Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Fursa hiyo kafungue ofisi unakuwa unawakatia tiketi kwa mtandao , unakuwa unalipwa buku au buku 2 kwa tiketi.Sasa mtu wa buchosa ndani ndani akitaka ticket na kwenye mambo ya kutumia mtandao yuko chini inakuwaje hapo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Aise kuna point hapo [emoji23][emoji23][emoji23]Fursa hiyo kafungue ofisi unakuwa unawakatia tiketi kwa mtandao , unakuwa unalipwa buku au buku 2 kwa tiketi.
Mbona ndege Zina madalali au hujui ?
Kila Kitu Ni fursa
Naona hiyo itakuwa shida kwako. Watanzania wengi hivi sasa wana simu za mikononi hivyo kufanya hiyo shughuli ya kukata tiketi kwenye mtandao ni kazi nyepesi sana.Moja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.
Wao wanafikiri kila mtu ana accses ya kutumia mtandao ....
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.
Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea
Sifa ya watawala wa Tanzania hiyo... kuongoza kwa amri... Na sasa hivi wameongeza adhabu ya henzerani.Naona hiyo itakuwa shida kwako. Watanzania wengi hivi sasa wana simu za mikononi hivyo kufanya hiyo shughuli ya kukata tiketi kwenye mtandao ni kazi nyepesi sana.
Na wale wanaogombania abiria imekula kwao...Wale wanaokaa na vitabu vya tiketi makwapani itakuwaje?
Maeneo mengi MTANDAO Ni shida, Sasa sijui mteja analipaje iyo tiketiMoja ya sifa kubwa ya serikali ya Tanzania kufanya maamuzi kwa kushtukiza, bila kushirikisha wadau au kufanya pilot study. Na maamuzi yao siku zote yanakuwa ni amri zinazotolewa on short notice. Hili agizo halitekelezeki kirahisi na litaleta shida kubwa.
Unawa-compare na watawala wa wapi?Sifa ya watawala wa Tanzania hiyo... kuongoza kwa amri... Na sasa hivi wameongeza adhabu ya henzerani.
Kila kitu ukiangalia kwa jicho la fursa ni fursa mkuu.Aise kuna point hapo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Hapa kwa hili wale madalali sasa ni kama kazi yao imeingia mchangaView attachment 1667700
Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .
Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.
Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .
Nakulilia Tanzania .
Wasitoe ukomo wa kusitisha na adhabu bali watoe elimu zaidi wasafiri tujifunze mfumo mpya wa kielektronikiView attachment 1667700
Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .
Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.
Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .
Nakulilia Tanzania .
Wenzetu akili zenu huwa zinaenda likizo? Hizo tickets zinatolewa kama zinavyotolewa risiti za efd au zile fine za trafficSasa mtu wa buchosa ndani ndani akitaka ticket na kwenye mambo ya kutumia mtandao yuko chini inakuwaje hapo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Tahadhari yangu imelenga migomo ya wenye mabasiMfumo Stahiki huu kabisa
Yani tuna advance hatua kadhaa mbele
Wewe Unakuja kusema
"Haijajulikama Sababu hasa za kufanya hivyo"
Alafu unajifanya unatoa na Tahadhali kabisa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah
Unafikiri hilo wao hawalifahaam?Maeneo mengi MTANDAO Ni shida, Sasa sijui mteja analipaje iyo tiketi
Mbona maagizo ni mengi kuliko elimu, elimu itolewe basi mfumo uwe rafikiView attachment 1667700
Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao , vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .
Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote.
Tahadhari : kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo , maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .
Nakulilia Tanzania .