LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kama wenye mabasi hawana udhibiti wala utambuzi wa ufanyaji kazi wa ving'amuzi vya LATRA kwenye magari yao, ni vipi kuwajibishwa wao kwa mapungufu yoyote kwenye vifaa hivi?

Bila shaka hawa pamoja na kufungiwa wakiwa wamelipia vibali, kodi, bima na tozo zote husika, faini nzito nzito zitakuwa zimewahusu.

Unyonge huu hadi lini?

"Mtu awekewe kifaa asichokuwa na udhibiti wala utaalamu wowote nacho. Hana namna ya kujua ni kizima au kibovu. Hana namna ya kujua kinafanya kazi au la."

Atokee mtu alikotoka kwamba kifaa hakifanyi kazi hivyo adhabu inakuhusu?

Huku si ndiko kuuziana mbuzi kwenye gunia?


FpfckNSXgAANqNF.jpeg
 
Kama wenye mabasi hawana udhibiti wala utambuzi wa ufanyaji kazi kwenye magari yao, ni vipi wawajibishwe kwa mapungufu yoyote kwenye vifaa hivi?

Bila shaka hawa pamoja na kufungiwa wakiwa wamelipia vibali, kodi, bima na tozo zote husika, faini nzito nzito zitakuwa zimewahusu.

Unyonge huu hadi lini?

"Mtu awekewe kifaa asichokuwa na udhibiti wala utaalamu wowote nacho. Hana namna ya kujua ni kizima au kibovu. Hana namna ya kujua kinafanya kazi au la."

Atokee mtu alikotoka kwamba kifaa hakifanyi kazi hivyo adhabu inakuhusu?

Huku si ndiko kuuziana mbuzi kwenye gunia?

Ama kwa hakika unyonge huu hadi lini?

View attachment 2525377
Mlisema ukandamizaji unafanywa na rais Magufuli leo hayupo bado mnalia

USSR
 
Mlisema ukandamizaji unafanywa na rais Magufuli leo hayupo bado mnalia

USSR

Katiba mpya inawahusu wote wanaoonewa na kusukwa sukwa na Dola kama hawa.

Tuungane kuwakataa wahuni si watu wazuri.

"Utasikia vyakula vya wakulima si mali ya umma. Kulikoni hawa ni mali ya umma?"

Zaidi sana kuharibika kwa kifaa vipi kuwajibishwa mtu ambapo hata mtengenezaji hawezi kukubali?

Subirini kuwajibishwa hata kwa taa kuungua majumbani.
 
Katiba mpya inawahusi wote wanaoonewa kama hawa.

Tuungane kuwakataa wahuni si watu wazuri.

Utasikia vyakula vya wakulima si mali ya umma.

Kulikoni hawa ni mali ya umma?

Zaidi sana kuharibika Kwa kifaa kulikoni kuwajibishwa asiyekuwa na hatia?
Wengine ndio wanafuata garege na kuandika tu faini za 250000 hata tatu nne na usipo lips ana peleka gari Yard.Wamegeuza ni mradi mkubwa na faida za magari Sasa wanapata wao.Watoa huduma ya ving'amuzi Wana Zima kusudi Kisha hawa LATRA Wana andika faini bila hata kuona gari .Wakati mwingine lilisimama muda liko garege linaweza kupata hata faini 4 hukohuko garege.Ni uonevu uliopitiliza
 
Wengine ndio wanafuata garege na kuandika tu faini za 250000 hata tatu nne na usipo lips ana peleka gari Yard.Wamegeuza ni mradi mkubwa na faida za magari Sasa wanapata wao.Watoa huduma ya ving'amuzi Wana Zima kusudi Kisha hawa LATRA Wana andika faini bila hata kuona gari .Wakati mwingine lilisimama muda liko garege linaweza kupata hata faini 4 hukohuko garege.Ni uonevu uliopitiliza

Inafikirisha sana. Kwamba wamefungiwa vifaa wasivyovifahamu. Wasivyojua vinafanya kazi au la. Wasivyojua ni vizima au la.

Kisha anatokea mtu na mbuzi wake kwenye gunia.

Hiyo ndiyo Tanzania ya Bashe na kilio cha mamba kwa wakulima.
 
Kama wenye mabasi hawana udhibiti wala utambuzi wa ufanyaji kazi kwenye magari yao, ni vipi wawajibishwe kwa mapungufu yoyote kwenye vifaa hivi?

Bila shaka hawa pamoja na kufungiwa wakiwa wamelipia vibali, kodi, bima na tozo zote husika, faini nzito nzito zitakuwa zimewahusu.

Unyonge huu hadi lini?

"Mtu awekewe kifaa asichokuwa na udhibiti wala utaalamu wowote nacho. Hana namna ya kujua ni kizima au kibovu. Hana namna ya kujua kinafanya kazi au la."

Atokee mtu alikotoka kwamba kifaa hakifanyi kazi hivyo adhabu inakuhusu?

Huku si ndiko kuuziana mbuzi kwenye gunia?

Ama kwa hakika unyonge huu hadi lini?

View attachment 2525377
Acheni ujuha, tokeni nje ya jiji la DSM namuone jinsi.mabasi yanaendeshwa utafikiri madereva ni vichaa.
Wiki tatu tu zimepita na abiria wasio na hatia wanachinjwa kama kuku.
Nenda hadi Morogoro ushuhudie mabasi yanavyoendeshwa.
 
PingaPinga FC bana, wadereva wakiendesha kasi utasikia LATRA wamelala

LATRA wakifanya kazi yao, bado malalamiko na kupingapinga ovyo

King'amuzi ni kifaa cha kielectronic bila shaka kama radio, tv, simu nk.

Kumbe LATRA kazi zao ni kufuatilia vifaa hivyo ambapo lolote likikitokea anayewajibika ni mwenye basi?

Hivi kwani hata aliyekitengeneza anaweza kukubali kuwajibishwa kwa failure ya kifaa hicho?

Huu si ndiyo ubabaishaji wenyewe sasa?

Kwamba mwenye kujua vinafanya kazi au havifanyi ni wao peke yao?

Kama kuhoji hili ni Pinga Pinga FC, kwa hakika wewe utakuwa kenua kenua FC.
 
Kama wenye mabasi hawana udhibiti wala utambuzi wa ufanyaji kazi wa ving'amuzi vya LATRA kwenye magari yao, ni vipi kuwajibishwa wao kwa mapungufu yoyote kwenye vifaa hivi?

Bila shaka hawa pamoja na kufungiwa wakiwa wamelipia vibali, kodi, bima na tozo zote husika, faini nzito nzito zitakuwa zimewahusu.

Unyonge huu hadi lini?

"Mtu awekewe kifaa asichokuwa na udhibiti wala utaalamu wowote nacho. Hana namna ya kujua ni kizima au kibovu. Hana namna ya kujua kinafanya kazi au la."

Atokee mtu alikotoka kwamba kifaa hakifanyi kazi hivyo adhabu inakuhusu?

Huku si ndiko kuuziana mbuzi kwenye gunia?

Ama kwa hakika unyonge huu hadi lini?

View attachment 2525377
Latra fanyeni kazi msisikilize makelele,siku hizi mabasi wanaendesha ovyo sana,Latra mtusaidie watatumaliza
 
Kumbe LATRA kazi zao ni kufuatilia vifaa hivyo ambapo lolote likikitokea anayewajibika ni mwenye basi?
Kifaa kinatuma taarifa LATRA kila baada ya muda fulani, wenye mabasi wengi wana tamper kifaa kwa kutoa betri yake, na hakitumi taarifa tena (Najua unajua hii sema ukaza fuvu tu)

Kama kifaa kibovu, ni jukumu la mwenye basi kuripoti LATRA ili kuwekewa kingine (Kurekebishiwa)

Mbona unatetea ujinga wewe PingaPinga FC
 
Latra fanyeni kazi msisikilize makelele, siku hizi mabasi wanaendesha ovyo sana,Latra mtusaidie watatumaliza
Kufanya kazi si kuonea watu.

King'amuzi ni mali ya nani? Nani ana guarantee ufanyaji kazi wake?

Nani anajua king'amuzi kinafanya kazi au la?

Kuwabambikia watu mbuzi kwenye gunia ndiyo kufanya kazi?
 
Kufanya kazi si kuonea watu.

King'amuzi ni mali ya nani? Nani ana guarantee ufanyaji kazi wake?

Nani anajua king'amuzi kinafanya kazi au la?

Kuwabambikia watu mbuzi kwenye gunia ndiyo kufanya kazi?
Wewe hujui kitu hawaonewi na wanalijua hilo,wacha Latra wafanyekazi yao kama hawataridhika waende mahakamani
 
kifaa kinatuma taarifa LATRA kila baada ya muda flani, wenye mabasi wengi wana tamper kifaa kwa kutoa betri yake, na hakitumi taarifa tena ( najua unajua hii sema ukaza fuvu tu)

kama kifaa kibovu, ni jukumu la mwenye basi kuripoti LATRA ili kuwekewa kingine(kurekebishiwa)

mbona unatetea ujinga wewe PingaPinga FC

Kifaa kama hakifanyi kazi mwenye basi anajua je?

Kifaa hiki ni foolproof kuwa hakiwezi kuharibika ila Kwa kuwa tempered tu?

Sikubaliani nawe kwenye kuwaonea watu hawa kwa mapungufu yasiyowahusu, kama ambavyo siwezi kukubaliana na uonevu mwingine wowote wa wazi kwa awaye yote.

Ni hayo tu kenua kenua FC.
 
Kifaa kama hakifanyi kazi mwenye basi anajua je?

Kifaa hiki ni foolproof kuwa hakiwezi kuharibika ila Kwa kuwa tempered tu?

Sikubaliani nawe kwenye kuwaonea watu hawa kwa mapungufu yasiyowahusu, kama ambavyo siwezi kukubaliana na uonevu mwingine wowote wa wazi kwa awaye yote.

Ni hayo tu kenua kenua FC.
Wewe tetea ujinga tu, waki over-speed na kuchinja watu hao wewe ndiyo wa kwanza kulalamika LATRA wamelala

VTS zinakua tampered wewe unakenua meno na kusema wanaonewa, bure kabisa
 
Back
Top Bottom