Laudit Mavugo aanza "kurudisha" hela ya usajili Simba S.C.

Laudit Mavugo aanza "kurudisha" hela ya usajili Simba S.C.

Mtani hizo sio record za caf, hizo standings ambazo zinqchange kulingana na performance ya team ktk ligi yake ndomana umeona azam yuko mbele yangu kwa sababu tu ye amenizid hii misimu mi3, na hiyo haina maana kwamba azam au yanga ni team bora africa, km utaweza pia angalia standings za vilabu vyote duniani km hukuti arsenal na Tottenham ziko mbele ya team km liverpool, na utakuta juventus ipo nafasi ya juu kuliko Manchester utd, msimu ujao naanza kwanza kumkata azam then mtani

Duhhh hili balaa yani mkuu povu lote hilo linalowatoka eti wakimataifa mnashika nafasi ya 325 na mkia fc mliemtangulia misimu mi4 yote ndo mnaiacha nafasi 23 tu??? We huoni km hapo kuna ttzo, kwnn msiwe mmenizid nafasi ata 100 huko kwakuwa mm ni wamatopeni, ila bahati mbaya tupo kweny same margin, eti mnajiita wakimataifa sa Tp mazembe wajiiteje ss au wakatae kushiriki ligi za Africa
Hizo rekodi ni za tareha 8/8/2016, swali unasema ni kutokana na msimamo wa ligi kwani kuna ligi TZ kipindi hiki .......... Na ndio maana nikakwambia mpira ni leo sio jana wala juzi kwahiyo usishangae Arsenal na Tottenham kuwa juu kwa vile mpira ni leo sio jana. Hivi wewe unaonaje rec za kimataifa unatupwa kwa nafasi 23 ni ndogo wenzako wakishuka nafasi moja tu wanaugulia wewe umepitwa nafasi 23.
N a kama uziamini hizi tafuta unazoziamini wewe na uweke hapa za tarehe za hivi karibuni.
 
Mtani hizo sio record za caf, hizo standings ambazo zinqchange kulingana na performance ya team ktk ligi yake ndomana umeona azam yuko mbele yangu kwa sababu tu ye amenizid hii misimu mi3, na hiyo haina maana kwamba azam au yanga ni team bora africa, km utaweza pia angalia standings za vilabu vyote duniani km hukuti arsenal na Tottenham ziko mbele ya team km liverpool, na utakuta juventus ipo nafasi ya juu kuliko Manchester utd, msimu ujao naanza kwanza kumkata azam then mtani

Duhhh hili balaa yani mkuu povu lote hilo linalowatoka eti wakimataifa mnashika nafasi ya 325 na mkia fc mliemtangulia misimu mi4 yote ndo mnaiacha nafasi 23 tu??? We huoni km hapo kuna ttzo, kwnn msiwe mmenizid nafasi ata 100 huko kwakuwa mm ni wamatopeni, ila bahati mbaya tupo kweny same margin, eti mnajiita wakimataifa sa Tp mazembe wajiiteje ss au wakatae kushiriki ligi za Africa

Hizi ndio rekodi za CAF ?
 
Kuna uwezekano wewe unachojua ni habari za mikia tu, hivi unajua kuwa hadi hatua hii iliyofikiwa na Yanga kuna timu ambazo hazikufikia ??
Hujakosea, ugomvi wa Nyumba ya pili haunihusu.. Ila ni furaha katika nyumba yangu.
 
Narudia tena, Mavugo hakuchemka majaribio.. Na hata kama kachemka [ japo siyo hivyo] ila kazi yetu anaifanya vyema, sisi nyoyo zetu kwatu.. Go Mavugo.

Alafu hivi Msuva katika majaribio yake kule south, matokeo yake yakoje?



Mkuu utakua umechanganya..
Tanzania inajua.. Dunia inajua kua Wazee wa Manunuzi ni Ndala S.C.
Msuva aliambiwa kama akitaka abaki timu ile awe muokota mipira
 
Shida mnazo nyinyi mnaoshindwa kujadil mamb yenu kwenye uzi wenu, kutwa kuja kajaza server kweny uzi wa wenzenu, kwahiyo nyie mmeona ata issue ya kukodisha team yenu km shamba haina maana kuijadil hadi mje kujadil simba day, alafu hv waga mnajiskiaje mtu akiwaita wakimataifa alafu na hiyo performance yenu ya huo utaifani ilivo
Watajadili ya kwao wapate wape wakati timu wamekodisha kama gari ya kubeba machanga?
 
Takwimu kama hizi ni muhimu kuondoa ujinga jukwani hapa.

Majigambo makubwa baada ya kuifunga Moro Kids lakini wakalala mbele ya KMC!

Sitashangaa kusikia wamenunua magoli ili kujiondolea pressure ya mashabiki.

Bwana wewe acha siasa zako hivi uliangalia mpira wa jana???
Unajua magoli ya kununuliwa yanavyo fungwa??
 
Hizo rekodi ni za tareha 8/8/2016, swali unasema ni kutokana na msimamo wa ligi kwani kuna ligi TZ kipindi hiki .......... Na ndio maana nikakwambia mpira ni leo sio jana wala juzi kwahiyo usishangae Arsenal na Tottenham kuwa juu kwa vile mpira ni leo sio jana. Hivi wewe unaonaje rec za kimataifa unatupwa kwa nafasi 23 ni ndogo wenzako wakishuka nafasi moja tu wanaugulia wewe umepitwa nafasi 23.
N a kama uziamini hizi tafuta unazoziamini wewe na uweke hapa za tarehe za hivi karibuni.

Mtani utakuwa umeni note vibaya tu, me sijazikataa hizo data ni za kweli kabisa wala sipingi, namm nilishawahi kuziona nazani Tp mazembe ndo walikuwa # 1, ss inasikitisha kwamba mwenzangu wakimataifa uko same margin namm wamatopeni, yani nguvu zote hizo za kujiita wakimataifa alafu eti ni club ya 325 na mkia fc 348 sa hyo standing inatuweka daraja 1 tukiwa nje ya tz, tofauti kuwa ulishinda ligi namm nikawa wa3, kwa mtazamo wangu, sidhani km mazembe wanajiita wakimataifa nanyie mjiite wakimataifa nazani nyie mjiite wapanda ndege hilo linawafaa sana, maana ndo tofauti kubwa iliyopo kati yangu mm naww

Anyway kwa leo inatosha nimeona kuna uzi wenu kule unadai mkataba wenu na tajiri ni hasara tupu, naomba tuhamie kule nikaone mnavyochambua mambo yenu kimataifa maana nyie watu wakubwa bana
 
Yule mchezaji bora kabisa kuwahi kushudiwa katika ardhi ya Burundi, Laudit Mavugo a.k.a Tormentor hatimae aanza "kuirudishia" Simba S.C hela ilizotumia kumsajili.

Kwanini Mavugo ni bora?
1. Amemaliza msimu uliopita akiwa na mabao 30 katika ligi ya Burundi huku akifunga mabao 62 kwa misimu miwili.
2. Rekodi hizi hufukiwa na watu watatu tu katika Sayari hii.. Christian Ronaldo, Messi na Suarez.

Jamaa baada ya kusaini kuitumikia Simba S.C, alinena kauli nzito sana.

Baada ya kutua tu uwanja wa Ndege.. Mavugo akanena haya.. "Sikutaka kusaini pale Vital'O kwavile tu nina deni hapa Simba tangu mwaka jana, nimekuja kulipa. Hawa watu wa Simba ni wavumilivu sana, wangeweza kunishtaki lakini hawakufanya hivyo, waambie watulie nimekuja kuwafanyia kazi."

Pia baada ya kuanza mazoezi na "Mabingwa watarajiwa wa VPL msimu wa 2016/2017" akaangalia kwa umakini idara yake na kutamka maneno haya.. Namnukuu... "Hapa lazima niongeze jitihada ili nipate namba kwenye kikosi cha kwanza."

Mavugo kaanza vipi kurudisha hela ya usajili?
Jana katika mechi yake ya kwanza tu akiwa ndani ya Uzi bora kabisa wa Simba, Mavugo alishiriki katika upatikanaji wa magoli mawili ndani ya Dk. 45 tu. Moja kafunga, Jingine Ka assist.

Sasa Mavugo "Baba" ndo nini hiki unachotaka kufanya?
1. Kama katika Dk. 45 tu, goli 2 zimekuhusu, Je ukiongeza hizo jitihada ulizodai itakuaje??
2. Umetuahidi tutulie, utufanyie kazi.. Kama kazi yenyewe unayotaka kutufanyia ndiyo hii.. Hatulii mtu hapa.

Mwisho.. Mtani huku kwetu Mavugo kashaanza "kurudisha" hela yetu, huko kwenu vipi?? Yule Chirwa a.k.a Chura kasharudisha shilingi ngapi hadi Sasa??

hahahaa! hizi timu za bongo bana!!
 

Ninefurahi kuona MAVUGO akianza kulinganishwa na CHIRWA....

Inaonyesha ni jinsi gani DONALD NGOMA hana mpinzani hapa bongo.
 
Ndo milivo Ndala fc, mahaba mbele ukweli mwiko, kwani ile team ya ghana inashika nafasi ya ngapi vile kwao?



Sasa huku ni kulinganisha Ubora wa Ligi ya ya GHANA na Ligi ya KENYA.

Unafikiri Medeama SC ikishiriki ligi ya Kenya itabaki kwenye nafasi ile ile?
 
kelele mingi eti wakimataifa kwenye vilabu bora Africa haipo ata top 300, swimmme


Tangu lini CAF ina Rank ya vilabu bora barani Afrika?

Tupatie link ya orodha ya vilabu bora ambayo inatambulika na CAF. Achana na ile RANK ambayo Simba SC mmekuwa mnaitumia tangu mwaka 2011.
 
Kwahiyo kutopata point kwa Al Ahly ndo mmeona pa kujipea matumaini kwamba nanyie kupata pont 1 ndio mnazostahili ehhh



Anajaribu kukuonyesha kuwa Yanga SC sio timu ya kwanza au ya mwisho kupata matokeo wanayopata sasa hivi....
 
Kuifunga timu kama AFC Leopards ni sawa na kuifunga Kariakoo Lindi, halafu mtu unaanza kujisifu kumbe umemfunga mbovu mwenzako tu! Timu iko nafasi ya 9 imefungwa magoli 21 katika mechi 21, je hiyo ni timu ya kujisifu kuifunga? Anyway hata mlipowafunga Polisi Morogoro mlichonga sana utafikiri mmechukua kikombe. Simba hawezi kuwa bingwa wa VPL 2016/2017, nafasi ya 3 inawahusu maana wastara hazumbuzi wa mbili havai moja.

View attachment 378284

Source: Kenya - Premier League 2016

Bora wangewaalika Muhoroni Youth FC[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Yanga msimu uliopita haikua bora, ilikua ni best among the worst.. Hivyo ilienda kutokana na sheria za CAF.. Lakini kama CAF wangekua wanaangalia viwango vya timu kabla.. Yanga hamkutakiwa kusogelea hata uwanja.
INAONEKANA KWA MATOKEO HAYA CHINI YA KU CONCEDE MABAO MENGI MENGI KLABU YAKO ILIKUWA BEST AMONG THE BEST.

1470758713800.jpg
 


Anajaribu kukuonyesha kuwa Yanga SC sio timu ya kwanza au ya mwisho kupata matokeo wanayopata sasa hivi....

We nae ulikuwa wapi wakati tunajdili, saiz kila mtu anafanya mamb mengine, km vp anzisha thread ingine km unamoto sana
 
Back
Top Bottom