LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

Kwani hivyo vifaa hakuna mamlaka halali zinazotambulika zinazoviuza? kama wameacha watu waviuze kiholela, bila kuwepo mamlaka ya kuvikagua vitokapo na viuzwapo, basi LATRA wakubali uzembe na wasiwaonee hao watumiaji wa vifaa husika.
 
Kwani hivyo vifaa hakuna mamlaka halali zinazotambulika zinazoviuza? kama wameacha watu waviuze kiholela, bila kuwepo mamlaka ya kuvikagua vitokapo na viuzwapo, basi LATRA wakubali uzembe na wasiwaonee hao watumiaji wa vifaa husika.

Nchi imejaa uswahili uswahili tu.

1. Vifaa vyovyote (tv, radio, simu, nk) huharibika kwa sababu nyingi zikiwamo zisizojulikana.
2. Kifaa kuharibika (malfunctioning) hakutabiriki na hakuwezi kuwa kwa aina moja.
3. Zinaharibika ndege angani ije kuwa kifaa cha ki electronic kisichojulikana kwa jina, mtengenezaji au hata ubora wake?
4. Nani anafuatilia kuona vifaa hivi vinafanya kazi inavyotakiwa muda wote?
5. Nani anawajibika kwa utendaji mbovu wa vifaa hivi?

Yako mengi ya kujiuliza kuhusu vifaa hivi ambavyo labda wala havijaidhinishwa na TBS.

Kwa barua ya LATRA wamiliki wale wameadhibiwa kwa malfunctioning ya vifaa hivi.

It is inconceivable!

LATRA anapaswa kuthibitisha mahakamani pasi na shaka kuwa malfunctioning hiyo imeletwa na mtu kwa kudharimia.

Enyi wahanga wa dhwalimu kama hizi unyonge wenu hadi lini?

Mahakamani dhidi ya awaye yote ndiko kunakoweza kuwapo haki.
 
Wewe tetea ujinga tu, waki over-speed na kuchinja watu hao wewe ndiyo wa kwanza kulalamika LATRA wamelala

VTS zinakua tampered wewe unakenua meno na kusema wanaonewa, bure kabisa
Ninacho kuona hapa inaonesha Kuna faida binafsi ya anaye andika hiyo faini.Maana waliwahi kuzuiliwa kuandika hizo 250000.Wakashitaki mahakamani ili waendelee kulipisha faini.Huyu wa Iringa ndio balaa yaani Yeye ana andika hovyo hovyo.Na akisha andika akiwa tu ofisini utafikiri msahafu hakuna wa kuingilia.Hafuatilili kama gari Iko garege Yeye anaendelea kuandika kama njugu..Gari inaenda Mbeya kwa siku mbili WNarudi na laki Yeye ana andika 250000.Nchi hii Kila mtu kambale mamba.
 
Vipi ukiwajibishwa kuwa simu yako inatuma mawimbi yasiyojulikana usiyoyajua wewe?

Kwa hakika ujuha ni relative.

Kwamba hujaelewa kinachoendelea ila unakenua kivyako vyako?🤣🤣
Mfano wako hauna uhusiano na kinachoengdelea.
Watu wanakufa kibudu, wenye mabasi wanachezea miundombinu, nyie mnachekelea kama mafisi!
 
Mfano wako hauna uhusiano na kinachoengdelea.
Watu wanakufa kibudu, wenye mabasi wanachezea miundombinu, nyie mnachekelea kama mafisi!

Kwamba hujaelewa, hilo ni suala jingine. Ila hapa chini ndiyo ulio ukweli:

1. Vifaa vyovyote (tv, radio, simu, nk) huharibika kwa sababu nyingi zikiwamo zisizojulikana.
2. Kifaa kuharibika (malfunctioning) hakutabiriki na hakuwezi kuwa kwa aina moja.
3. Kifaa hiki cha ki electronic hakijulikani kwa jina, mtengenezaji au hata ubora wake.
4. Hakuna anayefuatilia kuona vifaa hivi vinafanya kazi inavyotakiwa muda wote.
5. Hakuna anayewajibika kwa utendaji mbovu wa vifaa hivi.
6. Bila shaka vifaa hivi hasta TBS having.

Wajibu wa mwenye kuvijua vifaa hivi unaishia wapi? Kwenye kuwapa adhabu wasiohusika?

Ni mafisi yaliyojawa na nyoyo za chuki tu yenye kuweza kushangilia kwenye Hali kama hizi.
 
Back
Top Bottom