Land Rover ya Sugal Mohamed iliyomtorosha Nyerere asikamatwe

Amehifadhi kumbukumbu za waislamu pekee,kiufupi ni mbaguzi kama faiza fox
Eco...
Unazungumza kitu usichokijua.
Katika kitabu cha Abdul Sykes kuna hawa hapo chini:


Steven Mhando

Peter Mhando


Denis Phombeah

Dr. Vedasto Kyaruzi​
 
Mzee nimesoma ulichoandika nimegundua yafuatayo:

Kichwa cha habari na mada uliyowasilishwa havina uhusiano nadhani lengo lako ni kumchafua Jenerali Kimario kwa kigezo cha udini.

Umejaribu kuficha dhamira yako kwa ujanja mkubwa sana lakini imeshindikana na ukweli ndiyo huo kuwa hoja yako ni madai ya manyanyaso dhidi ya Uslamu.

Sina shida na mchango au msaada alioutoa huyo msomali lakini hicho si kigezo cha kuhusisha alichofanya Waziri Kimario na hayo unavyodai kuwa ni matatizo aliyowaletea hao wasomali kama unavyodai.

Jenerali Kimario anasalia kuwa Kiongozi muadilifu sana aliyeitumikia nchi yetu Kwa Uzalendo mkubwa.
 
Stupid effin mbulula
Muhidini Mfaume Kimario alikuwa mgalatia mavi?
Hivi nyinyi mapumbulungwa mnatokea mapori gani
Kaaeni hukuhuko maporini, mbuzi nyinyi, MNANUKA MAVI

 
Uzalendo...
Makala hiyo mwandishi si mimi.

Ila nimeletewa na aliyeandika na jina lake liko ukirejea kwenye makala utaliona.
 
NAKAZIA.
 
Haujaomba passport ya 🇬🇧?
Una haki
Landrover hyo nmeiona imenikumbusha mbali sana
Babu yangu alinambiaga enzi
Zamani alipelekwa hapo Solihull plant na alikaa sana hapo,kujifunza,kuangali mchakato wa malandrover kuna mapicha nkangaliaa navutiwa nazo sna

Ova
 
Landrover hyo nmeiona imenikumbusha mbali sana
Babu yangu alinambiaga enzi
Zamani alipelekwa hapo Solihull plant na alikaa sana hapo,kujifunza,kuangali mchakato wa malandrover kuna mapicha nkangaliaa navutiwa nazo sna

Ova
Hizo ndio zilikuwa gari na mpaka sasa zina heshima yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…