Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
[emoji23][emoji23][emoji23]Sisi huku Sumbawanga, nauli ya bajaji imekua 1000 kutoka sh. 500! Kwakweli wafipa tumeanza kuchapa mwendo sana! Ni noma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sisi huku Sumbawanga, nauli ya bajaji imekua 1000 kutoka sh. 500! Kwakweli wafipa tumeanza kuchapa mwendo sana! Ni noma sana.
Wakati Ule Angetupwa Chap NdaniKwahiyo Bwana Suleiman Kimwe anataka Segerea kwenda Mnazi Mmoja iwe 900?
Hutaki UnaAchaHuu ndio wakati sahihi kibwagizo cha Mama anaupiga mwingi tukipe mkazo msijisahau Mama anaupiga mwingi
Kwamba daladala mkoa mzima zipishe mwendokasi?Dala dala ziwe phased out na mwendo kasi. Madereva wa dala dala ni manyoko sana.
....Sidhani! Asingependekeza 'Moto' kama kama huu Kwa Watanzania Wenzake...Huyo suleiman kimwe ni raia wa Tanzania kweli?
...Yaani Ukitoka MigoMigo kwema TU Faya pale, iwe buku!Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Usafiri Ardhini (Latra CCC) limekata mapendekezo ya nauli yaliyotolewa na wadau wa usafiri wa masafa marefu na mafupi.
Uwamuzi huo umefikiwa leo Jumatano Aprili 13, 2022 baada ya Umoja wa Wasafirishaji Abiria Mkoa wa Dar es Salaam kupendekeza kiwango cha nauli kuwa mara mbili ya nauli inayotozwa sasa.
Akiwasilisha viwango hivyo Katibu wa umoja huo, Suleiman Kimwe amesema umependekeza viwango vya nauli kuwa mara mbili ya ilivyo sasa
"Kwa maoni yetu tunaomba ongezeko la nauli ya Sh400 kwa kila njia. Mfano kwa nauli ya Sh500 iwe Sh900 “amesema Kimwe.
Hata hivyo Kaimu Mtendaji wa Latra CCC, Leo Ngowi amesema kuwa safari za mjini ni fupi na abiria wengi wamekuwa wakipanda na kushuka njiani huku mabasi hayo kubeba abiria kupita kiasi.
Katika kuchambua viwango hivyo, Ngowi amesema wamebaini maombi ya nyongeza ni tofauti na bei ya mafuta iliyoongezeka.
"Tunapendekeza wasilisho hili lirudishwe kwa mtoa huduma, lakini kama wanazungumzia hasara pia tunashauri kutumia mfumo wa kuzuia mianya ya upotevu kwa kumtumia tiketi mtandao," amesema Ngowi.
Mwananchi
Nyongo kali mno. Na hili haliwezekani too soon so bado upo upo nao sana hao manyoko.Dala dala ziwe phased out na mwendo kasi. Madereva wa dala dala ni manyoko sana.
Kwa nimuonavyo rais, atawaunga mkono kuwa ghara za maisha zimepandaHuku sasa ni kukomoana......500 iwe 900 duuh