LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

Usitie wasi wasi, Duniani ni bara la Africa pekee ndo limewachwa nyuma, kule kwengine ports zina operate kwa Model ya Hub and Spoke...... Yani unakuta bandari moja ndo inapokea meli zote kubwa kubwa alafu meli ndogo ndo zinatumika kusambaza mizigo kwa bandari zengine.... Kule China ni Singapore, Shanghai na Hong Kong, Marekani ni port of Miami na NewYork, South America ni Portof Brazil,Europe ni port of Antwerp na Rotterdam. ......

Africa pekee ndo haina model kama hii kwasababu hakuna hata bandari moja Africa nzima yenye uwezo huu...Meli hubidi isafiri hadi Djibouti iangushe mizigo alafu ipige safari hadi Mombasa, Tanga, Dar, Maputo, SA.....etc Ni bandari ya Mombasa na Durban pekee hapa Sub sahara ndo ziko na potential ya kuwa "hub ports" ... Lamu port inajengwa kuhudumia haya matakwa... Yani jimeli kubwa linaleta mizigo ya nchi zote Kutoka Kenya hadi SA na kuiangusha Kenya, alafu kutoka hapo meli ndogo ndogo ndo zinapeleka mizigo kwa nchi tofauti za Africa
Ukanda wa Africa bahari ya Hindi zinatambulika bandari tatu tu kwa operations kubwa. Durban, Djbout na Dar. Hiyo Mombasa umechomekea tu haitambuliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha, tofauti ya hio bullet treni waliodanganywa kwenye kampeni na tungi walilopewa na wavimba macho ni heaven and Earth...
See ur scope last time when wakusema na kuhepa promised utendaji!

Ahadi

2327790_IMG_20200306_090728.jpg


Utendaji
2327789_images_-_2020-03-06T090758.391.jpeg


CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukanda wa Africa bahari ya Hindi zinatambulika bandari tatu tu kwa operations kubwa. Durban, Djbout na Dar. Hiyo Mombasa umechomekea tu haitambuliki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahahahaha duh, yani unawezaje kua haujui hata performance ya nchi yako? hapa hatuko vijiweni ambapo mtu anaweza tamka tu lolote... Si ungetumia kama nusu dakika ku google mtandaoni kabla ya kujiabisha hivi.. Dar inapokea miziko 20 million tonnes, Mombasa inafika 32 Million tonnes.... Ni bandari ya durban pekee tu kwa bahari hindi inayoishinda Mombasa..

Kwenye port Performance, Mombasaiko na alama 74, Dar imechwa nyuma iko na 53 points

port perfomance rating 2.PNG





1583522917715.png






Soma vizuri hapa
1583523082562.png




Dar port haiwezi ikashindana na Mombasa!!!!!


Source: https://www.pwc.co.za/en/assets/pdf/strengthening-africas-gateways-to-trade.pdf
 
Ahahahahahahahaha duh, yani unawezaje kua haujui hata performance ya nchi yako? hapa hatuko vijiweni ambapo mtu anaweza tamka tu lolote... Si ungetumia kama nusu dakika ku google mtandaoni kabla ya kujiabisha hivi.. Dar inapokea miziko 20 million tonnes, Mombasa inafika 32 Million tonnes.... Ni bandari ya durban pekee tu kwa bahari hindi inayoishinda Mombasa..

Kwenye port Performance, Mombasaiko na alama 74, Dar imechwa nyuma iko na 53 points

View attachment 1379281




View attachment 1379282





Soma vizuri hapa
View attachment 1379283



Dar port haiwezi ikashindana na Mombasa!!!!!


Source: https://www.pwc.co.za/en/assets/pdf/strengthening-africas-gateways-to-trade.pdf
Acha ubishi jomba, Dar port ina operations kubwa kuliko Mombasa. Hizo takwimu inategemea na dhima ya alieziandaa. Vyombo vinavyo dock Dar Msa haijawahi kuvipokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahahahahahaha duh, yani unawezaje kua haujui hata performance ya nchi yako? hapa hatuko vijiweni ambapo mtu anaweza tamka tu lolote... Si ungetumia kama nusu dakika ku google mtandaoni kabla ya kujiabisha hivi.. Dar inapokea miziko 20 million tonnes, Mombasa inafika 32 Million tonnes.... Ni bandari ya durban pekee tu kwa bahari hindi inayoishinda Mombasa..

Kwenye port Performance, Mombasaiko na alama 74, Dar imechwa nyuma iko na 53 points

View attachment 1379281




View attachment 1379282





Soma vizuri hapa
View attachment 1379283



Dar port haiwezi ikashindana na Mombasa!!!!!


Source: https://www.pwc.co.za/en/assets/pdf/strengthening-africas-gateways-to-trade.pdf
Wacha kujibishana na wazimu! jamaa kapata voucher ya bure hajui afanyie nini sasa anakupotezea wakati tu.
 
Was this in the initial plan ama mnabadili gia angani, wakati wote you've been screaming of Ethiopia Market as far as Lamu is concerned,
You are not serious and as what is happening to the sgr to nowhere, Lamu port is a white elephant thing.
Usitie wasi wasi, Duniani ni bara la Africa pekee ndo limewachwa nyuma, kule kwengine ports zina operate kwa Model ya Hub and Spoke...... Yani unakuta bandari moja ndo inapokea meli zote kubwa kubwa alafu meli ndogo ndo zinatumika kusambaza mizigo kwa bandari zengine.... Kule China ni Singapore, Shanghai na Hong Kong, Marekani ni port of Miami na NewYork, South America ni Portof Brazil,Europe ni port of Antwerp na Rotterdam. ......

Africa pekee ndo haina model kama hii kwasababu hakuna hata bandari moja Africa nzima yenye uwezo huu...Meli hubidi isafiri hadi Djibouti iangushe mizigo alafu ipige safari hadi Mombasa, Tanga, Dar, Maputo, SA.....etc Ni bandari ya Mombasa na Durban pekee hapa Sub sahara ndo ziko na potential ya kuwa "hub ports" ... Lamu port inajengwa kuhudumia haya matakwa... Yani jimeli kubwa linaleta mizigo ya nchi zote Kutoka Kenya hadi SA na kuiangusha Kenya, alafu kutoka hapo meli ndogo ndogo ndo zinapeleka mizigo kwa nchi tofauti za Africa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kuota ndoto za vijiweni
Ndoto za kijiwe cha kahawa ni kwamba, lamu port ndio alternative ya Msa port. Kumbuka mlishaweka collateral hiyo Msa kwa gari moshi la no where. Hivyo GoK itabaki na hicho ki mwalo cha lamu. Na vijiwe vya gahawa vya bongo ni moto, havijawahi kuniangusha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoto za kijiwe cha kahawa ni kwamba, lamu port ndio alternative ya Msa port. Kumbuka mlishaweka collateral hiyo Msa kwa gari moshi la no where. Hivyo GoK itabaki na hicho ki mwalo cha lamu. Na vijiwe vya gahawa vya bongo ni moto, havijawahi kuniangusha.

Sent using Jamii Forums mobile app
PWAHAHAHAHAAA....USILIE MDOGO WANGU,,LAMU PORT IS LARGER THAN DAR IS A SLUM PORT AND LARGER THAN ALL DANGANYIKAN PORTS COMBINED...TULIA DAWA IKUPONYE VIZURI
 
PWAHAHAHAHAAA....USILIE MDOGO WANGU,,LAMU PORT IS LARGER THAN DAR IS A SLUM PORT AND LARGER THAN ALL DANGANYIKAN PORTS COMBINED...TULIA DAWA IKUPONYE VIZURI
Hebu Nioneshe Hiyo lamu port iliyokubwa kuzidi tu hata mtwara port. Ukishindwa kunionesha Mimi nitakuonesha mang'aa mropokaji wa ku fantasies mambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahahahahahaha duh, yani unawezaje kua haujui hata performance ya nchi yako? hapa hatuko vijiweni ambapo mtu anaweza tamka tu lolote... Si ungetumia kama nusu dakika ku google mtandaoni kabla ya kujiabisha hivi.. Dar inapokea miziko 20 million tonnes, Mombasa inafika 32 Million tonnes.... Ni bandari ya durban pekee tu kwa bahari hindi inayoishinda Mombasa..

Kwenye port Performance, Mombasaiko na alama 74, Dar imechwa nyuma iko na 53 points

View attachment 1379281




View attachment 1379282





Soma vizuri hapa
View attachment 1379283



Dar port haiwezi ikashindana na Mombasa!!!!!


Source: https://www.pwc.co.za/en/assets/pdf/strengthening-africas-gateways-to-trade.pdf
Nimedownload hio report ya PWC nitaisoma
 
Back
Top Bottom