Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Sidhani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani
Shida kubwa ni mwanamke akishapata njemba nje halafu na wewe ndo unampenda kufa.Pole snaa boss mwanaume uchumi ukitetereka ata kama mwanamke anakazi lakin bado atakufanyia visa snaa na kama akipata njemba nje ujue ndyo kifo cha ndoa yako japo Mimi nishasema siku nakuwa sina kazi ndyo mwisho wa mapenzi yangu Kwa mchumba wangu mapema snaa namuacha au nakimbia mkoa mwingine nikajichange kuliko kuvumilia karaha na maneno ya kejeli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jo we ni kauzu kishenzi.Sidhani
Kumbeee[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Uwiii me najua ke
DuhhNi mwanaume
Hahahahah[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jo we ni kauzu kishenzi.
Nilikuaga na demu anatokea Arusha nae alikuaga na pigo kama hizo zako ila tulikua tunawezana sana.
Kabisaaa watafute hela bila kuchoka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliaambiaje vile? Watafute helaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dea una uhakika? Hebu thibitisha hapa kwani.
Sina uhakika bhana manake sikujui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Dea una uhakika? Hebu thibitisha hapa kwani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa ndo nakupendaga dea.Sina uhakika bhana manake sikujui
Nilichoandika kipuuzwe [emoji23][emoji1787]
Kwani waliopo Jf wote ni binadamu ?Hahahahah
Sina ukauzu wowote
Ni vile tu naendana na upepo wa upuuzi wa baadhi ya wanaJF,kipindi najiunga na JF sikuwa naishi hivi humu
Wewe mtu angekuuliza kama ni binadamu ungemjibuje?
Mbona umeishia njianiShida kubwa ni mwanamke akishapata njemba nje halafu na wewe ndo unampenda kufa.
Rafiki yangu alioa binti mzuri kinoma wamezaa nae mtoto mmoja mke akapata bwana nje, binti kadanganywa akaanza kudai talaka, nyumba ikawa haikaliki.
Kiroho upande baada ya mke kumtukana mpaka mama mkwe wake jamaa akashinikizwa na familia yake mpaka akatoa talaka huku roho inamuuma kishenzi.
Jamaa kakaa mwaka mzima stress kibao hayupo sawa ikabidi aoe mke mwingine baada ya kushawishiwa sana kua akioa atamsahau haraka huyo pasua kichwa wake.
Miaka miwili baada ya talaka yule demu akazalishwa mtoto mmoja na yule aliemrubuni halafu akamtosa.
Demu maisha yakampiga kwelikweli akarudi kuomba msamaha kwa aliekua mumewe, jamaa lilivyo fala siku ileile likanifata huku linafuraha kishenzi linataka lirudiane na aliekua mkewe ambae tayari ameshazalishwa huko nje mtoto mmoja.
Unajipendekeza Sana bro... Acha kumlisha matango pori Hana ukauzu wowte hutu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Jo we ni kauzu kishenzi.
Nilikuaga na demu anatokea Arusha nae alikuaga na pigo kama hizo zako ila tulikua tunawezana sana.
[emoji1][emoji1][emoji1] ka coment nje ya madaUnajipendekeza Sana bro... Acha kumlisha matango pori Hana ukauzu wowte hutu