Ngunichile
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 356
- 522
Ofisi yenu ina account Instagram ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AMD haina tofauti na intelTatizo AMD
Tofauti ipo kwenye processing speeds tuAMD haina tofauti na intel
Ukute ishapigwa moto hapoUjinga wa chip za AMD zikichoka zinakuwaga zaidi ya konokono[emoji28]
Nina maanaayangu mzee! Machine za AMD NA Nvidia kununua mkononi ni risk kdgAMD haina tofauti na intel
yeah ndo maana cost imeka hivyoAMD haina tofauti na intel
LINK HIYO HAPO BOSSOfisi yenu ina account Instagram ??
Mali ni nyingi zipoi boss usijar...nunua kitu roho inapenda..Nina maanaayangu mzee! Machine za AMD NA Nvidia kununua mkononi ni risk kdg
Sasa Kibiti wamtumie vipi? Au yeye ndio awatumikie vizuri?Aliyekuwa Mkurugenzi Wa Halmashauri Ya wilaya ya kilwa ndugu Hanan Bafagih Ambaye Kwa Sasa Amehamishiwa Kibiti.
Alijitahidi sana kufanya kazi hasa kuwa mstari wa mbele Katika kusimamia Miradi ya Maendeleo bila upigaji japo amekaa kwa miezi 9 tu kilwa lakini ukifika kilwa Hadi wapinzani wameukubali mziki wake kwa kupenda Maendeleo.
Rai yangu kwenu watu wa Kibiti mtumieni vizuri huyu Mkurugenzi mtafika mbali