Last year on Valentine day with my Xwife

Mzee ukapigwa na kitu kizito, pole mzee, maisha ya wawili yana mtihani mnoo, lazima tumshirikishe mungu,🤲 sababu yeye ndio anayajua yale tusioyajua.. Atupatie wenzi SWAAFI kabisa, wakudumu nao🤲. Kuoa ni changamoto ukibahatika, unahisi dunia hii uliumbiwa wewe tu, ukifeli ndio unaiona june July 🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…