Ila kwa huyu chi zionje tutaporomoka kiuchumi tu watzMtu asikudanganye
Nigeria ni 510$b
Kenya ni 66$b
Tanzania ni 58$b
Huyo alieleta mada ni mkenya ndo maana ata link hawezi kuweka, ata ukiangalia kaibold kenya which explains that is the kenyan fanboy
Gap siyo kubwa sana kati ya Kenya na tz ila sababu wakenya mmekopa sana hela kwenye bajeti zenuTanzania is trying anyway..our neighbours Uganda need to wake up
Gap siyo kubwa sana kati ya Kenya na tz ila sababu wakenya mmekopa sana hela kwenye bajeti zenu
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
So Tanzanian GDP imetoka 40s mpaka 58? Oh wellMtu asikudanganye
Nigeria ni 510$b
Kenya ni 66$b
Tanzania ni 58$b
Huyo alieleta mada ni mkenya ndo maana ata link hawezi kuweka, ata ukiangalia kaibold kenya which explains that is the kenyan fanboy
Naelewa ila still Nchi zetu GDP zinaongeza na umaskin unaongezeka a still were braggin kuwa huyu ni bora kuliko yule
Naelewa ila still Nchi zetu GDP zinaongeza na umaskin unaongezeka a still were braggin kuwa huyu ni bora kuliko yule
Gap ya $24b si kubwa?Gap siyo kubwa sana kati ya Kenya na tz ila sababu wakenya mmekopa sana hela kwenye bajeti zenu
Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
...Kasema source ni world economic forum report,which you can Google, your source?Mtu asikudanganye
Nigeria ni 510$b
Kenya ni 66$b
Tanzania ni 58$b
Huyo alieleta mada ni mkenya ndo maana ata link hawezi kuweka, ata ukiangalia kaibold kenya which explains that is the kenyan fanboy
Ebu wakenya toeni mauongo yenu hapa... Leteni link ya IMF hapa sio blah blah za kutunga
Nyoooooo hahahahaha nyie wakenya ni kiboko..Hahahaha....bruh! bruh! Hatutaki kusikia
The gap is widening between Kenya and Tanzania! Now at 24+
hahahaha nigeria is shrinking...i think kuna time ilikua imefika 500...
Inaukubwa ndioGap ya $24b si kubwa?
Yet bado unawasikia wakisema wanakuja na kasi eti watatushinda hivi karibuni.
Dunia haina usawa kabisa jamani[emoji22] [emoji22] [emoji22]Bill Gate pekee yake ana USD B-87.2 sisi nchi nzima tupo kwenye 51?!!!!
Mtu asikudanganye
Nigeria ni 510$b
Kenya ni 66$b
Tanzania ni 58$b
Huyo alieleta mada ni mkenya ndo maana ata link hawezi kuweka, ata ukiangalia kaibold kenya which explains that is the kenyan fanboy