Land Rover Discovery 4 - Mega thread

Land Rover Discovery 4 - Mega thread

1000168551.jpg
 
I've owned a few. It's the worst brand there is. Not just my words hizo ni reviews za experts worldwide.
Every car has its own weaknesses but landrover does not have a good reputation at all, especially hizi za miaka ya baada ya 2000s. It wont stress you if you can splash cash on maintenance and do not mind frequent visits to the mechanic. I like them but scared to own one
 
Every car has its own weaknesses but landrover does not have a good reputation at all, especially hizi za miaka ya baada ya 2000s. It wont stress you if you can splash cash on maintenance and do not mind frequent visits to the mechanic. I like them but scared to own one

Exactly. The mechanic has to be on speed dial.
 
Range Rover ndio gari pekee inayoweza kukufanya wewe na fundi wako mkatafute fundi…
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Disc 3 na 4 kwa sasa ziko nyingi tokea miaka 3 au 4 iliopita,watumiaji ndio watatueleza madhaifu ya hizi gari,kwa takwimu za haraka haraka ni kuwa zinazidi kununuliwa kwa kasi ya ajabu,naona huu sasa ni wakati wale wakosoaji mmeanza kuumbuka,kwa experience nilionayo hii gari ni moja ya gari nzuri sana,gari yoyote kama haifanyiwi maintanance inavyopaswa lazima ikusumbue tu,ukileta humu comments za wazungu wa huko ulaya wakipondea,hata huko kwao wazembe wapo wasiofanya maintanance inavotakiwa,ukitaka kuamini hizi gari ni nzuri ingia kwenye groups za owners wa hizi gari kwenye internet ndio utaelewa,msitulishe matango pori,kama mmeamua kuwa timu Japan kaeni huko huko...
 
Huyo fundi ni FUNDI MAIKO!

Fundi maiko anatengeneza gari zingine bila shida ila ukipeleka haya makopo wewe na yeye maanza kazi ya kutafuta fundi upya na huwa hayaponi 😅 Resale value yake Ipo chini sana.
 
mkuu hiyo gari haina shida kama mdau anavyoongea hapo juu ni gari bora, lina balance, confortable sana ndani, speed ipo na imara Landrover hiyo haili mafuta simu yangu inagoma ku upload picha zake inawezekana Bufa ajaelewa unazungumzia nini.

Labdrover 3 au 4 Tdi Vhs ya diesel hizo ndio gari mkuu usikatishwe tamaa hapa watu magari hawajui hata ukiuliza Ford Ranger XLT 2016,au Ford Raptor, Mercedes Benz X utaambiwa matatizo hayo wakati gari hizo zimevunja Record ya mauzo yaliyowekwa na Navara,Isuzu Kb,Toyota d4d kwa kipindi kirefu...
Hlw....kuna uwezekano wa kupata d2 south ya manual ila kabla haijaletwa bongo ibadilishwe engine iwekwe td300
 
Back
Top Bottom