IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,503
- 2,426
- Thread starter
- #141
Tuendeleee
Latino........ Yule jamaa Akamwambia mwenzake hapa akuna ushahidi kwayo kesi tunaikataa
ivyo wakiwa kwenye hukumu jama wakahojiwa walitoa maelezo Yale Yale ambayo walisha yapanga waongee wakiwa kwenye kesi .
Wale askari walikaza kamba kwamba hawa sisi tumewakuta na nyama sasa mkuu anauliza izo nyama zikwapi wale jamaa awaeleweki ivyo washkaji wakashtakiwa kwa kosa la kukatisha kwenye hifazi kifungo cha miezi mitatu kipind kile iliesabiwa usiku na mchana ivyo ikawa mwez mmoja na nusu.
Iyo ilikua ni story ya wale jamaa wawili baada ya kurudi nyumbani kutoka kwenye makasa wao.
Turudi sasa kwa upande wetu siku iyo tupo pale kambini kama kawaida ghafla walikuja washkaji wawili wapo uchi wa mnyama kila kitu waz waz wamechoka alafu wamechanika chanika mwilini na miiba , tukawauliza vipi imekuaje wakataja walipokuepo na pale walikua wamekimbia takriban masaa matano ivi wapo hoi iyo kambi waliokua ni mbali sana na pale wakasema wakati tupo kambini kule maji yalituishia sasa tuakenda kufata maji kwenye mto uliopo ndani ya hifazi mule tulivyofika pale tukachota maji kisha tukaona ngoja nasi tujimwagie maana mule maji ni hadimu shida kuyapata sasa tumevua nguo zetu tupo ndani ya maji tunaoga askari hawa hapa inabidi wajisalimishe jamaa wakaona hapa njia ni kusepa wana ondokaje wakazama ndani ya maji kupiga mbizi mbele kwa mbele wale askari wasivyo na huruma wakaanza kupiga risasi kwenye maji
mule kwenye maji mna majani majani baada ya ilo zoez awakua na uhakika kama wamewapata au vipi wakaona wamwage petrol kwenye maji
petrol ya kipindi icho sio kama ya sasa ivi wakamwaga juu ya maji wakapiga moto wale jamaa wamekwenda mbele. wakiibuka juu moto inabidi wazame chini Yale majani yana miba miba yana wachana akuna namna walifanikiwa kutoka mbele uko wakatembea mmoja alifika nywele zimeungua kidogo pia wako peku kuna mmoja alichomwa na mwiba wa mti wa mtarula mguuni majani yake hua anapenda sana kula twiga huu mti umezungukwa na miba sana nakumbuka kuna jamaa yetu mmoja alipanda huu mti baada ya kukimbizwa na nyati baada ya kumjeruhi na yule nyati alipiga San ule mti alichoka akaondoka jamaa kushuka tulitafuta miti ya zarula tukapanga ngazi ndio kushuka na hata alivyoshuka chini tulimtoa miba nyingi mpaka alizimia na miba zile zina sumu .
Wale jamaa tuliwapatia huduma tukawapa mavazi vipensi kisha chumvi kisu maji unga na mboga pia kiberit maana yake pale ilibidi waendelee na safari sababu awajatoka pale kwetu jamaa walitushukuru waka enda zao.
Sisi tukaendelea na mawindo yetu siku iyo kumekucha mapema mzee wangu alimuona ndege flani ivi ambae hua ana onesha ishara ndege uyu ana kawaida ukimfatilia hua ana kupeleka sehemu labda pana asali au kitu kingne ambach pia yeye ufaidika mfano asali akikupeleka apo ujue anatak utoe asali ila yeye apate njia kula watoto wa nyuki watu wa porini porini wana elewa sana hii.
Dingi alitoka na jamaa wawili waka enda kule kumfatilia yule ndege walikuta pango lina tundu katikati alafu kuna nyuki wapo wengi na asali ya kutosha wale nyuki walikunywa ile asali mpaka wali lewa wakawa wana ruka tu jama mmoja akafata vyombo aliporudi mmoja wao akaanza akatoa sega akatia kwenye chombo akatoa jingne chombo ki kajaaa full
Wakchukua chombo kingine tena kuingiza mkono kutoa mkono ukanasa ndani ya lile pango kwa vile walikua ni watu wa matambiko wakajua hapa kuna mzimu ndani ya pango ivyo auruhusu tena kuchukua ile asali waliochukua inatosha ivyo ikabid sasa waanze kuongea maneno ya kimila kutambika ili jamaa aachiwe ule mkono iliwauchukua karibu nusu saha ndipo jamaa mkono ukatoka na bahat nzuri ata askari awakupita mitaa ile apo wakaondoka kurudi kambini hapa yalikua ni mambo ya mizimu kwa wale wenye imani izo wana elewa kuhusu mizimu uko mapangoni.
Walivyorudi tukaenda sehemu moja ivi kuchota maji lakini maji ayo hua yanabadilika sometimes yanakua mekundu ivi yanabadirika badirika ni kibwawa flani inasemekana iyo sehemu kama ni mwanamke akiwa katika siku zake Basi aluhusiwi kuchota maji apo au akiwa mjamzito aluhusiwi ana potea akija apo.
Tukachota maji tukaondoka sasa katika mizunguko yetu siku iyo tulifika sehemu flani palikua na mafiga matatu ya kupikia kwenye Yale mafiga palikua na gogo moja kubwa ambalo ukiweka figa moja upande huu na jingne upande mwingne kisha na lile gogo yanakua matatu tukaweka kuni na kuanza kupika ugali na mboga baada ya kumaliza sasa tunakula.
Ghafla lile gogo kubwa likaanza kutikisika alafu linatoa ka utomvu sasa tukashangaa ina maana ili gogo ni bichi au vipi ghafla likaanza kuondoka kumbe ni kiumbe alikua ni chatu mmoja mkubwa sana kumbe ule moto ndio ulimfanya pale aondoke ulimzidi na pia watu hua wana kaa pale bila shida kumbe ni chatu mkubwa mrefu sana anakaribia mstimu inavyoonekana uku kwetu ndio kulikua mkiani kule mbele ndio kichwa kilipo ina maana pale alitega tu siku nyingi kama mnyama atapita kule kichwani ana mnasa na sio lahisi kugundua kama uyu ni nyoka jinsi alivyo na mwili wake ulizungukwa kama na udongo udongo ivi kwaiyo kule mbele alikoelekea na kutokomea msituni ndio kilipo kichwa bila shaka.
Lakini nyoka hawa wakubwa wanakua kama na ushetani ivi na huwa ni nyoka ambao wanaweza leta maafa makubwa mwisho wa awa nyoka unakuaga baharini uko
atujui ki ivyo kubaki kwao hapa ardhini huweza kuleta majanga kwa viumbe wadogo maana yanakua makubwa mno.
.
Wakuu ni mkasa wa Latino ayo ni maneno yake una Uhuru wa kuamini au kuto amini ni wewe.
.,....................
Itaendelea tunao fatilia Basi tuzidi kuepo........
Apo chini Latino akiwa kwenye moja ya interview akiadisia mkasa wake uyo mwenye mzula.
Latino........ Yule jamaa Akamwambia mwenzake hapa akuna ushahidi kwayo kesi tunaikataa
ivyo wakiwa kwenye hukumu jama wakahojiwa walitoa maelezo Yale Yale ambayo walisha yapanga waongee wakiwa kwenye kesi .
Wale askari walikaza kamba kwamba hawa sisi tumewakuta na nyama sasa mkuu anauliza izo nyama zikwapi wale jamaa awaeleweki ivyo washkaji wakashtakiwa kwa kosa la kukatisha kwenye hifazi kifungo cha miezi mitatu kipind kile iliesabiwa usiku na mchana ivyo ikawa mwez mmoja na nusu.
Iyo ilikua ni story ya wale jamaa wawili baada ya kurudi nyumbani kutoka kwenye makasa wao.
Turudi sasa kwa upande wetu siku iyo tupo pale kambini kama kawaida ghafla walikuja washkaji wawili wapo uchi wa mnyama kila kitu waz waz wamechoka alafu wamechanika chanika mwilini na miiba , tukawauliza vipi imekuaje wakataja walipokuepo na pale walikua wamekimbia takriban masaa matano ivi wapo hoi iyo kambi waliokua ni mbali sana na pale wakasema wakati tupo kambini kule maji yalituishia sasa tuakenda kufata maji kwenye mto uliopo ndani ya hifazi mule tulivyofika pale tukachota maji kisha tukaona ngoja nasi tujimwagie maana mule maji ni hadimu shida kuyapata sasa tumevua nguo zetu tupo ndani ya maji tunaoga askari hawa hapa inabidi wajisalimishe jamaa wakaona hapa njia ni kusepa wana ondokaje wakazama ndani ya maji kupiga mbizi mbele kwa mbele wale askari wasivyo na huruma wakaanza kupiga risasi kwenye maji
mule kwenye maji mna majani majani baada ya ilo zoez awakua na uhakika kama wamewapata au vipi wakaona wamwage petrol kwenye maji
petrol ya kipindi icho sio kama ya sasa ivi wakamwaga juu ya maji wakapiga moto wale jamaa wamekwenda mbele. wakiibuka juu moto inabidi wazame chini Yale majani yana miba miba yana wachana akuna namna walifanikiwa kutoka mbele uko wakatembea mmoja alifika nywele zimeungua kidogo pia wako peku kuna mmoja alichomwa na mwiba wa mti wa mtarula mguuni majani yake hua anapenda sana kula twiga huu mti umezungukwa na miba sana nakumbuka kuna jamaa yetu mmoja alipanda huu mti baada ya kukimbizwa na nyati baada ya kumjeruhi na yule nyati alipiga San ule mti alichoka akaondoka jamaa kushuka tulitafuta miti ya zarula tukapanga ngazi ndio kushuka na hata alivyoshuka chini tulimtoa miba nyingi mpaka alizimia na miba zile zina sumu .
Wale jamaa tuliwapatia huduma tukawapa mavazi vipensi kisha chumvi kisu maji unga na mboga pia kiberit maana yake pale ilibidi waendelee na safari sababu awajatoka pale kwetu jamaa walitushukuru waka enda zao.
Sisi tukaendelea na mawindo yetu siku iyo kumekucha mapema mzee wangu alimuona ndege flani ivi ambae hua ana onesha ishara ndege uyu ana kawaida ukimfatilia hua ana kupeleka sehemu labda pana asali au kitu kingne ambach pia yeye ufaidika mfano asali akikupeleka apo ujue anatak utoe asali ila yeye apate njia kula watoto wa nyuki watu wa porini porini wana elewa sana hii.
Dingi alitoka na jamaa wawili waka enda kule kumfatilia yule ndege walikuta pango lina tundu katikati alafu kuna nyuki wapo wengi na asali ya kutosha wale nyuki walikunywa ile asali mpaka wali lewa wakawa wana ruka tu jama mmoja akafata vyombo aliporudi mmoja wao akaanza akatoa sega akatia kwenye chombo akatoa jingne chombo ki kajaaa full
Wakchukua chombo kingine tena kuingiza mkono kutoa mkono ukanasa ndani ya lile pango kwa vile walikua ni watu wa matambiko wakajua hapa kuna mzimu ndani ya pango ivyo auruhusu tena kuchukua ile asali waliochukua inatosha ivyo ikabid sasa waanze kuongea maneno ya kimila kutambika ili jamaa aachiwe ule mkono iliwauchukua karibu nusu saha ndipo jamaa mkono ukatoka na bahat nzuri ata askari awakupita mitaa ile apo wakaondoka kurudi kambini hapa yalikua ni mambo ya mizimu kwa wale wenye imani izo wana elewa kuhusu mizimu uko mapangoni.
Walivyorudi tukaenda sehemu moja ivi kuchota maji lakini maji ayo hua yanabadilika sometimes yanakua mekundu ivi yanabadirika badirika ni kibwawa flani inasemekana iyo sehemu kama ni mwanamke akiwa katika siku zake Basi aluhusiwi kuchota maji apo au akiwa mjamzito aluhusiwi ana potea akija apo.
Tukachota maji tukaondoka sasa katika mizunguko yetu siku iyo tulifika sehemu flani palikua na mafiga matatu ya kupikia kwenye Yale mafiga palikua na gogo moja kubwa ambalo ukiweka figa moja upande huu na jingne upande mwingne kisha na lile gogo yanakua matatu tukaweka kuni na kuanza kupika ugali na mboga baada ya kumaliza sasa tunakula.
Ghafla lile gogo kubwa likaanza kutikisika alafu linatoa ka utomvu sasa tukashangaa ina maana ili gogo ni bichi au vipi ghafla likaanza kuondoka kumbe ni kiumbe alikua ni chatu mmoja mkubwa sana kumbe ule moto ndio ulimfanya pale aondoke ulimzidi na pia watu hua wana kaa pale bila shida kumbe ni chatu mkubwa mrefu sana anakaribia mstimu inavyoonekana uku kwetu ndio kulikua mkiani kule mbele ndio kichwa kilipo ina maana pale alitega tu siku nyingi kama mnyama atapita kule kichwani ana mnasa na sio lahisi kugundua kama uyu ni nyoka jinsi alivyo na mwili wake ulizungukwa kama na udongo udongo ivi kwaiyo kule mbele alikoelekea na kutokomea msituni ndio kilipo kichwa bila shaka.
Lakini nyoka hawa wakubwa wanakua kama na ushetani ivi na huwa ni nyoka ambao wanaweza leta maafa makubwa mwisho wa awa nyoka unakuaga baharini uko
atujui ki ivyo kubaki kwao hapa ardhini huweza kuleta majanga kwa viumbe wadogo maana yanakua makubwa mno.
.
Wakuu ni mkasa wa Latino ayo ni maneno yake una Uhuru wa kuamini au kuto amini ni wewe.
.,....................
Itaendelea tunao fatilia Basi tuzidi kuepo........
Apo chini Latino akiwa kwenye moja ya interview akiadisia mkasa wake uyo mwenye mzula.