3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Hata zikiwa ranking za Makapu, bado Yanga hawezi kuwa juu ya SimbaHizi ranking zimetolewa na Manara wataamini Mbumbumbu fc pekee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata zikiwa ranking za Makapu, bado Yanga hawezi kuwa juu ya SimbaHizi ranking zimetolewa na Manara wataamini Mbumbumbu fc pekee
Baada ya Simba anafuata Gor MahiaKenya hakuna league?
Ulitaka zahera ndo asimamie hizo ranking???..hawa simba watakuwa wameihonga caf iwape iyo nafasiNo wonder FIFA wameteua mtu wa kusimamia uendeshaji wa CAF. Kama rankings zenyewe zipo hivyo FIFA wana kila sababu ya kufanya hivyo.
Siku Musonye akipata madaraka makubwa huko CAF basi Tz tujiandae kusomeshwa namba
Kwanini hajielewi...tusiwapangie maisha wachezaji...mtu kashasema hajaenda huko tp mazembe sababu ya maslahi sasa mashabiki maandazi wanataka mchezaji aishi kama wanavyotaka waoIla Ajib hajielewi tu.
Ulitaka zahera ndo asimaimie hizo ranking???..hawa simba watakuwa wameihonga caf iwape iyo nafasi
Leta wewe ranking zilizopangwa na zahera tuone mpo nafasi ya ngapiHizi ranking zimetolewa na Manara wataamini Mbumbumbu fc pekee
Tatizo lipo wapi..???Kama hujaona tatizo lililopo kwenye hiyo ranking basi sina msaada zaidi. Na siongelei nafasi za Yanga wala Simba.
Maslahi!Kwanini hajielewi...tusiwapangie maisha wachezaji...mtu kashasema hajaenda huko tp mazembe sababu ya maslahi sasa mashabiki maandazi wanataka mchezaji aishi kama wanavyotaka wao
Tatizo lipo wapi..???
Latest CAF Clubs ranking TOP 70
1.TP Mazembe [emoji1078]
2.Wydad Casablanca [emoji1173]
3.Al-Ahly [emoji1093]
4.Espérance de Tunis [emoji1249]
5.Mamelodi Sundowns [emoji1221]
6.Étoile du Sahel [emoji1249]
7.Zamalek [emoji1093]
8.Horoya [emoji1119]
9.USM Alger [emoji1026]
9.Raja Casablanca [emoji1173]
11.ZESCO United [emoji1268]
12.AS Vita Club [emoji1078]
13.RS Berkane [emoji1173]
14.CS Sfaxien [emoji1249]
15.Al-Hilal [emoji1232]
15.Club Africain [emoji1249]
17.ES Sétif [emoji1026]
18.1º de Agosto [emoji1029]
18.Enyimba [emoji1184]
20.CS Constantine [emoji1026]
20.FUS Rabat [emoji1173]
20.Simba [emoji1241]
23.Gor Mahia [emoji1139]
23.Orlando Pirates [emoji1221]
25.Al-Masry [emoji1093]
25.SuperSport United [emoji1221]
27.ASEC Mimosas [emoji1081]
27.KCCA [emoji1254]
29.JS Saoura [emoji1026]
29.MC Alger [emoji1026]
29.Al-Ahli Tripoli [emoji1149]
29.Hassania Agadir [emoji1173]
29.Lobi Stars [emoji1184]
29.Al-Merrikh [emoji1232]
29.Nkana [emoji1268]
36.Ferroviário Beira [emoji1174]
37.MO Béjaïa [emoji1026]
37.CARA Brazzaville [emoji1077]
37.Difaâ El Jadidi [emoji1173]
37.Rayon Sports [emoji1206]
41.Mbabane Swallows [emoji1235]
42.Saint George [emoji1098]
42.Al-Hilal Al-Ubayyid [emoji1232]
42.Zanaco [emoji1268]
45.NA Hussein Dey [emoji1026]
45.Ismaily [emoji1093]
45.Asante Kotoko [emoji1110]
45.Enugu Rangers [emoji1184]
45.FC Platinum [emoji1269]
50.TOWNSHIP ROLLERS [emoji1052]
50.Williamsville [emoji1081]
50.UD Songo [emoji1174]
50.AS Togo-Port [emoji1244]
54.Recreativo do Libolo [emoji1029]
54.Coton Sport [emoji1062]
54.Young Africans [emoji1241]
54.CAPS United [emoji1269]
58.Petro de Luanda [emoji1029]
58.Salitas [emoji1059]
58.AS Otôho [emoji1077]
58.Smouha [emoji1093]
62.Aduana Stars [emoji1110]
62.Medeama [emoji1110]
62.Djoliba [emoji1159]
62.Moghreb Tétouan [emoji1173]
62.Kawkab Marrakeca [emoji1173]
67.CF Mounana [emoji1107]
67.Rivers United [emoji1184]
70.MC El Eulma [emoji1026]
70.AC Léopards [emoji1077]
70.Stade Malien [emoji1159]
Simba tuna malengo ya kuingia top 5
Latest CAF Clubs ranking TOP 70
1.TP Mazembe 🇨🇩
2.Wydad Casablanca 🇲🇦
3.Al-Ahly 🇪🇬
4.Espérance de Tunis 🇹🇳
5.Mamelodi Sundowns 🇿🇦
6.Étoile du Sahel 🇹🇳
7.Zamalek 🇪🇬
8.Horoya 🇬🇳
9.USM Alger 🇩🇿
9.Raja Casablanca 🇲🇦
11.ZESCO United 🇿🇲
12.AS Vita Club 🇨🇩
13.RS Berkane 🇲🇦
14.CS Sfaxien 🇹🇳
15.Al-Hilal 🇸🇩
15.Club Africain 🇹🇳
17.ES Sétif 🇩🇿
18.1º de Agosto 🇦🇴
18.Enyimba 🇳🇬
20.CS Constantine 🇩🇿
20.FUS Rabat 🇲🇦
20.Simba 🇹🇿
23.Gor Mahia 🇰🇪
23.Orlando Pirates 🇿🇦
25.Al-Masry 🇪🇬
25.SuperSport United 🇿🇦
27.ASEC Mimosas 🇨🇮
27.KCCA 🇺🇬
29.JS Saoura 🇩🇿
29.MC Alger 🇩🇿
29.Al-Ahli Tripoli 🇱🇾
29.Hassania Agadir 🇲🇦
29.Lobi Stars 🇳🇬
29.Al-Merrikh 🇸🇩
29.Nkana 🇿🇲
36.Ferroviário Beira 🇲🇿
37.MO Béjaïa 🇩🇿
37.CARA Brazzaville 🇨🇬
37.Difaâ El Jadidi 🇲🇦
37.Rayon Sports 🇷🇼
41.Mbabane Swallows 🇸🇿
42.Saint George 🇪🇹
42.Al-Hilal Al-Ubayyid 🇸🇩
42.Zanaco 🇿🇲
45.NA Hussein Dey 🇩🇿
45.Ismaily 🇪🇬
45.Asante Kotoko 🇬🇭
45.Enugu Rangers 🇳🇬
45.FC Platinum 🇿🇼
50.TOWNSHIP ROLLERS 🇧🇼
50.Williamsville 🇨🇮
50.UD Songo 🇲🇿
50.AS Togo-Port 🇹🇬
54.Recreativo do Libolo 🇦🇴
54.Coton Sport 🇨🇲
54.Young Africans 🇹🇿
54.CAPS United 🇿🇼
58.Petro de Luanda 🇦🇴
58.Salitas 🇧🇫
58.AS Otôho 🇨🇬
58.Smouha 🇪🇬
62.Aduana Stars 🇬🇭
62.Medeama 🇬🇭
62.Djoliba 🇲🇱
62.Moghreb Tétouan 🇲🇦
62.Kawkab Marrakeca 🇲🇦
67.CF Mounana 🇬🇦
67.Rivers United 🇳🇬
70.MC El Eulma 🇩🇿
70.AC Léopards 🇨🇬
70.Stade Malien 🇲🇱
Simba tuna malengo ya kuingia top 5
Kwa hiyo na wewe unaamini kila mchezaji wa tp mazembe analipwa vizuri kuliko kila mchezaji wa simba....kwamba ambokile kule tp mazembe analipwa vizuri kuliko kagere simba?????....kati ya mimi na wewe who is not serious????Maslahi!
Unaamini Simba kuna maslahi kuliko Tp Mazembe.You can't be serious
Siyo kila unachoambiwa kipo hivyo, learn to digest infos
Kuhesabu nini???...kama unahoja nenda moja kwa moja kwenye point yako ya msingi udhaifu wa hizo ranking ni upiMkuu; hujui kuhesabu?
Dan Jordan ndio atakuja kucheza Yanga aifanye iwe ya 30 au 10?
Achane na huyo bwege akili za kushikiwaKwa hiyo na wewe unaamini kila mchezaji wa tp mazembe analipwa vizuri kuliko kila mchezaji wa simba....kwamba ambokile kule tp mazembe analipwa vizuri kuliko kagere simba?????....kati ya mimi na wewe who is not serious????
Wajiulize wao wakati awashiriki michuano ya caf walikua wanashika no ngapi,yan hapo Yanga haijashiriki michuano ya caf last season lakini ipo kwenye 70 boraAlgeria yà 13 kwenye CAF rankings..ila anaenda kuchukuwa kombe mbele ya namba moja..badala ya kuisifia Yanga imo ndani ya 70 Bora bila ya kucheza msinu uliopita...mikia inawauma Yanga kucheza CAF champions league msinu huu..mtazoea tu ingawa mwanzo mwanzo inauma
Huna taarifa Tenga kacharazwa huko na Mganda?Bado haujaanza maana bado wapo kwenye malumbano. In fact Tenga wetu ni mmoja wa wanaopinga mpango huo.