Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Latra tunaomba muangalie nauli za kwenda kingorwila zipo juu sana kuliko uhalisia, Leo hii kutoka Moro mjin kwenda kingorwila ni sh 800, sehemu Ambyo ni km 12 tu na ni full Lami. Abiria kiukwel tunaumia
Kwa Hili.
mifano michache, ruti ya kwenda lukobe nin700 na barabaran ni mbovu, na ni km 16 ruti ya mkundi mia 600 na sehem hiz zotë ni Zaid ya km 12.
Tafadhal angalien hili.
Kwa Hili.
mifano michache, ruti ya kwenda lukobe nin700 na barabaran ni mbovu, na ni km 16 ruti ya mkundi mia 600 na sehem hiz zotë ni Zaid ya km 12.
Tafadhal angalien hili.