We ni mshamba sana. Hiyo comment uliyo quote ni ya pili kumjibu mleta mada, ungesoma na comment ya kwanza uone nilisemaje na mleta mada alijibu vipi hadi kufikia kujibu hivo tena.Sasa unabisha kwamba hakuwepo?
Au alikuwepo lakini ni mzungu tu?
Ama alikuwa CIA?
Kuhusu hilo tusi sioni sababu ya kukutukana zaidi ya kudhihirisha ushamba wako kushindwa kujua hii ni story tu
Nimeziona anzia juu nikawa navumilia nipate burudani, Ila kwa sehemu ya CIA asee jamaa amevuka mipakaWe ni mshamba sana. Hiyo comment uliyo quote ni ya pili kumjibu mleta mada, ungesoma na comment ya kwanza uone nilisemaje na mleta mada alijibu vipi hadi kufikia kujibu hivo tena.
Uspende kudandia dandia comments za watu Ipo siku utadandia kichwa cha mb@0.
Kuwa makini
Bila chai hainogi. We tafuta na limao unyunyize kidogo ili ujikinge vyema na Dada corona...Stori ni nzuri, sema kuna baadhi ya sehem ni chai za waziwazi
AyaNimeziona anzia juu nikawa navumilia nipate burudani, Ila kwa sehemu ya CIA asee jamaa amevuka mipaka
Naona unazidi kudhihirisha ulemavu wako wa akili mkuu reply yenyewe ndo hiyo[emoji115][emoji115][emoji115]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kukutukana ni matumizi mabaya ya matusi
Uwage unatulia mpka aje akunyandue ndio uridhikeAisee.. Aiseee.. Aiseeeeee.. sasa Latino huku anapotupeleka sipo. FIX zimezidi.
Lete yako ya kwelAisee.. Aiseee.. Aiseeeeee.. sasa Latino huku anapotupeleka sipo. FIX zimezidi.
Acha mbwembwe aminaTuliza shanga Zuchu.
hzo nyumba za mauzauza zipo sana kwa hilo hkn chai apoAisee.. Aiseee.. Aiseeeeee.. sasa Latino huku anapotupeleka sipo. FIX zimezidi.