Lawrance franci
Member
- Oct 14, 2011
- 98
- 121
Picha yenyewe umedowbload badala ya kupiga pc yenyewe!! Shwain hiyo mimi nakupa elfu 50 haijalishi ina shida ganHP MIN LAPTOP 300,000/= TU
INa RAM 2 GB
HDD 160
SCREEN SIZE 10.1
Refuerbished
Ina Kaa na charge Masaa 10
Call Me 0716889489View attachment 1843861
Namba kubwa sana hiyo hakuna ambayo namba zake nyepes kidogoTunauza Laptop Aina mbalimbali
Ukinunua PC hii tunakupa Flash GB 32 NA BEGI LA KUBEBEA BUREEEEE Kabisa ..
Nimeziweka status yangu,ikascreenshoot ili maneno na picha viwe sehemu moja.Mimi ndiye muuzaji wa hizo laptop.labda unifunsishe namna ya kufanya ili nisiwe mtu wa hovyo.au zisiwe na walakini.Unisaidie mambo ya computer.Kama unawasiwasi Njoo ofisini uzitazameUnauza wewe au umescreenshot sehemu...
basi angalia vizuri picha zako na maelezo utagundua kosa kama usipogundua kosa usiniquote tenaNimeziweka status yangu,ikascreenshoot ili maneno na picha viwe sehemu moja.Mimi ndiye muuzaji wa hizo laptop.labda unifunsishe namna ya kufanya ili nisiwe mtu wa hovyo.au zisiwe na walakini.Unisaidie mambo ya computer.Kama unawasiwasi Njoo ofisini uzitazame
Yesss nimenote mkuu nazifanyiaa editing thanks for comments.basi angalia vizuri picha zako na maelezo utagundua kosa kama usipogundua kosa usiquote tena
ukigundua niquote unieleze ulipokosea ili utambue errors
hizo specification mzee kwa 200-300k uongo mzee wanguHizo zote hapo hazipaswi kuzodi 200K- 300K kwa kila moja rafiki.