FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,100
- 1,363
Namkumbuka Langa alipokutana na Chid kwa mara ya kwanza. Wote walikuwa kwny peak. Matambiano yalikuwa ni makali sana. Lamar akaona isiwe shida. Akanyonga mdundo.. Mistari ikaingizwa.. kilichotokea paleee.. Tanzania nzima ilisimamaaa.. BONGE MOJA LA NGOMAAAA. Dah..
AAAHHHH.. ***** walai.. takukumbuka Langa daima na milele..
AAAHHHH.. ***** walai.. takukumbuka Langa daima na milele..