Computer4Sale Laptop aina mbalimbali zinauzwa
Ujinga wa chip za AMD zikichoka zinakuwaga zaidi ya konokono😅
 
Aliyekuwa Mkurugenzi Wa Halmashauri Ya wilaya ya kilwa ndugu Hanan Bafagih Ambaye Kwa Sasa Amehamishiwa Kibiti.

Alijitahidi sana kufanya kazi hasa kuwa mstari wa mbele Katika kusimamia Miradi ya Maendeleo bila upigaji japo amekaa kwa miezi 9 tu kilwa lakini ukifika kilwa Hadi wapinzani wameukubali mziki wake kwa kupenda Maendeleo.

Rai yangu kwenu watu wa Kibiti mtumieni vizuri huyu Mkurugenzi mtafika mbali.
 
Aliyekuwa Mkurugenzi Wa Halmashauri Ya wilaya ya kilwa ndugu Hanan Bafagih Ambaye Kwa Sasa Amehamishiwa Kibiti.

Alijitahidi sana kufanya kazi hasa kuwa mstari wa mbele Katika kusimamia Miradi ya Maendeleo bila upigaji japo amekaa kwa miezi 9 tu kilwa lakini ukifika kilwa Hadi wapinzani wameukubali mziki wake kwa kupenda Maendeleo.

Rai yangu kwenu watu wa Kibiti mtumieni vizuri huyu Mkurugenzi mtafika mbali
Sasa Kibiti wamtumie vipi? Au yeye ndio awatumikie vizuri?

Mbona hili kama debe la kujipigia?
 
Vitendo vya utekaji na watoto kupotea vinatukwaza mno Watanzania. Hili ni tatizo kubwa sana kuwahi kutokea Tanzania.
 
Huyu dada amewahi kuwa DAS Kigamboni na Ubungo; pia Mkurugenzi Kisarawe.

Ni mtu smart sana!

Screenshot_20240906-073115.png
 
Hivi Kilwa kuna watu? Naona kama ni deserted land.
 
Back
Top Bottom