Larry Bwalya anauweka majaribuni Ufalme Chama..!

Sasa na nyie mbona mnakomaza shingo....! Baba sio lazima awe mzazi ...!
Uwezo wako ndio umeishia hapo. Ulidhani ni Baba yake mzazi na tumekufundisha hapa kua sio babake mzazi, kubali tu kua kuna kitu umejifunza, hautopungukiwa na kitu wala hutoonekana Mbumbumbu.
 
Wachangiaji wengi Sana wanapolizungumzia suala hili la Dewji hulihusisha na ahadi ya Ubingwa. Usahihi ni kwamba aliahidi ikifika fainali. Na ilifika, na wachezaji walipewa KIA zao lakini baada ya muda Sana, kutokana na kuvutana na Serikali yeye alitaka asamehewe ushuru wa importation, Serikali akaweka ngumu. Nakumbuka utawala wa awamu ya pili.
 
Chama anaweza kuing'arisha timu ya Simba pasipo uhitaji wa Bwalya, lakini Bwalya hawezi kuing'arisha Simba bila uwepo wa Chama. Chama ndio injini ya Simba
Chama ni liability,mzuri timu ikiwa na mpira,yupo slow
 
Achana na hatua ya makundi, Simba hii hii huko nyuma imeshawahi fika fainali Kombe la shirikisho...sina hakika kipindi hicho ulikuwa wapi?
Baada ya timu 2 iliyokuwa ikutane nazo kujitoa kwa sababu za kifedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…