barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Mi hapa nafanya biashara sijaja kufanya review ya laptop, kama unazijuwa sana nenda jukwaa la tech & gadgets kaelezee huko wakuelewe, unaelezea ubaya wa bidhaa dukani kwa mtu mbele ya mteja?.
MUNGU ATAKULIPA.
Poa, samahani lakini kama nimeleta mtafaruku, narudia, SAMAHANI.