LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

Wewe hujui kitu hawaonewi na wanalijuaiti hilo,wacha Latra wafanyekazi yao kama hawataridhika waende mahakamani

Nimetafiti na kujirisha kuwa wanaonewa.

1. Vifaa ni vya LATRA
2. Wenye mabasi hawana namna ya kujua vinafanya kazi au la.
3. Wenye mabasi hawana namna ya kujua ni vizima au vibovu.

Kinachobakia hapo ni mbuzi kwenye gunia siyo?

Wizi wa wazi hatutaacha kuupigia kelele kuwafahamisha wote umuhimu wa kuungana kuwakataa wahuni!
 
wewe tetea ujinga tu, waki over-speed na kuchinja watu hao wewe ndiyo wa kwanza kulalamika LATRA wamelala

VTS zinakua tampered wewe unakenua meno na kusema wanaonewa, bure kabisa

Jikite kwenye mada.

Kwako kifaa cha umeme kikiharibika Kuna mkono wa mtu?

Sembuse sasa kifaa ambacho ukiambiwa kinafanya kazi hujui, hakifanyi kazi hujui?

Roho gani za kimaskini hizi ulizo nazo ndugu? Kwa vile tu unadhani hao watu wana mabasi tayari umefura Kwa chuki?

Nani wananunua mabasi ya kwenda kuchinja watu?

Huoni hapa kuna majukumu wanaveshwa kwa nguvu wasiohusika? Uko kwenye kukenua tu kwa vile haikuhusu siyo?

Bure kabisa!
 
Nimetafiti na kujirisha kuwa wanaonewa.

1. Vifaa ni vya LATRA
2. Wenye mabasi hawana namna ya kujua vinafanya kazi au la.
3. Wenye mabasi hawana namna ya kujua ni vizima au vibovu.

Kinachobakia hapo ni mbuzi kwenye gunia siyo?

Wizi wa wazi hatutaacha kuupigia kelele kuwafahamisha wote umuhimu wa kuungana kuwakataa wahuni!
Mimi ni mmiliki wa mabasi na naunga mkono Latra.
 
Raha ya basi likimbie,,ajali Matokeo tuuu..

Mada si kukimbia basi. Bali wamiliki wa mabasi kuwajibishwa kwa vifaa vya kitalaamu wasiokuwa na ujuzi navyo.

Nani wa kuwajibika na tatizo la king'amuzi asichokiweka yeye kwenye gari?

Tatizo liko hapo tu.
 
Mkiambiwa suala hili pia katiba mpya inahusika, mtabisha sana kuwa Katiba Mpya ni kwa ajili ya wanasiasa waroho wa madaraka wanaotaka katiba kuingia Ikulu mnasahau kuwa Katiba Mpya pia inagusa Haki za Binadamu na Watu inagusa haki za kampuni na biashara .... kisheria kampuni ni mtu bandia mwenye stahiki ya haki kama mtu nyama binadamu ....

4 April 2022

"HII ni MAHAKAMA PEKEE INAYOSIKILIZA KESI za HAKI za BINADAMU AFRIKA" - RAIS wa MAHAKAMA ya AFRIKA JAJI IMANI ABOUD


Jaji Imani Daud Aboud rais wa Mahakama ya Afrika anafafanua suala la haki za binadamu na watu, lina uwigo mtambuka mpana sana .

Jaji Imani Aboud anasema kwa mfano hata wafanyabiashara wakifilisiwa na mamlaka za serikali kupitia amri za kufungiwa biashara, masuala ya kodi n.k wanaweza kwenda katika Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu na watu, kwani suala hilo linahusu haki za binadamu kuvunjwa kupitia wenye biashara kukosa kipato na kukabiliwa na kushindwa kulipa madeni ya benki kwa wakati, riba ya kuchelewa kulipa deni, tozo ....

Soma zaidi kuhusu mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu na watu ikiwemo makampuni Rais wa Mahakama ya Afrika: Nchi wanachama ziheshimu Hukumu za Mahakama ya Afrika bila Visingizio haki stahiki source :
 
Mkiambiwa suala hili pia katiba mpya inahusika, mtabisha sana


4 April 2022

"HII ni MAHAKAMA PEKEE INAYOSIKILIZA KESI za HAKI za BINADAMU AFRIKA" - RAIS wa MAHAKAMA ya AFRIKA JAJI IMANI ABOUD


Jaji Imani Daud Aboud rais wa Mahakama ya Afrika anafafanua suala la haki za binadamu na watu, lina uwigo mtambuka mpana sana .

Jaji Imani Aboud anasema kwa mfano hata wafanyabiashara wakifilisiwa na mamlaka za serikali kupitia amri za kufungiwa biashara, masuala ya kodi n.k wanaweza kwenda katika Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu na watu, kwani suala hilo linahusu haki za binadamu kuvunjwa kupitia wenye biashara kukosa kipato na kukabiliwa na


Kelele tunazopiga Kwa Kila anayeonewa ni katika kuamini tutaungana pamoja kuwakataa wahuni.

Wahuni si watu wazuri.

1. King'amuzi chako
2. Kinavyofanya kazi ajuaye wewe
3. Unamrukiaje nani kuwa kina shida hivyo awajibike?

Mahakama huru LATRA kwenye hili hatoboi. Nimekaa pale, ninasubiri.
 
PingaPinga FC bana, wadereva wakiendesha kasi utasikia LATRA wamelala

LATRA wakifanya kazi yao, bado malalamiko na kupingapinga ovyo
Sisi Watanzania tunaujuaji wakati mwingine wa kipuuzi sana.

Sio kweli kwamba vile ving'amuzi hawavichezei ili visifanye kazi kwa uhalisia wake.

Matajiri wa hayo mabasi mpaka watumishi wao wanajua vizuri michezo hiyo.
UKWELI MABASI MENGI WAMEISHA CHEZEA HIVYO VING'AMUZI ILI KUKWEPA FAINI WANAPOZIDISHA MWENDO.
 
Mahakama huru
Mahakama hii ya Afrika makao yake yapo Tanzania mjini Arusha hivyo mna bahati kubwa sana lakini mnamwachia Freeman Mbowe, Tundu Lissu na CHADEMA wadai haki bila ninyi kuchukua hatua kufika mahakamani au kutumia haki ya kupiga kelele n.k
 
Sisi Watanzania tunaujuaji wakati mwingine wa kipuuzi sana.

Sio kweli kwamba vile ving'amuzi hawavichezei ili visifanye kazi kwa uhalisia wake.

Matajiri wa hayo mabasi mpaka watumishi wao wanajua vizuri michezo hiyo.
UKWELI MABASI MENGI WAMEISHA CHEZEA HIVYO VING'AMUZI ILI KUKWEPA FAINI WANAPOZIDISHA MWENDO.

1. Tatizo la ving'amuzi ni kuchezewa tu?
2. Kwani vimeshushwa kutoka mbinguni?
3. Haviwezi kuharibika kabisa?

Dkt. Mollel aliyaona haya:

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg
 
Mahakama hii ya Afrika makao yake yapo Tanzania mjini Arusha hivyo mna bahati kubwa sana lakini mnamwachia Freeman Mbowe, Tundu Lissu na CHADEMA wadai haki bila ninyi kuchukua hatua kufika mahakamani au kutumia haki ya kupiga kelele n.k

Eric Omondi Kenya anawaamsha watu kudai haki zao. Tuwaamshe watu Hawa kudai haki zao.

Tusiwe kama kina Steve Nyerere wanaokuja na ufafanuzi uchwara kwenye wasiyoyajua eti ni wamiliki kama kina kisembuzi
 
Wamiliki wa bus anaweza kufatilia mwenendo wa bus lake na kujua lipo wapi na inatembea speed ngapi kwa saa,
Mfumo wa VTS unaonwa na pande zote mbili LATRA pamoja na mmiliki,

IMG_6830.jpg


Nimekuwekea link hapo juu ambapo mmiliki wa bus akishafunga VTS hupewa username na password kumuwezesha kuona speed ya bus lake likiwa safarini,

Kabla ya kufungia hizi gari mmiliki wa company

1.hupewa onyo kwa njia ya mdomo LATRA makao makuu

2.hupewa onyo kwa njia ya barua

3. Kufungia bus husika kwa kipindi cha mwezi mmoja.

Mleta mada ni vyema ungefanya tafti na kupaka ukweli wa habari.

Pia Dereva wanafungiwa kwa “negligence driving” na mengine mengi siwezi kuandika yote.
 
Wamiliki wa bus anaweza kufatilia mwenendo wa bus lake na kujua lipo wapi na inatembea speed ngapi kwa saa,
Mfumo wa VTS unaonwa na pande zote mbili LATRA pamoja na mmiliki,

View attachment 2525595

Nimekuwekea link hapo juu ambapo mmiliki wa bus akishafunga VTS hupewa username na password kumuwezesha kuona speed ya bus lake likiwa safarini,

Kabla ya kufungia hizi gari mmiliki wa company

1.hupewa onyo kwa njia ya mdomo LATRA makao makuu

2.hupewa onyo kwa njia ya barua

3. Kufungia bus husika kwa kipindi cha mwezi mmoja.

Mleta mada ni vyema ungefanya tafti na kupaka ukweli wa habari.

Pia Dereva wanafungiwa kwa “negligence driving” na mengine mengi siwezi kuandika yote.
Kama kweli wanania ya dhati ya wanachokisema ,mbona hawajataja mabasi yenyewe? business as usual
 
Wamiliki wa bus anaweza kufatilia mwenendo wa bus lake na kujua lipo wapi na inatembea speed ngapi kwa saa,
Mfumo wa VTS unaonwa na pande zote mbili LATRA pamoja na mmiliki,

View attachment 2525595

Nimekuwekea link hapo juu ambapo mmiliki wa bus akishafunga VTS hupewa username na password kumuwezesha kuona speed ya bus lake likiwa safarini,

Kabla ya kufungia hizi gari mmiliki wa company

1.hupewa onyo kwa njia ya mdomo LATRA makao makuu

2.hupewa onyo kwa njia ya barua

3. Kufungia bus husika kwa kipindi cha mwezi mmoja.

Mleta mada ni vyema ungefanya tafti na kupaka ukweli wa habari.

Pia Dereva wanafungiwa kwa “negligence driving” na mengine mengi siwezi kuandika yote.

Kwamba wamiliki wanapewa hadi onyo la barua kabla ya kufungiwa? Kama jibu ni ndiyo, basi ndicho pekee ninachokiona chenye japo mashiko kwenye majibu yako.

"Kama la barua ni uzushi, kwenye hili LATRA mahakama inawahusu na hawatoboi."

Lakini eti kwamba wamiliki wanapewa username na password kwenye systems zao? Kwamba sasa watajua kama ving'amuzi kwenye systems zao ni vizima au la?

"Hapo labda kama ni kutaka kuwakamata wenye mabasi uchawi tu."

Systems hizi si zao? Hazikushushwa kutoka mbinguni?

Kwenye systems hizo wanafika huko kwa bando? Inabidi wawe na smartphones, au computers zenye mtandao?

Kulikoni?

"Vipi kuwategemea wamiliki hawa kuwa waajiriwa wenu kufuatilia kwenye systems zenu ving'amuzi vinavyoweza kuwa vibovu?"

Nini maana ya kila mtu kushinda mechi zake?
 
Uhai wa maisha ya abiria ni muhimu kuliko hoja yako

Uhai wa maisha halina mfano. Maisha hayatolewi na ubovu wa ving'amuzi.

Hata hivyo haupo uhalali wa kumwadhibu mtu kama kifaa kimeharibika naturally na bila kuwa na taarifa.
 
Wengine ndio wanafuata garege na kuandika tu faini za 250000 hata tatu nne na usipo lips ana peleka gari Yard.Wamegeuza ni mradi mkubwa na faida za magari Sasa wanapata wao.Watoa huduma ya ving'amuzi Wana Zima kusudi Kisha hawa LATRA Wana andika faini bila hata kuona gari .Wakati mwingine lilisimama muda liko garege linaweza kupata hata faini 4 hukohuko garege.Ni uonevu uliopitiliza

Tatizo hapa pana watu wengi.

Mmiliki, dereva, LATRA na mtoa huduma, mitandao ya simu.

Mmiliki na dereva hawajui ufanyaji kazi wa kifaa hiki kilichowekwa kwenye gari yao kwenye namna wasiyoijua.

Hawana ujuzi wa kujua kuwa kinafanya kazi au la. Ni kizima au la.

Ila jumba bovu wanabebeshwa wao.

Huu si wizi?
 
Acheni ujuha, tokeni nje ya jiji la DSM namuone jinsi.mabasi yanaendeshwa utafikiri madereva ni vichaa.
Wiki tatu tu zimepita na abiria wasio na hatia wanachinjwa kama kuku.
Nenda hadi Morogoro ushuhudie mabasi yanavyoendeshwa.

Vipi ukiwajibishwa kuwa simu yako inatuma mawimbi yasiyojulikana usiyoyajua wewe?

Kwa hakika ujuha ni relative.

Kwamba hujaelewa kinachoendelea ila unakenua kivyako vyako?🤣🤣
 
Back
Top Bottom