Langa tutakukumbuka Daima

Langa tutakukumbuka Daima

Namkumbuka Langa alipokutana na Chid kwa mara ya kwanza. Wote walikuwa kwny peak. Matambiano yalikuwa ni makali sana. Lamar akaona isiwe shida. Akanyonga mdundo.. Mistari ikaingizwa.. kilichotokea paleee.. Tanzania nzima ilisimamaaa.. BONGE MOJA LA NGOMAAAA. Dah..

AAAHHHH.. ***** walai.. takukumbuka Langa daima na milele..
 
Namkumbuka Langa alipokutana na Chid kwa mara ya kwanza. Wote walikuwa kwny peak. Matambiano yalikuwa ni makali sana. Lamar akaona isiwe shida. Akanyonga mdundo.. Mistari ikaingizwa.. kilichotokea paleee.. Tanzania nzima ilisimamaaa.. BONGE MOJA LA NGOMAAAA. Dah..

AAAHHHH.. ***** walai.. takukumbuka Langa daima na milele..
wimbo gani huo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Watu wengi, binadamu wachache,
Wengine hawapend, i mteja aache
Watamchekea usoni kisogoni wanamsema,
Wanatafuta mabaya wanajifanya hawayaoni mema..."

Endelea kupumzika kwa amani raisi wa kitaa
 
Hii mistari imenifanya nimkumbuke sana Langa
......
......
Sio swala la uoga,Kuogopa ukunguru
Ila bora Kulogwa kuliko kukosa uhuru
Wapi sheikh Mponda,wapi jenerali Komba?
Sera Kali serikali cheza mbali na wajomba
Kimbia,Mitihani imevuja nyie hamjasikia.?
Yanini kusoma huku elimu inanunuliwa.?
Kimbia,NCHI IMESHAUZWA HII HAMNA KUSIKILIZIA,
TANESCO,MADINI hadi AIR TANZANIA
Watoto wa uswazi hawana matumaini
Ndoto za ujambazi sababu ya umasikini
Matapeli wenye shahada kila hatua tatu
Makahaba wa miaka 13

Ngoja niishie hapa ila kama huu wimbo ungetoka 2017 sasahivi tungekuwa tunampelekea chakula segerea.
mwenyezi mungu amlaze anapostahili Amin
Rafiki wa kweli_Langa
 
Back
Top Bottom