FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
wimbo gani huo?Namkumbuka Langa alipokutana na Chid kwa mara ya kwanza. Wote walikuwa kwny peak. Matambiano yalikuwa ni makali sana. Lamar akaona isiwe shida. Akanyonga mdundo.. Mistari ikaingizwa.. kilichotokea paleee.. Tanzania nzima ilisimamaaa.. BONGE MOJA LA NGOMAAAA. Dah..
AAAHHHH.. ***** walai.. takukumbuka Langa daima na milele..
Bongo ukishakufa ndio unakuwa mzurChidi benz,na wasanii wote wasioheshimika saiv ipo siku nao watapata heshima nzuri nzuri na sifa kede kede kama Langa.
Mwamba nilikuwa namkubali sana, alikuwa na kipaji cha hali ya juu mnoNGADA ILIMMALIZA
OVA
Sio mfano wa kuigwa"Msisubiri mpaka nife ndo mkubali I am the best" Langa
Wimbo unaitwa gangster..kwenye video yupo mchonvu anauza suraNa flow kwa kiingereza na flow kwa kiswahili* hata jiga(jay-z) haniwezi mi na flow kwa lugha mbili*. That is the meaning of hip hop. RIP Langa lyrical natural gifted.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenisoma wimbo Bora Sana..beat la p fank kama sikoseiChid nyimbo zake za Natubu (2005) na Umenisoma (2007) ni track za maana sana, mistari ya humo ndani ilikuwa imejaa ukweli na ilikuwa ni ya akili sana...
Namwaga radhi nafanya vitukoooChunga mke
Nina sumu kama nge niko full ka ikulu
Sipigi kazi za nje
Masista duuu wapo machizi waapoooNamwaga radhi nafanya vitukooo
Naspend hard...natanua mifukooo
Simzuii mtu nafanya starehe zangu!!!!
Maishaa yenyewe mafupi sijui tarehe yangu!!!!
Rafiki wa kweli_LangaHii mistari imenifanya nimkumbuke sana Langa
......
......
Sio swala la uoga,Kuogopa ukunguru
Ila bora Kulogwa kuliko kukosa uhuru
Wapi sheikh Mponda,wapi jenerali Komba?
Sera Kali serikali cheza mbali na wajomba
Kimbia,Mitihani imevuja nyie hamjasikia.?
Yanini kusoma huku elimu inanunuliwa.?
Kimbia,NCHI IMESHAUZWA HII HAMNA KUSIKILIZIA,
TANESCO,MADINI hadi AIR TANZANIA
Watoto wa uswazi hawana matumaini
Ndoto za ujambazi sababu ya umasikini
Matapeli wenye shahada kila hatua tatu
Makahaba wa miaka 13
Ngoja niishie hapa ila kama huu wimbo ungetoka 2017 sasahivi tungekuwa tunampelekea chakula segerea.
mwenyezi mungu amlaze anapostahili Amin
Nadhani ndio ameshirikiana na muhuni mwingine anaitwa BabuuWimbo "Kimbia"
naam ni Babu Wa KitaaNadhani ndio ameshirikiana na muhuni mwingine anaitwa Babuu