Laptop hii ipo vizuri kwa gaming?

Laptop hii ipo vizuri kwa gaming?

SA wana zaga nyingi sana mkuu yaani Johannesburg pana Zaga nyingi sana kabla ya Corona maduka ya cash conveters borgsburg,woodmed na kemton park baadhi ya vitu walikua wanaviweka nje hasa used nishawahi nunua frem ya Camera Nikon 5200 bila lens rand 1500 kama laki mbili tuu...wenzetu Tv madukani zinakaa kutokana na mwaka sio upya wake huwezi kwenda Macro ukaikuta Tv mpya Lg,Sumsung au Hisence ya 2019 wakati Nchi zetu hivyo hawazingatii maana yangu ni kwamba wakishauza stoke zikibaki chache wanauza sell sell usiseme huwezi kuta wakati machimbo huyajui..
Sawa mkuu, ila Hizi laptop zenye dedicated gpu ni bei ndefu. Kama upo South pitia Chimbo lako unaloliamini tafuta laptop yoyote yenye RTX ama Gtx kama hii ambayo ina 60 katikati.
 
1060 kwa laptop inacheza games zote bila wasiwasi na sababu ni Gaming laptop ina maana i7 yake itakuwa ni Quad. Bei pia nzuri huwezi pata machine yenye specs kama hizo kibongo bongo kwa hio bei.

Wasiwasi wangu ni isije kuwa changa la macho tu, ukanunua hio laptop likaja kasha tupu ama ukatapeliwa soma vizuri maelezo.

No way jamaa awe na stock kubwa hivyo ya Mtumba wa Msi.
Ngoja nifuatilie vizuri, kma unavyosema lisije kuja kasha. Maan laptop naion n kubwa.
Na pia cjawah kununua chochote from Alibaba online, natakiwa kupata wataalam wazoefu wa hio platform ili niweze kupata taarifa sahihi. Nisije pigwa na kitu kizito
 
Sawa mkuu, ila Hizi laptop zenye dedicated gpu ni bei ndefu. Kama upo South pitia Chimbo lako unaloliamini tafuta laptop yoyote yenye RTX ama Gtx kama hii ambayo ina 60 katikati.
Mkuu kwa mpya zipo ghari ila used kama hiyo niliyoiona hapo nimesema bei yake sio ghari incredible connection wana laptop za game mpya kuanzia 1.5m,5m mpaka 10m...
 
Mkuu kwa mpya zipo ghari ila used kama hiyo niliyoiona hapo nimesema bei yake sio ghari incredible connection wana laptop za game mpya kuanzia 1.5m,5m mpaka 10m...
ungeweka specs na bei mkuu, sababu gaming laptop zipo zenye gtx 750, 950, 1050, 1650 etc zote hizi hazifikii gtx 1060, inawezekana ukaona gaming laptop ila ikawa ni dhaifu zaidi
 
ungeweka specs na bei mkuu, sababu gaming laptop zipo zenye gtx 750, 950, 1050, 1650 etc zote hizi hazifikii gtx 1060, inawezekana ukaona gaming laptop ila ikawa ni dhaifu zaidi
Mkuu siuzi laptop nipo kwenye magari na parts zake kwa sasa hivi hizo Laptop nilifanya muda sasa hivi nanunua nikitaka za kutumia au mtu akiagiza mimi nawafungua kuwa hivyo vitu sio hatari kwa SA ambazo kidogo ukiipata hata used ni hizo Apple Macbook pro za miaka ya karibuni ndio zinakua ghari kidogo...mkuu kwani mimi napata nini kukueleza kuwa sehemu fulani ni bei nzuri wewe unakomaa hoo zinaweza kuwa dhaifu, SA kwa Afrika wapo mbali sana kuhusu Electronics yeyote unayoifahamu fatilia hilo utapata kitu...
 
Na hii vp wataalam je iko vizuri? Kusukuma heavy games?

Na hizi ndizo sifa zake 👇View attachment 2384206View attachment 2384207View attachment 2384208View attachment 2384209
Nakushauri utafute desktop.... Gpu za desktop ni more powerful... Hint tafuta desktop tower minimum iwe intel i5 au i7 za 3rd gen price around 250k kama mfuko unaruhusu tafuta tower za 10th gen ata core i3.. Hii ina nguvu sana kuliko some i7 sa 6th gen kasoro 6700k...hakikisha psu ina atleast 300w..gpu unaagiza ata nje ni cheap zaidi gtx 1650 ya ddr6 inakufaa kama ni casual gamer.. Hii brand new mpaka bongo around 600k to 650k..ongeza na ssd kwa ajili ya windows unapata gaming performance nzuri.. Mfano ukipea gtx 1650 na i7 3770 inacheza game nyingi tu mpya kama far cry 6, fifa 23 in low or medium setting karibu na 60fps..hint ukipata tower ya dell optiplex kama 7010 ukaweka na i7 3770 itakukost around 300k to 350k ukiongeza na gtx 1650 na ram 12 to 16gb budget ya 1m ushapata mashine ukaongeza na monitor ata ya kawaida ya 60hz around 150k shughuli imeisha
 
Nvidia gtx 1060 ni GPU ya zamani Kwa sasa ambayo ni ngumu kuchecheza gemu Kwa fremu 60.

Hapo gemu kama cyberpunk 2077 itakuwa inacheza Kwa 20fps mpaka 40 Kwa low au.medium settings kwenye 1080p hizi na uwezekano WA kupata tearing na stuttering.

Ukiipata laptop yenye rtx 2060 na CPU ya intel 10th gen itakuwa ni nafuu, rtx 2060 inasapoti DLSS (Deep Learning Super Sampling) na DirectX 12 Ultimate

DLSS ni upscaling tech ya Nvidia inayosaidia gemu kucheza Kwa low settings lakini fremu zinazozalishwa zinakuwa na ubora mkubwa hivyo hii inasaidia kucheza gemu za kisasa Kwa fremu nyingi
But still 1060 is very capable until today
 
Kwa Mimi kama ni gaming kitu cha Kwanza cha msingi ni GPU.

GPU ni Graphics Processing Units KAZI yake ni ku-render images(kitu kama kuchora au kuonyesha picha) za gemu

FPS kirefu chake ni Frames Per Second, unavyoona video ni mkusanyiko WA images nyingi Tu, jicho la binadamu huona picha zikiwa kwenye motion iwapo image 24(kama sijakosea) zikiwa zinapita Kwa sekunde moja yaani 24fps.

Hivyo GPu inayorender frames(images) nyingi inafanya gemu kuwa nzuri Ila VRAM itabidi iwe kubwa na CPU iwe na core nyingi huku ikiwa na performance kubwa kwenye thread moja( core moja tuseme)

Maana gemu za siku hizi Kama Far Cry 6 inatafuna karibu GB 10 ya VRAM na 15GB ya RAM

Fremu zikiwa nyingi gemu ndio inakuwa smooth kucheza na kama refresh rate na yenyewe ikiwa kubwa (zaidi ya 60Hz), na ikiwa unaweza kupata zaidi ya 60fps kwenye ultra graphics settings kwenye resolution ya 1440p au 1080p hata 4k

Na kama unapenda kucheza online games basi GPU yenye NVENC encoder inasaidia kupata fremu nyingi, 1060 haina hii

DLSS kirefu chake ni Deep Learning Super Sampling hii ni teknolojia ya artificial intelligence iliyoundwa na NVIDIA Kwa ajili ya uboreshaji WA muonekano WA graphics.


Kikawaida ukicheza gemu kwenye low settings graphics utapata fremu nyingi zinazoweza fika hata 80fps Kwa low end na mid range GPU kama 1060, 1660, 2060 lakini ubora WA images inakuwa ni WA chini. DLSS inakuza ule muonekano WA graphics na kufanya graphics kuonekana kuwa kama high settings kumbe ni low

Idadi ya core pia ni ya kuzingatia gemu kubwa kubwa huwa zinaweza kukamua mpaka core 8, kikubwa ni uwezo CPU kwenye single thread.

GTX na RTX ni brand name za NVIDIA

GTX ni matoleo ya geforce 10th series yaliyokuwa yanatumia paschal architecture

RTX nadhani inamaanisha GPU inasapoti ray tracing, mambo ni mengi.

Kwa kifupi gaming PC zingatia GPU kama ndio msingi binafsi Naona kuanzia rtx 2060 kwenda mbele au gtx 1080 Ti, CPU yenye core zaidi ya 6, faster ram GB 16 (ddr4 2500Mhz) nk
Unaizungumziaje pia hii radeon RX580 8gb, naona mtandaoni imekuwa bei cheap sana around laki 2 hadi laki 3+ bila sheeping.
 
Unaizungumziaje pia hii radeon RX580 8gb, naona mtandaoni imekuwa bei cheap sana around laki 2 hadi laki 3+ bila sheeping.
Ineandana na 1060 japo Rx 580 inazidi kidogo gtx 1060 maana zimetofautiana mwaka tangu zilipotoka.
 
Ineandana na 1060 japo Rx 580 inazidi kidogo gtx 1060 maana zimetofautiana mwaka tangu zilipotoka.
Bei imekuwa cheap kuliko hata hiyo gtx1060, AliExpress znapatikana kwa around 200,000
bt inacheza game zote mpaka hz demand kwa 1080p
 
Back
Top Bottom