Laptop hii ipo vizuri kwa gaming?

Laptop hii ipo vizuri kwa gaming?

Ndove

Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
15
Reaction score
16
Na hii vp wataalam je iko vizuri? Kusukuma heavy games?

Na hizi ndizo sifa zake 👇
Screenshot_20221012-001437.png
Screenshot_20221012-001458.png
Screenshot_20221012-001510.png
Screenshot_20221012-001520.png
 
Iko vizuri kwa upande wa specs nyingine, ingawa processor ya 6th gen sishauri, kwa sababu ili kupata windows 11 na updates muhimu unahitaji atleast 8th gen, lakini pia angalia resolution.

Kwa sasa standard nzuri ya resolution atleast ni 1080p kwa games, utapata experience nzuri sana. Kwa hiyo hakikisha display ina resolution ya 1080p na kuendelea, ingawa 1200 na 1440p na kuendelea ni nzuri zaidi kama upo vizuri mfukoni.
 
Nvidia gtx 1060 ni GPU ya zamani Kwa sasa ambayo ni ngumu kuchecheza gemu Kwa fremu 60.

Hapo gemu kama cyberpunk 2077 itakuwa inacheza Kwa 20fps mpaka 40 Kwa low au.medium settings kwenye 1080p hizi na uwezekano WA kupata tearing na stuttering.

Ukiipata laptop yenye rtx 2060 na CPU ya intel 10th gen itakuwa ni nafuu, rtx 2060 inasapoti DLSS (Deep Learning Super Sampling) na DirectX 12 Ultimate

DLSS ni upscaling tech ya Nvidia inayosaidia gemu kucheza Kwa low settings lakini fremu zinazozalishwa zinakuwa na ubora mkubwa hivyo hii inasaidia kucheza gemu za kisasa Kwa fremu nyingi
 
Nvidia gtx 1060 ni processor ya zamani Kwa sasa ambayo ni ngumu kuchecheza gemu Kwa fremu 60.

Hapo gemu kama cyberpunk 2077 itakuwa inacheza Kwa 20fps mpaka 40 Kwa low au.medium settings kwenye 1080p hizi na uwezekano WA kupata tearing na stuttering.

Ukiipata laptop yenye rtx 2060 na CPU ya intel 10th gen itakuwa ni nafuu, rtx 2060 inasapoti DLSS (Deep Learning Super Sampling) na DirectX 12 Ultimate

DLSS ni upscaling tech ya Nvidia inayosaidia gemu kucheza Kwa low settings lakini fremu zinazozalishwa zinakuwa na ubora mkubwa hivyo hii inasaidia kucheza gemu za kisasa Kwa fremu nyingi
ni game hizi hizi kama za mpira na need for speed au kuna magame mengine?
 
ni game hizi hizi kama za mpira na need for speed au kuna magame mengine?
Sports game ziko optimized Ila huwezi kupata FPS za kutosha.

Heavy demanding games mfano WA shadow of the tomb raider, Far Cry 6, Call of duty: war zone, Metro Exodus kama mwanzalisha thread alikuwa anamaanisha hizi gtx 1060 haifai Kwa sasa.

Zipo low end end GPU kama rtx 2060 zinazokuja tech mpya kama DLSS na NVENC encoder(Kwa ajili ya streaming) za kuhimili kila Aina ya gemu kwa medium settings na hata resolution 1440p unaweza pata zaidi ya 60fps
 
Sports game ziko optimized Ila huwezi kupata FPS za kutosha.

Heavy demanding games mfano WA shadow of the tomb raider, Far Cry 6, Call of duty: war zone, Metro Exodus kama mwanzalisha thread alikuwa anamaanisha hizi gtx 1060 haifai Kwa sasa.

Zipo low end end GPU kama rtx 2060 zinazokuja tech mpya kama DLSS na NVENC encoder(Kwa ajili ya streaming) za kuhimili kila Aina ya gemu kwa medium settings na hata resolution 1440p unaweza pata zaidi ya 60fps
Ila hzo nadhan gharama yake itakuwa kubwa , cio
 
Ninapenda kuplay games n hobby yangu sanaa ila cina uelewa sana kuhusiana na vitu muhimu kweny pc vitavyosupport games nyingi kucheza Vizuri (napenda sana offline na online Action Games eg Pubg, )
Mfano umeelezea FPS, rtx gpu, na dlls na vp kuhusiana na core , naomba unielekeze hv vtu.

Nvidia gtx 1060 ni GPU ya zamani Kwa sasa ambayo ni ngumu kuchecheza gemu Kwa fremu 60.

Hapo gemu kama cyberpunk 2077 itakuwa inacheza Kwa 20fps mpaka 40 Kwa low au.medium settings kwenye 1080p hizi na uwezekano WA kupata tearing na stuttering.

Ukiipata laptop yenye rtx 2060 na CPU ya intel 10th gen itakuwa ni nafuu, rtx 2060 inasapoti DLSS (Deep Learning Super Sampling) na DirectX 12 Ultimate

DLSS ni upscaling tech ya Nvidia inayosaidia gemu kucheza Kwa low settings lakini fremu zinazozalishwa zinakuwa na ubora mkubwa hivyo hii inasaidia kucheza gemu za kisasa Kwa fremu nyingi
 
1060 kwa laptop inacheza games zote bila wasiwasi na sababu ni Gaming laptop ina maana i7 yake itakuwa ni Quad. Bei pia nzuri huwezi pata machine yenye specs kama hizo kibongo bongo kwa hio bei.

Wasiwasi wangu ni isije kuwa changa la macho tu, ukanunua hio laptop likaja kasha tupu ama ukatapeliwa soma vizuri maelezo.

No way jamaa awe na stock kubwa hivyo ya Mtumba wa Msi.
 
China wamefanya Nchi zetu ni kutupa chochote hiyo Hela kama una mtu SA mwambie Incredible connection hapo Bruma au East gate Mall anakuta HP mpya kwenye Box ukiongeza 1.1m unaweza kupata Touch yake SA wana kodi ndogo sana kwa Laptop au Computer wakiamini ni vitu vinavyotoa Elimu...hiyo Laptop ya 1.1m Tsh Nairobi niliikuta inauzwa sawa na 2.4m Tsh na hilo Duka wana sell kila mara unaweza ukaandaa hela hiyo kumbe wao washashusha bei...na zipo nyingi brand tofauti ni uchaguzi wako tuu...hiyo uliyoiweka hapo viduka vya Electronics mtaani watakuuzia laki mbili na nusu ya Kitanzania wengine mpaka rand 1,300 sawa na laki na themanini...kwa bei ndogo za dukani wengi wananunua vitu vipya..
 
China wamefanya Nchi zetu ni kutupa chochote hiyo Hela kama una mtu SA mwambie Incredible connection hapo Bruma au East gate Mall anakuta HP mpya kwenye Box ukiongeza 1.1m unaweza kupata Touch yake SA wana kodi ndogo sana kwa Laptop au Computer wakiamini ni vitu vinavyotoa Elimu...hiyo Laptop ya 1.1m Tsh Nairobi niliikuta inauzwa sawa na 2.4m Tsh na hilo Duka wana sell kila mara unaweza ukaandaa hela hiyo kumbe wao washashusha bei...na zipo nyingi brand tofauti ni uchaguzi wako tuu...hiyo uliyoiweka hapo viduka vya Electronics mtaani watakuuzia laki mbili na nusu ya Kitanzania wengine mpaka rand 13000 sawa na laki na themanini...kwa bei ndogo za dukani wengi wananunua vitu vipya..
Huwezi pata machine Equivalent ya hio kwa 1m, gaming pc entry level ambazo zina rtx 3050 zinapatikana kuanzia $600 tena kwenye sale. Machine za 1m hazina dedicated gpu wala cpu zake sio Zinazoishiwa na H kama unazokuta kwenye Gaming laptop, utapata tu zile za U ama G/P.
 
Huwezi pata machine Equivalent ya hio kwa 1m, gaming pc entry level ambazo zina rtx 3050 zinapatikana kuanzia $600 tena kwenye sale. Machine za 1m hazina dedicated gpu wala cpu zake sio Zinazoishiwa na H kama unazokuta kwenye Gaming laptop, utapata tu zile za U ama G/P.
SA wana zaga nyingi sana mkuu yaani Johannesburg pana Zaga nyingi sana kabla ya Corona maduka ya cash conveters borgsburg,woodmed na kempton park baadhi ya vitu walikua wanaviweka nje hasa used nishawahi nunua frem ya Camera Nikon D 5200 bila lens rand 1500 kama laki mbili tuu...wenzetu Tv madukani zinakaa kutokana na mwaka sio upya wake huwezi kwenda Macro ukaikuta Tv mpya Lg,Sumsung au Hisence ya 2019 wakati Nchi zetu hivyo hawazingatii maana yangu ni kwamba wakishauza stoke zikibaki chache wanauza sell sell usiseme huwezi kuta wakati machimbo huyajui..
 
1060 kwa laptop inacheza games zote bila wasiwasi na sababu ni Gaming laptop ina maana i7 yake itakuwa ni Quad. Bei pia nzuri huwezi pata machine yenye specs kama hizo kibongo bongo kwa hio bei.

Wasiwasi wangu ni isije kuwa changa la macho tu, ukanunua hio laptop likaja kasha tupu ama ukatapeliwa soma vizuri maelezo.

No way jamaa awe na stock kubwa hivyo ya Mtumba wa Msi.
Dell XPS 15 9560 UHD 4K Touchscreen Intel Core i5-7300HQ 8GB RAM 256GB SSD Nvidia GTX 1050 4GB GDDR5 Windows 10
Hii ni nzuri?
 
Ninapenda kuplay games n hobby yangu sanaa ila cina uelewa sana kuhusiana na vitu muhimu kweny pc vitavyosupport games nyingi kucheza Vizuri (napenda sana offline na online Action Games eg Pubg, )
Mfano umeelezea FPS, rtx gpu, na dlls na vp kuhusiana na core , naomba unielekeze hv vtu.
Kwa Mimi kama ni gaming kitu cha Kwanza cha msingi ni GPU.

GPU ni Graphics Processing Units KAZI yake ni ku-render images(kitu kama kuchora au kuonyesha picha) za gemu

FPS kirefu chake ni Frames Per Second, unavyoona video ni mkusanyiko WA images nyingi Tu, jicho la binadamu huona picha zikiwa kwenye motion iwapo image 24(kama sijakosea) zikiwa zinapita Kwa sekunde moja yaani 24fps.

Hivyo GPu inayorender frames(images) nyingi inafanya gemu kuwa nzuri Ila VRAM itabidi iwe kubwa na CPU iwe na core nyingi huku ikiwa na performance kubwa kwenye thread moja( core moja tuseme)

Maana gemu za siku hizi Kama Far Cry 6 inatafuna karibu GB 10 ya VRAM na 15GB ya RAM

Fremu zikiwa nyingi gemu ndio inakuwa smooth kucheza na kama refresh rate na yenyewe ikiwa kubwa (zaidi ya 60Hz), na ikiwa unaweza kupata zaidi ya 60fps kwenye ultra graphics settings kwenye resolution ya 1440p au 1080p hata 4k

Na kama unapenda kucheza online games basi GPU yenye NVENC encoder inasaidia kupata fremu nyingi, 1060 haina hii

DLSS kirefu chake ni Deep Learning Super Sampling hii ni teknolojia ya artificial intelligence iliyoundwa na NVIDIA Kwa ajili ya uboreshaji WA muonekano WA graphics.


Kikawaida ukicheza gemu kwenye low settings graphics utapata fremu nyingi zinazoweza fika hata 80fps Kwa low end na mid range GPU kama 1060, 1660, 2060 lakini ubora WA images inakuwa ni WA chini. DLSS inakuza ule muonekano WA graphics na kufanya graphics kuonekana kuwa kama high settings kumbe ni low

Idadi ya core pia ni ya kuzingatia gemu kubwa kubwa huwa zinaweza kukamua mpaka core 8, kikubwa ni uwezo CPU kwenye single thread.

GTX na RTX ni brand name za NVIDIA

GTX ni matoleo ya geforce 10th series yaliyokuwa yanatumia paschal architecture

RTX nadhani inamaanisha GPU inasapoti ray tracing, mambo ni mengi.

Kwa kifupi gaming PC zingatia GPU kama ndio msingi binafsi Naona kuanzia rtx 2060 kwenda mbele au gtx 1080 Ti, CPU yenye core zaidi ya 6, faster ram GB 16 (ddr4 2500Mhz) nk
 
Back
Top Bottom