USD 1000k..?? hivi unakijua hiki ulichokiandika au unachangamsha genge tu.??
Okeii ..1000k = 1,000,000 hapo haujazidisha na 2300 kuiconvert kwa pesa madafu.
JK ndo aliondoka kodi kwenye computers, na akawapendelea Bongo Movie (bila kujua hawabebeki) kwa kuwaondolea kodi kwenye cameras! Kwa sasa kodi zote hizo zimerudi!