samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Hizo rekodi ni za tareha 8/8/2016, swali unasema ni kutokana na msimamo wa ligi kwani kuna ligi TZ kipindi hiki .......... Na ndio maana nikakwambia mpira ni leo sio jana wala juzi kwahiyo usishangae Arsenal na Tottenham kuwa juu kwa vile mpira ni leo sio jana. Hivi wewe unaonaje rec za kimataifa unatupwa kwa nafasi 23 ni ndogo wenzako wakishuka nafasi moja tu wanaugulia wewe umepitwa nafasi 23.Mtani hizo sio record za caf, hizo standings ambazo zinqchange kulingana na performance ya team ktk ligi yake ndomana umeona azam yuko mbele yangu kwa sababu tu ye amenizid hii misimu mi3, na hiyo haina maana kwamba azam au yanga ni team bora africa, km utaweza pia angalia standings za vilabu vyote duniani km hukuti arsenal na Tottenham ziko mbele ya team km liverpool, na utakuta juventus ipo nafasi ya juu kuliko Manchester utd, msimu ujao naanza kwanza kumkata azam then mtani
Duhhh hili balaa yani mkuu povu lote hilo linalowatoka eti wakimataifa mnashika nafasi ya 325 na mkia fc mliemtangulia misimu mi4 yote ndo mnaiacha nafasi 23 tu??? We huoni km hapo kuna ttzo, kwnn msiwe mmenizid nafasi ata 100 huko kwakuwa mm ni wamatopeni, ila bahati mbaya tupo kweny same margin, eti mnajiita wakimataifa sa Tp mazembe wajiiteje ss au wakatae kushiriki ligi za Africa
N a kama uziamini hizi tafuta unazoziamini wewe na uweke hapa za tarehe za hivi karibuni.