
3.inabidi uishi mikoa hii mwanza ,arusha ,moro,pwani, na dar
Ikiwa hauishi hii mikoa hata oil tu itabidi upaki gari
4. Uwe na moyo wa nguruwe ikitokea tatizo uwe wa kupotezea sababu ukiwaza sana utapata pressure na ufe sana Ila ukiwa na moyo wa nguruwe Huna shida ikizingua unapaki tu
5.hutakiwi kuweka vitu vya ziada Kama mziki kufanya hivyo ni kutafuta gari lije liwake moto mapema sana Ila Kama ulaya au south afrika kuna specialist wazuri
Nunua subaru upate haya
1.service na Vifaa vinapatikana kwa wengi pamoja na wataalamu wapo
Hata ww ukinunua mtaani mpo wengi kupitia kuongea na Watu utatatua changamoto haraka
2.toka subaru watoe XT hakuna changamoto kubwa sana japo zenye turbo zina hitaji umakini kidogo
3.ukinunua XT ishi kokote kule na Mwenye pressure anamiliki halisumbui sana ni sawa na kuoa mpare hata maharage mtakula kila siku na halalamiki
NOTE: gari za waafrika ni toyota sababu toyota ni baba yetu aliishi tanzania Ila katika kutafuta life akahamia japan Ndio Maana ukinunua tofauti na hapo utahangaika sana sababu unakuwa umevunja miiko ya baba