sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Yule mchezaji bora kabisa kuwahi kushudiwa katika ardhi ya Burundi, Laudit Mavugo a.k.a Tormentor hatimae aanza "kuirudishia" Simba S.C hela ilizotumia kumsajili.
Kwanini Mavugo ni bora?
1. Amemaliza msimu uliopita akiwa na mabao 30 katika ligi ya Burundi huku akifunga mabao 62 kwa misimu miwili.
2. Rekodi hizi hufukiwa na watu watatu tu katika Sayari hii.. Christian Ronaldo, Messi na Suarez.
Jamaa baada ya kusaini kuitumikia Simba S.C, alinena kauli nzito sana.
Baada ya kutua tu uwanja wa Ndege.. Mavugo akanena haya.. "Sikutaka kusaini pale Vital'O kwavile tu nina deni hapa Simba tangu mwaka jana, nimekuja kulipa. Hawa watu wa Simba ni wavumilivu sana, wangeweza kunishtaki lakini hawakufanya hivyo, waambie watulie nimekuja kuwafanyia kazi."
Pia baada ya kuanza mazoezi na "Mabingwa watarajiwa wa VPL msimu wa 2016/2017" akaangalia kwa umakini idara yake na kutamka maneno haya.. Namnukuu... "Hapa lazima niongeze jitihada ili nipate namba kwenye kikosi cha kwanza."
Mavugo kaanza vipi kurudisha hela ya usajili?
Jana katika mechi yake ya kwanza tu akiwa ndani ya Uzi bora kabisa wa Simba, Mavugo alishiriki katika upatikanaji wa magoli mawili ndani ya Dk. 45 tu. Moja kafunga, Jingine Ka assist.
Sasa Mavugo "Baba" ndo nini hiki unachotaka kufanya?
1. Kama katika Dk. 45 tu, goli 2 zimekuhusu, Je ukiongeza hizo jitihada ulizodai itakuaje??
2. Umetuahidi tutulie, utufanyie kazi.. Kama kazi yenyewe unayotaka kutufanyia ndiyo hii.. Hatulii mtu hapa.
Mwisho.. Mtani huku kwetu Mavugo kashaanza "kurudisha" hela yetu, huko kwenu vipi?? Yule Chirwa a.k.a Chura kasharudisha shilingi ngapi hadi Sasa??
Kwanini Mavugo ni bora?
1. Amemaliza msimu uliopita akiwa na mabao 30 katika ligi ya Burundi huku akifunga mabao 62 kwa misimu miwili.
2. Rekodi hizi hufukiwa na watu watatu tu katika Sayari hii.. Christian Ronaldo, Messi na Suarez.
Jamaa baada ya kusaini kuitumikia Simba S.C, alinena kauli nzito sana.
Baada ya kutua tu uwanja wa Ndege.. Mavugo akanena haya.. "Sikutaka kusaini pale Vital'O kwavile tu nina deni hapa Simba tangu mwaka jana, nimekuja kulipa. Hawa watu wa Simba ni wavumilivu sana, wangeweza kunishtaki lakini hawakufanya hivyo, waambie watulie nimekuja kuwafanyia kazi."
Pia baada ya kuanza mazoezi na "Mabingwa watarajiwa wa VPL msimu wa 2016/2017" akaangalia kwa umakini idara yake na kutamka maneno haya.. Namnukuu... "Hapa lazima niongeze jitihada ili nipate namba kwenye kikosi cha kwanza."
Mavugo kaanza vipi kurudisha hela ya usajili?
Jana katika mechi yake ya kwanza tu akiwa ndani ya Uzi bora kabisa wa Simba, Mavugo alishiriki katika upatikanaji wa magoli mawili ndani ya Dk. 45 tu. Moja kafunga, Jingine Ka assist.
Sasa Mavugo "Baba" ndo nini hiki unachotaka kufanya?
1. Kama katika Dk. 45 tu, goli 2 zimekuhusu, Je ukiongeza hizo jitihada ulizodai itakuaje??
2. Umetuahidi tutulie, utufanyie kazi.. Kama kazi yenyewe unayotaka kutufanyia ndiyo hii.. Hatulii mtu hapa.
Mwisho.. Mtani huku kwetu Mavugo kashaanza "kurudisha" hela yetu, huko kwenu vipi?? Yule Chirwa a.k.a Chura kasharudisha shilingi ngapi hadi Sasa??