Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Na swali lako nivumilie mara moja kabla hujaondoka.NA MIMI NDO NIMEMALIZAAAA! KESHO SIJI TENA HUKU. KUONEKANA HUKU MWAKANI LABDA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na swali lako nivumilie mara moja kabla hujaondoka.NA MIMI NDO NIMEMALIZAAAA! KESHO SIJI TENA HUKU. KUONEKANA HUKU MWAKANI LABDA.
Ha haa niunganishe na mkinga namie nitest kama ysliyomo yamo[emoji85]Aaaah wapi! Nishapiga kavu sema stress zake kubwaa. kupima pima ukimwi. Wanaume wenyewe kina Mkinga wa semitreall bank huko wana mlala kila mtu. Akigusaa tu anakubaliwaaa. Kwanza anatongozwa. Hoteli yake ya Makambako unaambiwa sio wahasibu, sio wahudumu wote wanamtaka na kumtongozaaa si wanajua pesa ipooo. Haya maradhi ndugu zangu nje njeeeee. Labda nije nimpate mtu muaminifu sijui kiasi gani ila sio hawa wa sahivi. Chapa ilaleee.
Acha kuporomosha poromosha mimba, umri wenyewe huu umeenda vizazi delicate sanaaa. Naendelea tu kutumia kinga.
Shogaaa anguuu SIKOPESHI MIEEE! Sina kwanza historiaaa hio. Baada hi vepeeeeee. Nachukua cash cash kablaaaa! Mapemaaaa. Na hivi sina dhiki, huna kajambe mbeleeeee.
Niombe kwani ule msaada? Na ni dai kwani lile deni useme nilimkopesha namdai changu. Mi huwa na negotiate tu terms and conditions. Biashara huria ukishindwa kulia wanawake tuko wengi, nenda kakopeshwe au upewe bure utajua mwenyewe na balaa lako.
Unamtaka wa nini?Ha haa niunganishe na mkinga namie nitest kama ysliyomo yamo[emoji85]
HahahahahNA MIMI NDO NIMEMALIZAAAA! KESHO SIJI TENA HUKU. KUONEKANA HUKU MWAKANI LABDA.
Thank you love, nipo hapa napitia taratibu
nimeona mkuuKaribu mkuu,miss natafuta leo host kwani maswali anayouliza hana"suit" na mgeni wetu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.Thank you love, nipo hapa napitia taratibu
Ha haa niunganishe na mkinga namie nitest kama ysliyomo yamo[emoji85]
poapoaKubwa La Maadui
Siyo siri mkuu huwa unaniudh kwa tabia yako ya kuingilia interviewsnimeona mkuu
Kumbe.Kazi mimi Marshallah nimepata pataaaa, nishafanya kazi kama 5 sijui 6 na inaishia kuachaaa sababu maisha ya kupeana laki 8 sio kabisaaa. Mimi na mipango mikubwaaa , na ni mtu wa matumizi makubwaaa.
Baada ya kumaliza chuo nashukuru Mungu kwa kweli sababu mimi sikwenda chuo kutimiza wajibu au kupata vyeti NIME ELIMIKA, na nashukuru nimefanya masters ya INTERNATIONA BUSINESS, CPA, BCOM corporate finance, zinanisadiaaa sanaaa sanaa kwenye kuuza ronyaaa. Hizi global market nazila viboga mchana kweupeee. Na apply education yangu. Katika marketing na jinsi navoendesha busniess yangu.
Pia ni consaltant so i am still making good money from Academic world. Kwa jinsi nilivo mtoto wa mjini maisha kunila Tako bado sanaaaaaa.
Soko linabagua KI MAKU MAKU vyuoooo. Tena sahii hata UDSM yenyewe haifui dafu. WANATAKA GRADUATES WA UK, USA, INDIA, CHINA, RUSSIA. Hivo yaani. Wanataka global degrees. Wakimtangazia dau mjinga aliesoma huko wanaropoka gross 7m, nenda wewe na degree yako ya Tumaini Iringa wanakula kiboga cha laki 8 gross tena bank kubwa kama CRDB mamaeeeeeeee. Aaaaaaaaaahhhh! Bora niuze ronyaaa kwa nguvu mwanangu afe kipa afe beki lazimaaaaa UK imuhusuuu collage.
hiyo ndo salamu ya kwetu ukingani.Sielewi mama hebu niambie, hilo neno limenichekesha tu.