SOLD: Laptop inauzwa bei rahisi kabisa

SOLD: Laptop inauzwa bei rahisi kabisa

Fadhili Paulo

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2011
Posts
3,211
Reaction score
993
[h=1]HP Pavilion dv6[/h]RAM : 4GB
Processor: core i5
Hard Disk Drive : 500GB
DVD-RW
WEBCAM
Battery last up to 3 hours

Who come first take it first

Price: Tsh 530,000/= (negotiable)
Contact: +255769142586 call/sms/whatsapp
 

Attachments

  • hp_pavilion_dv6_920687_g5.jpg
    hp_pavilion_dv6_920687_g5.jpg
    34.3 KB · Views: 568
[h=1]HP Pavilion dv6[/h]RAM : 4GB
Processor : core i5
Hard Disk Drive : 500GB
DVD-RW
WEBCAM
Battery last up to 3 hours

Who come first take it first

Price: Tsh 530,000/= (negotiable)
Contact: +255769142586 call/sms/whatsapp

Kaka nipigie 0653 457659
 
Sio computer hizo.zina overheating balaa.zinakufaga board.hazifai
 
Hazifai hazifai hizo machine.nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 8nazijua pavilion.ni uchafu tu
 
Hazifai hazifai hizo machine.nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 8nazijua pavilion.ni uchafu tu

Mimi nafanya kazi za IT zaidi ya miaka 16 sasa ila unalolisema ni uongo mtupu, kama ni kweli uyasemayo thibitisha madai yako na mimi nitayathibitisha yangu tena kwa maandishi
 
Naona mnanishambulia.Mimi nime comment kwa jinsi ninavyozijua HP pavilion Dv series. Kosa langu liko wapi?uliza mafundi wote kuhusu pavilion dv series. Mother board zinakufa.na motherboard no $250.zilitengezwa kwa ajili ya nchi za baridi.ndiyo maana hakuna pavilion dv series dukani.zote ni used na coz hazitengenezwa kwa ajili ya Africa.
 
Naona mnanishambulia.Mimi nime comment kwa jinsi ninavyozijua HP pavilion Dv series. Kosa langu liko wapi?uliza mafundi wote kuhusu pavilion dv series. Mother board zinakufa.na motherboard no $250.zilitengezwa kwa ajili ya nchi za baridi.ndiyo maana hakuna pavilion dv series dukani.zote ni used na coz hazitengenezwa kwa ajili ya Africa.

Hii ndio point ambayo ulitakiwa uwanze nayo.

Btw mi sio mtaalamu sana ila specifications na bei. Mh!!!
 
Naona mnanishambulia.Mimi nime comment kwa jinsi ninavyozijua HP pavilion Dv series. Kosa langu liko wapi?uliza mafundi wote kuhusu pavilion dv series. Mother board zinakufa.na motherboard no $250.zilitengezwa kwa ajili ya nchi za baridi.ndiyo maana hakuna pavilion dv series dukani.zote ni used na coz hazitengenezwa kwa ajili ya Africa.

Asante kwa ushauri!
 
Back
Top Bottom