Land Rover ya Sugal Mohamed iliyomtorosha Nyerere asikamatwe

Wazee wengi wa Kisomali walijitolea wakati huo kupatikana kwa Uhuru wetu ingawa wote walikuwa na Passport za koloni la Uingereza

Kuna historia nyingi sana kuhusu hawa wazee ingawa zimefichwa kabisa
Nyerere ameisha lala nyumba zao nyingi Mikoani na hata wilayani wakati anahangaika kupata misaada na michango kufikia malengo

#Mohamed Said jaribu kufuatilia habari ya kuwa wasomali walipewa ardhi kubwa huko Moshi na Waingereza kabla ya Uhuru na kutiliana sahihi ila sasa sio yao tena?
 
Bora hata Bibi Titi kuna barabara imepewa jina lake. Kambona ameshushiwa hadhi na heshima kwa kiwango cha kifashisti sana. Na hii dhambi itatutesa sisi na wajukuu zetu....
 
Bora hata Bibi Titi kuna barabara imepewa jina lake. Kambona ameshushiwa hadhi na heshima kwa kiwango cha kifashisti sana. Na hii dhambi itatutesa sisi na wajukuu zetu....
Hakika mkuu, inasikitisha sana. Hebu wazia walimtungia Oscar Kambona hadi nyimbo za kumshushia heshima zikawa zinaimbwa mashuleni miaka ya 1970s kama sikosei
 
Hakika mkuu, inasikitisha sana. Hebu wazia walimtungia Oscar Kambona hadi nyimbo za kumshushia heshima zikawa zinaimbwa mashuleni miaka ya 1970s kama sikosei
Chuki za kisiasa mbaya sana...

Hii ilisababishwa na ule ujinga wa "Zidumu fikra za mwenyekiti" Alichokichukia Nyerere nchi nzima ililazimishwa ikichukie...

Mpaka leo sijajua kwanini Kamuzu Banda wa Malawi alichukiwa namna ile na watanzania mpaka tumemwimba vibaya kwenye nyimbo za mchakamchaka...
 
Sio Serikali Duniani kote the last man ndio historia yake huandikwa.ni kama kwenye ushindi wa mtu yoyote lazima kuna support ya watu wengi but huandikwa wa mwisho aliye maneuver wengine.
 
Tatizo lake UDINI
Naru...
Ningekuwa mdini nisingeadhimishwa mara mbili hapa JF kama Mwandishi Bora.
Ningekuwa mdini nisingealikwa kote huko vyuoni.

Wasio Waislam walifuta historia ya Waislam na Muislam akairejesha.
Hili ndilo linalokuhmesheniangaisheni.

Unaweza kualikwa Northestern University kama wewe ni mdini?

Unaweza kutiwa katika mradi uandishi wa historia na Oxford University Press kama wewe ni mdini?

Leo nakusomesheni historia ya Mwalimu Nyerere upya kama vile hamkupata kumjua.

Angalia Maktaba hapo chini kitabu cha Julius Nyerere kipo pembeni ya kitabu cha Abdul Sykes.

Halikadhalika walimu vyuo vikuu wanaposomesha historia ya uhuru wa Tanganyika wanawaambia wanafunzi wao kwanza wamsome Dr. Kwegyr Aggrey ndani ya Dictionary of African Biography (DAB) kisha wanawaambia wamsome Kleist Sykes humo humo kwenye DAB.

 
Waliokuadhimisha nao ni wadini wenzako ujue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…