Larry Madowo gets Promoted to International Correspondent months after joining CNN

Larry Madowo gets Promoted to International Correspondent months after joining CNN

Mkenya Mukhisa Kituyi amekuwepo UNCTAD kama Secretary General, sio huo unaibu unaoungumzia. Tena kwa muda mrefu, tangia mwaka wa 2013 hadi mwaka huu. Jikite kwenye mada, achana na majigambo ya peni mbili. Mukhisa Kituyi | UNCTAD
Hivi unajua tofauti Kati ya UNACTAD na na UN, ni sawa na kulinganisha cheo cha naibu rais na katibu mkuu wa wizara ya fedha. Umemsahau Prof. Tibaijuka alivyowatawala hapo Nairobi Kama mkrugenzi mkuu wa UNhabitat?
 
Hivi unajua tofauti Kati ya UNACTAD na na UN, ni sawa na kulinganisha cheo cha naibu rais na katibu mkuu wa wizara ya fedha. Umemsahau Prof. Tibaijuka alivyowatawala hapo Nairobi Kama mkrugenzi mkuu wa UNhabitat?
Huwezi kulinganisha Unctad na UNHabitat. Unctad iko juu zaidi.
 
Sisi Tanzania tuko vizuri sana katika English kuliko ninyi Wakenya😁😁😁
 
Fun fact: Kenya has produced 3 CNN international correspondents. Zain Verjee, Jeff Koinange na sasa Larry Madowo. Malazy ambao huwa wanasema eti kujua kiingereza hakusaidii chochote basi jaribuni kutafuta kazi CNN muone kama mtapata na hicho kiingereza chenu cha zezeze.
Matusi yanakusaidia Nini?
 
Boss wa Unctad na deputy secretary general of UN nani yuko juu?
Inabidi ukafunzwe tena organisation structure of UN.
Wacha kuingia kwenye conversation ambayo haupo. Hata huelewi tulikuwa tunazungumzia nini. Hapa tulikuwa tunawalinganisha Dr Tibaijuka na Dr Mukhisa Kituyi. UN Habitat iko Nairobi. Huwezi kunifunza kamwe organisation structure ya UN. Ninarudia tena hio UN Habitat imekuwa junior organisation kwenye swala la itifaki kushinda Unctad kwa miaka mingi. UN Habitat ni ndogo hata kushinda UNEP. Hata baada ya UN Habitat kupandishwa cheo bado inabakia kuwa ndogo in terms of size of employees na mambo mengine kushinda UNctad au UNEP. Wakati Tibaijuka alikuwa mkubwa wa UN Habitat bado UN Habitat ilikuwa ni kadude kadogo sana. Imepandishwa cheo baada ya Tibaijuka kuondoka.
 
Sisi Tanzania tuko vizuri sana katika English kuliko ninyi Wakenya😁😁😁
View attachment 1865459
Legacy alioacha wewe unayejificha nyuma ya tanakilishi hutakuja kumfikia.

eliakeem sasa kama huyo ndiye Msomi wenu anayemiliki PhD na anagugumiza tu maneno ya kiingereza bila kueleweka vizuri sasa iweje kwa nyie makabuche mnaodunda mitaani? Kiingereza kilifika Tanzania kikadinda kuingia, itabidi tutafute kiboko tuicharaze ili ikubali kuingia Bongoland.
 
Legacy alioacha wewe unayejificha nyuma ya tanakilishi hutakuja kumfikia.
Upo sahihi sana.Mimi kumfikia katika legacy yake ya kuteka,kutesa,kuua,udini,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzake,kuua uchumi,kudanganya katika data za uchumi,kukanyaga kanyaga katiba,kuua uhuru wa kujieleza,kuua demokrasia,kutokuamini katika sayansi,wateule wake kubaka na kulawiti wananchi bila hofu(Akina Sabaya),kuunda magenge ya uporaji kwa jina la tax collection task force na kadhalika siyo rahisi na hakuna mtu ambae ataweza kuweka record hizi hapa Tanzania.
 
Upo sahihi sana.Mimi kumfikia katika legacy yake ya kuteka,kutesa,kuua,udini,ukabila,ukanda,ubaguzi wa rangi kwa waafrika wenzake,kuua uchumi,kudanganya katika data za uchumi,kukanyaga kanyaga katiba,kuua uhuru wa kujieleza,kuua demokrasia,kutokuamini katika sayansi,wateule wake kubaka na kulawiti wananchi bila hofu(Akina Sabaya),kuunda magenge ya uporaji kwa jina la tax collection task force na kadhalika siyo rahisi na hakuna mtu ambae ataweza kuweka record hizi hapa Tanzania.

Mbona hutaji kuhusu kutokomezwa nyie wa vyeti feki, punda wa kubeba madawa ya kulevya, wezi wa nyara za serikali, wezi wa makontena, mashoga n.k.
 
Mbona hutaji kuhusu kutokomezwa nyie wa vyeti feki, punda wa kubeba madawa ya kulevya, wezi wa nyara za serikali, wezi wa makontena, mashoga n.k.
Malengo fake yanayopiganiwa kwa kutumia damu za watu ili kuyafikia hubadilika kuwa malengo sifuri na ukiwa kwa watu.Nia ya binadamu kuishi ni kuwa na amani na furaha.Kama huna amani na furaha maisha hayana maana.Rwanda ina karibia kila kitu kuanzia huduma za maji,afya,barabara,mawasiliano,technolojia,flyovers,reli,umeme na kadhalika lakini katika ripoti ya dunia ya furaha ya mwaka 2020 Rwanda imekuwa ni nchi ya 147 kati ya nchi 149 kwa sababu inatumia damu za watu kufikia maendeleo hayo.Yaani ni kama imekuwa nchi ya mwisho.

Kiongozi anaetumia damu za watu kama jini ili kuletea watu hao maendeleo ni kiongozi wa kulaani,ambae hafai katika Taifa na ni ukiwa kwa jamii.Magufuli alikuwa ni ukiwa kwa Tanzania.Ni heri watu waishi katika umasikini wa kutupwa wenye amani na furaha ndani yake kuliko kuishi katika utajiri wa kutupwa ambao ndani yake hauna amani wala furaha na muda wowote unauawa.Unahitaji elimu ya PhD ili kuyajua mambo marahisi kama haya?!
E6Qu-.jpg
IRgyD.jpg
 
Wacha kuingia kwenye conversation ambayo haupo. Hata huelewi tulikuwa tunazungumzia nini. Hapa tulikuwa tunawalinganisha Dr Tibaijuka na Dr Mukhisa Kituyi. UN Habitat iko Nairobi. Huwezi kunifunza kamwe organisation structure ya UN. Ninarudia tena hio UN Habitat imekuwa junior organisation kwenye swala la itifaki kushinda Unctad kwa miaka mingi. UN Habitat ni ndogo hata kushinda UNEP. Hata baada ya UN Habitat kupandishwa cheo bado inabakia kuwa ndogo in terms of size of employees na mambo mengine kushinda UNctad au UNEP. Wakati Tibaijuka alikuwa mkubwa wa UN Habitat bado UN Habitat ilikuwa ni kadude kadogo sana. Imepandishwa cheo baada ya Tibaijuka kuondoka.
Wewe ndiye uliyeingia katika mazungumzo kichwa kichwa bila kujua, hapa tulikua tunamzungumzia Asha-Rose Migiro aliyekua naibu katibu mkuu wa UN, nikasema Kenya hamuwezi fikia hicho cheo, katika kujitetea kwenu huyo mkunya mwenzenu ndio akaleta huyo General Secretary wa UNACTED Dr. Mukhisa kutaka kulinganisha na Asha Migiro, ndio nikasema ni sawa na kulinganisha cheo cha Naibu wa rais(Asha Migiro), na cheo cha katibu mkuu wa wizara ya fedha (Mukhisa). Nimemtaja Tibaijuka ili kuonyesha ni jinsi gani Tanzania tunavyotawala katika nafasi za UN
 
Wacha kuingia kwenye conversation ambayo haupo. Hata huelewi tulikuwa tunazungumzia nini. Hapa tulikuwa tunawalinganisha Dr Tibaijuka na Dr Mukhisa Kituyi. UN Habitat iko Nairobi. Huwezi kunifunza kamwe organisation structure ya UN. Ninarudia tena hio UN Habitat imekuwa junior organisation kwenye swala la itifaki kushinda Unctad kwa miaka mingi. UN Habitat ni ndogo hata kushinda UNEP. Hata baada ya UN Habitat kupandishwa cheo bado inabakia kuwa ndogo in terms of size of employees na mambo mengine kushinda UNctad au UNEP. Wakati Tibaijuka alikuwa mkubwa wa UN Habitat bado UN Habitat ilikuwa ni kadude kadogo sana. Imepandishwa cheo baada ya Tibaijuka kuondoka.
Wewe ndiye uliyeingia katika mazungumzo kichwa kichwa bila kujua, hapa tulikua tunamzungumzia Asha-Rose Migiro aliyekua naibu katibu mkuu wa UN, nikasema Kenya hamuwezi fikia hicho cheo, katika kujitetea kwenu huyo mkunya mwenzenu ndio akaleta huyo General Secretary wa UNACTED Dr. Mukhisa kutaka kulinganisha na Asha Migiro, ndio nikasema ni sawa na kulinganisha cheo cha Naibu wa rais(Asha Migiro), na cheo cha katibu mkuu wa wizara ya fedha (Mukhisa). Nimemtaja Tibaijuka ili kuonyesha ni jinsi gani Tanzania tunavyotawala katika nafasi za UN
 
Malengo fake yanayopiganiwa kwa kutumia damu za watu ili kuyafikia hubadilika kuwa malengo sifuri na ukiwa kwa watu.Nia ya binadamu kuishi ni kuwa na amani na furaha.Kama huna amani na furaha maisha hayana maana.Rwanda ina karibia kila kitu kuanzia huduma za maji,afya,barabara,mawasiliano,technolojia,flyovers,reli,umeme na kadhalika lakini katika ripoti ya dunia ya furaha ya mwaka 2020 Rwanda imekuwa ni nchi ya 147 kati ya nchi 149 kwa sababu inatumia damu za watu kufikia maendeleo hayo.Yaani ni kama imekuwa nchi ya mwisho.

Kiongozi anaetumia damu za watu kama jini ili kuletea watu hao maendeleo ni kiongozi wa kulaani,ambae hafai katika Taifa na ni ukiwa kwa jamii.Magufuli alikuwa ni ukiwa kwa Tanzania.Ni heri watu waishi katika umasikini wa kutupwa wenye amani na furaha ndani yake kuliko kuishi katika utajiri wa kutupwa ambao ndani yake hauna amani wala furaha na muda wowote unauawa.Unahitaji elimu ya PhD ili kuyajua mambo marahisi kama haya?!View attachment 1865856View attachment 1865857

Unaongea kitu usichokijua. Furaha unayosema hailetwi na kiongozi wala mwana siasa yeyote. Furaha inaletwa na wewe. Kama hujui nafasi na wajibu wako katika maisha. Utabakia kumlaumu na kulaani kila kitu. Kila kitu kinaanza na wewe. Wewe kama wewe ndiyo kila kitu. Usipolijua hilo basi wewe ni mzigo.
 
Unaongea kitu usichokijua. Furaha unayosema hailetwi na kiongozi wala mwana siasa yeyote. Furaha inaletwa na wewe. Kama hujui nafasi na wajibu wako katika maisha. Utabakia kumlaumu na kulaani kila kitu. Kila kitu kinaanza na wewe. Wewe kama wewe ndiyo kila kitu. Usipolijua hilo basi wewe ni mzigo.
Kama muda wote ukisikia watu wanapita nje ya nyumba yako basi una hofu kuwa umekuja kukamatwa ili ukauawe kulingana na aina ya uongozi wa kidikteta uliopo hiyo furaha au amani itatoka wapi?Kama muda wote ukisikia mtu akigonga mlangoni mwa nyumba yako basi una hofu kuwa umekuja kukamatwa ili ukauawe hiyo furaha au amani vitatoka wapi?

Kama muda wote ukisikia mtu akikugusa begani basi unakuwa na hofu kuwa ni wauaji wako wamekuja kulingana na aina ya uongozi wa kidikteta uliopo hiyo furaha au amani itatoka wapi?Kama muda wote huna amani kutembea barabarani kutokana na aina ya uongozi uliopo ukihofia kutekwa hiyo furahaa itatoka wapi?Kama katika nchi yako huna uwezo wa kupaza sauti kukemea maovu ya walipo madarakani kuhofia kuuawa hiyo amani na furaha vitatoka wapi?
 
Kama muda wote ukisikia watu wanapita nje ya nyumba yako basi una hofu kuwa umekuja kukamatwa ili ukauawe kulingana na aina ya uongozi wa kidikteta uliopo hiyo furaha au amani itatoka wapi?Kama muda wote ukisikia mtu akigonga mlangoni mwa nyumba yako basi una hofu kuwa umekuja kukamatwa ili ukauawe hiyo furaha au amani vitatoka wapi?

Kama muda wote ukisikia mtu akikugusa begani basi unakuwa na hofu kuwa ni wauaji wako wamekuja kulingana na aina ya uongozi wa kidikteta uliopo hiyo furaha au amani itatoka wapi?Kama muda wote huna amani kutembea barabarani kutokana na aina ya uongozi uliopo ukihofia kutekwa hiyo furahaa itatoka wapi?Kama katika nchi yako huna uwezo wa kupaza sauti kukemea maovu ya walipo madarakani kuhofia kuuawa hiyo amani na furaha vitatoka wapi?

Mwalimu Nyerere aliwahi ongelea hilo. Lkn kama huna hiyana yoyote na mamlaka kwa nini uwe na hofu? Hata mtume Paulo alituambia, mamlaka hazinyoshi upanga kwa yule asiye na neno. Bali yule mwenye kwenda kinyume na sheria. Na hiyo ndiyo kanuni duniani koote.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi ongelea hilo. Lkn kama huna hiyana yoyote na mamlaka kwa nini uwe na hofu? Hata mtume Paulo alituambia, mamlaka hazinyoshi upanga kwa yule asiye na neno. Bali yule mwenye kwenda kinyume na sheria. Na hiyo ndiyo kanuni duniani koote.
Kwa Afrika ukidai haki zako ni hiyana tayari,ukipaza sauti kukemea maovu ya serikali ni hiyana tayari,ukiexercise haki zako za kikatiba ni hiyana tayari,ukiwa mpinzani ambapo ni haki yako kikatiba na upinzani upo kwa mujibu wa katiba ni hiyana tayari na kadhalika.
 
Wacha kuingia kwenye conversation ambayo haupo. Hata huelewi tulikuwa tunazungumzia nini. Hapa tulikuwa tunawalinganisha Dr Tibaijuka na Dr Mukhisa Kituyi. UN Habitat iko Nairobi. Huwezi kunifunza kamwe organisation structure ya UN. Ninarudia tena hio UN Habitat imekuwa junior organisation kwenye swala la itifaki kushinda Unctad kwa miaka mingi. UN Habitat ni ndogo hata kushinda UNEP. Hata baada ya UN Habitat kupandishwa cheo bado inabakia kuwa ndogo in terms of size of employees na mambo mengine kushinda UNctad au UNEP. Wakati Tibaijuka alikuwa mkubwa wa UN Habitat bado UN Habitat ilikuwa ni kadude kadogo sana. Imepandishwa cheo baada ya Tibaijuka kuondoka.

Bwana mdogo, sasa ndo unaongea nini?
Uache ulevi ili usiwe unabwatuka hovyo.

 
Back
Top Bottom