TRUE LOVE IKO ILA IS VERY VERY ETREMELY TRICKY INATAKA SACRIFISES NYINGI SANAAA, NA KUJIFANYA MJINGAAA SANAAA, TAKING LOADS AND LOADS OF SHIT KIUKWELI INATAKA TRUE AND NOTHING BY THE TRUTH LOVE. Daaaaaaah! Kwangu najiapizaga siku 2 nyingi nashindwaaaaa.
Kama ningkuwa mtu wa True Love basi ningekubali Mkinga tuoane (Sio anioe, hapanaaaaa kabisaaa) Ila wapiiiiii!!!!!!!!! Sifadhilikiiii, sina shukraniiii. Watu wakisema Mkinga mbayaaa mfupi, ataniharibia watoto wanaume wenye pesa kibaooo kisa cha kuzaa vi mapembeleooo na mimi nimo kwenye kuunga mkono hoja. Hahahaaa! Mama anasemaga mwisho wako utakuwa mbaya sanaaaa. Hahahahaaaaa! Kama umeshindwa kumthamini huyu kaka wa watu baaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaassssss. Heheheeeeee
Mi mtu wa FACT NA LOGICS, Philosphy yangu In this world i walk alone. kwanza duaniani kuna watu billion ngapi sijui. Cha kukomaa na mmoja kisaaa? Kama nilimpata mkinga nitapata zaidi yake vile vile.
Wanaume nakutana nao, wananipagawishaaaa sanaa kabla sijawajuaaaa. Nikiwajua sasa pale true love inapohitajika ndo nakuwa sipatikani hewani netwrok hamnaaaa, hamnaaaa.
Mifano michache, kuna bwana nilikuwa nae kuna kipindi na mkinga alivozaa na mttu wa kwanza nikambwagana nae kabisaa kabisaa. Sasa huyu kaka alikuwa mzuriii hatari, msomiii mwenzanguuu, nduguuu sema ndo FRE P hatariii. Akawa anaiambia nimchukulie million 5 kwa maza wangu afanye biashara, hizo pesa zangu nilimkopesha maza. Nikakubali mwanzo cause alikuwa na mawazo viable. Na msione namuita free p mkajua useless aliniuguzaa sanaa, niliumwa hapo kati. Nilivoenda kwa maza alinitukana matusi ya nguoniii mpaka akili ikanikaa sawa. Baadae nilikuja kujua pamoja na logic ya maza, bi mkubwa hakuwa na nia ya kulipa ile hela hata nukta sasa kumdai nikahonge ndo ikamtibua zaidiii. Bora nimsamehe yeye mzazi wangu.
Niakkaa kaa nae kama miaka mi 3, nothing was happening, hapati pesa, ana kazi yake hio hio ya laki 5 nikaona natupa maishaaa hivi hivi. Alicheat na akaomba msamaha something i could have overlooked hakuna serial cheater kama mkinga namsaehe kutokana na njaa zangu ila yule nilimshiki kidedea sio cha nchi hii, nilikuwa namtaftia sababu.
Aliniomba turudiane, nikawa nazungushaaaaa. Akaja kupata kazi bandariii, weeee sio ya kitoto. Nikakubali turudiane sasa akawa ahajasamehe basi kila mda ananikumbusha nilivomla Tigo wakati hana hela. Akacheat tenaaa. Aaaaaah! Afu sahivi si ana pesa hakuomba msamaha wala nini. Akawa anataka automatic forgivenss kama za Mkinga. Kmaninaaaa nika achaa nae.
Akaanza kutaka kunirusha rohooo. Nikarudiana na mkinga. Mpaka alihama mji yuko bandari ya Tanga. Heheheheeeeee! Alitaka kiki nikampa za pikipiki. Sio nili mu exterminate nilimu assasinate kabisaaa.
Sema if i think of it nikiwa nimetuliza akili, na nyege na kila kituuu I COULD HAVE DONE BETTER. He treated me well, basi tu, sina TRUE LOVE.
Na yule punda niliwapa story yake mwaka huu huu nampenda sanaaa, kadakwa hongkong, kapigwa miaka mi 5 jela. Nishaenda China mara 2, kwenda gereza alilofungwa ni $$$200 tu, ila sijaenda na wala mpango wa kwenda sinaaa. Nitakuja kujuta miaka mi 5 baadae akitoka maana wafungwa wa hongkong wana ajiriwa kabisaaa wanalipwa juzi kuna mwanae alikuwa ananiambia atatoka na pesa ndefu sanaaaa.
GET RICH OR DIE TRYING