LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni

LATRA yawataka wenye mabasi ya abiria kuanza kutumia tiketi za mtandao, watakaoshindwa kufanya hivyo kufutiwa leseni


Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao, vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote

Tahadhari: kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo, maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania

Unalilia nini? Mbona mifuko ya rambo tuliweza? Safi sana.
 
Cheki kwny mtandao wa LATRA.
Siyo jukumu letu kucheki kwenye mtandao wa LATRA, ni jukumu lao kutufahamisha utaratibu wote naukataji tikiti usiwe wa sisi kupakia mfumo kwenye simu zetu, uwe wazi kama tunavyolipia umeme, maji na malipo mengine ya serikali, LATRA wajipange upya kwa kuweka mfumo rahisi kwa kila mtu badala ya sisi kununua App yao.
 
Kwani kutumia tket za mtandao kuna changamoto gani?Heb Tuanzie hapo.

Sio kua tunalalamika tu bila facts...Dunia inakwenda kasi sana, hatuwezi kuendelea kutumia makaratasi wakati teknolojia inaruhusu...Tulianza na M-pesa watu wakalalamika bt now tushazoea, Uber nayo tushaizoea...nini shida kwenye ticket za mabasi?

We must embrace the technology and not revolt against it otherwise tutakua tunajichelewesha tu coz piga ua huko ndipo tunapoelekea tutake tusitake, technology will drag you with it hata km huitaki. So lets be optimistic ktk hii issue km kunachangamoto zitatuliwe huku tunaendelea kuitumia kuliko kujichelewesha tukisubiri changamoto zote zitatuliwe.

Ni jambo zuri sana ila hiyo serikali yenyewe haijawa tayari kwenda na technology!
Serikali hiyo hiyo haikawiii
Kuzima mitandao kwa muda wanaotaka wao.
 
Kwani kutumia tket za mtandao kuna changamoto gani?Heb Tuanzie hapo.

Sio kua tunalalamika tu bila facts...Dunia inakwenda kasi sana, hatuwezi kuendelea kutumia makaratasi wakati teknolojia inaruhusu...Tulianza na M-pesa watu wakalalamika bt now tushazoea, Uber nayo tushaizoea...nini shida kwenye ticket za mabasi?

We must embrace the technology and not revolt against it otherwise tutakua tunajichelewesha tu coz piga ua huko ndipo tunapoelekea tutake tusitake, technology will drag you with it hata km huitaki. So lets be optimistic ktk hii issue km kunachangamoto zitatuliwe huku tunaendelea kuitumia kuliko kujichelewesha tukisubiri changamoto zote zitatuliwe.
Changamoto hapa zipo nyingi, usitazame suala la kwenda na tecnolojia.
Unapoliendea Jambo Fulani ni lazima upime na madhara yake au uangalie pande zitakazoathiri.

Vinginevyo ndiyo hiyo watu wanasema utawala huu ni was kidictator. NI AMRI TU.

1. WADAU
Serikali ilitakiwa ikae na wadau husika( wamiliki vya mabasi) wajadiri na kuona athari zitakazopatikana.

2. WAPIGA DEBE NA MAWAKALA
Ajira haikubuniwa na serikali, ni kama kondoa au mbuzi amekosa mchungaji akatafuta namna ya kujilisha, japokuwa wapiga debe wanakera lakini madhara yao siyo makubwa.

Ni wajibu wa serikali kubuni mbinu mbalimbali za kuwatafutia ajira wananchi wake, Sasa Hawa vijana wamejitafutia ajira je serikali imefikiria hatima ya maisha yao?
Waturudi mitaani na wengine walitoka kwenye wizi,ujambazi.
Wengine ni mateja, watarudi mitaani,je usalama utakuwepo?
Suala hili hata wizara ya Mambo ya ndani hususa idara ya polisi ingehusishwa ili itoe maoni juu ya madhara yatakayotokea mitaani.

Japokuwa suala hili lilisikika kipindi Cha nyuma lakini zipohatua hazijapitiwa.
Watawala wasifikirie maziwa tu bali wafikirie ng'ombe wanaowakamua na wachungaji pia

Watanzania ni wajinga Sana,lakini ipo siku Mungu atawaondolea ujinga wao na ndipo hatari itakuwa kubwa.
Tunasoma maandiko kuwa uasi ulianzia mbinguni,huyu tunayemwita shetani na mapepo,majini malikuwa malaika lakini waliasi na Vita vikapiganwa Mbinguni. WENYE MAMLAKA MSIRAHISISHE KILA JAMBO.

HERI YA MBOGA ZA KONDENI NA AMANI
KULIKO UTAJIRI NA MACHAFUKO.
Cc, Pascal Mayalla,bia yetu, magonjwa mtambuka.
Niwaone kwenye Uzi huu muoneshe uzalendo wenu,isiwe mnaonekana kwenye nyuzi za kusifia tu.
 
Siyo jukumu letu kucheki kwenye mtandao wa LATRA, ni jukumu lao kutufahamisha utaratibu wote naukataji tikiti usiwe wa sisi kupakia mfumo kwenye simu zetu, uwe wazi kama tunavyolipia umeme, maji na malipo mengine ya serikali, LATRA wajipange upya kwa kuweka mfumo rahisi kwa kila mtu badala ya sisi kununua App yao.
Basi fanya kucheki hapa:www.policeforcetz.com
 
Changamoto hapa zipo nyingi, usitazame suala la kwenda na tecnolojia.
Unapoliendea Jambo Fulani ni lazima upime na madhara yake au uangalie pande zitakazoathiri.

Vinginevyo ndiyo hiyo watu wanasema utawala huu ni was kidictator. NI AMRI TU.

1. WADAU
Serikali ilitakiwa ikae na wadau husika( wamiliki vya mabasi) wajadiri na kuona athari zitakazopatikana.

2. WAPIGA DEBE NA MAWAKALA
Ajira haikubuniwa na serikali, ni kama kondoa au mbuzi amekosa mchungaji akatafuta namna ya kujilisha, japokuwa wapiga debe wanakera lakini madhara yao siyo makubwa.

Ni wajibu wa serikali kubuni mbinu mbalimbali za kuwatafutia ajira wananchi wake, Sasa Hawa vijana wamejitafutia ajira je serikali imefikiria hatima ya maisha yao?
Waturudi mitaani na wengine walitoka kwenye wizi,ujambazi.
Wengine ni mateja, watarudi mitaani,je usalama utakuwepo?
Suala hili hata wizara ya Mambo ya ndani hususa idara ya polisi ingehusishwa ili itoe maoni juu ya madhara yatakayotokea mitaani.

Japokuwa suala hili lilisikika kipindi Cha nyuma lakini zipohatua hazijapitiwa.
Watawala wasifikirie maziwa tu bali wafikirie ng'ombe wanaowakamua na wachungaji pia

Watanzania ni wajinga Sana,lakini ipo siku Mungu atawaondolea ujinga wao na ndipo hatari itakuwa kubwa.
Tunasoma maandiko kuwa uasi ulianzia mbinguni,huyu tunayemwita shetani na mapepo,majini malikuwa malaika lakini waliasi na Vita vikapiganwa Mbinguni. WENYE MAMLAKA MSIRAHISISHE KILA JAMBO.

HERI YA MBOGA ZA KONDENI NA AMANI
KULIKO UTAJIRI NA MACHAFUKO.
Cc, Pascal Mayalla,bia yetu, magonjwa mtambuka.
Niwaone kwenye Uzi huu muoneshe uzalendo wenu,isiwe mnaonekana kwenye nyuzi za kusifia tu.
Hivi mnaposema wadau hawakushirikishwa, ina maana huko serikali kumejaa wajinga kiasi kwamba wafikirie kuanzisha kitu bila kushikisha wadau.?

Mawakala na Wapiga debe watapotezaje ajira.?
 
Technology inaihushanisha vp na katiba?Unataka katiba iwe digitalized au unatakaje?km kupiga kura si umeona kuna unadikishaji wa kutumia alama za vidole?huoni kua tumepiga hatua ktk eneo hilo?how further unataka twende ktk issue ya kupiga kura?tatzo la watanzania kila kitu mnaingiza siasa, now days hatuwezi kuchambua hoja kwa uhalisia bila kuingiza mambo yenu ya siasa na uvyama vyama, ht km issue haihusiani na siasa you will manage to find an angle ilimradi tu mchomekee siasa zenu, very sad indeed.
We mwenyewe hapo ni mwana siasa
 
hawa LATRA watatununulia na smart phone ili tamko lao kushtukiza lisogee
 
9

Mamlaka ya Usafiri wa Ardhini ( LATRA ) imetangaza kwamba hadi kufikia January 6 mwaka 2021 mabasi yote yawe yameanza kutumia tiketi za mtandao, vinginevyo watafungiwa kutoa huduma hiyo .

Bado haijajulikana sababu hasa za wenye mabasi ya abiria kulazimishwa kufuata utaratibu huu mpya huku wakitozwa kodi lukuki ambayo wanailipa bila mizengwe yoyote

Tahadhari: kama una safari ya muhimu ni bora ukafanya hivyo kabla ya tarehe hiyo, maana lolote la kukukwamisha laweza kutokea .

Nakulilia Tanzania
Hapa wale jamaa wanaogombea abiria nje ya stendi wapate kula ndio kiyama chao sasa
kimefika.

 
Sio kwamba sisi ambao ni wahusika wa kusafiri tutakuwa tumepata unafuu maana tutakata tiketi elekezi?? Kama ni elfu kumi basi ni elfu kumi hakuna kudalaliwa??
 
Kwahiyo mtanzania lazima awe na smartphone na lazima awe na bando. Ukiwa huna hivyo vifaa HAKUNA kusafiri!
Kwani watu wasiokuwa na smartphone na bando wanapataje loss report kutoka polisi?
Sasa wewe mwenye smartphone na bando ndo utumie hiyo kama fursa ya ajira.
 
Back
Top Bottom